Duh Mkurugenzi inaonekana umekasirika kweli kweli.Loh!Kamchague na familia yako ili muendelee kumlamba miguu. Mwambie akatibiwe kwanza!
Lowasa adhabu yake ni kunyongwa 2 mpaka afilie mbali jambaz mkubwa huyu
hata kwa uchawi hawezi kuwa kamanda in chief
Binafsi nataka rais kama huyu.
Hamumunyi maneno na anajua mood ya nchi na pia yuko decisive. Naamini huyu anafaa kuwa my Commander in Chief japo kwa sasa he's in waiting.
Binafsi nataka rais kama huyu.
Hamumunyi maneno na anajua mood ya nchi na pia yuko decisive. Naamini huyu anafaa kuwa my Commander in Chief japo kwa sasa he's in waiting.
Huyu bwana na Kamati yake, kama zilivyo Kamati nyingine ambazo ni swamps of corruption wanajaribu kufanya blackmail kwa serikali na mawziri wao, ndo maana wanaumbuka na hizo rushwa wanazoomba.