nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
olesendeka anajua kuwa lowassa ana ushawishi mkubwa na nguvu kubwa kuliko jk,.kama mtu ana nguvu kuliko rais basi yeye ni rais kasoro tu haishi ikulu..olesendeka hawezi kupingana na rais,wakina sitta ni ujeuri wa uzee tu huo mwisho wa siku watampigia magoti fisadi lowassa.