DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Binafsi nataka rais kama huyu.
Hamumunyi maneno na anajua mood ya nchi na pia yuko decisive. Naamini huyu anafaa kuwa my Commander in Chief japo kwa sasa he's in waiting.
Tunaheshimu maamuzi yako.Sisi wengine hatumkubali,kwanza huwa Ana udini si mnaona anavyomwaga fweza makanisani?