Wanadai huyo ndo rais wetu ajaye bongo kila kitu kinawezekana unaunda deal unakabidhiwa fungu halafu unazuga watu wanasahau hakuna mtu atakuja kukuuliza na hilo fungu sijui lilitoka kwenye budget gani hivi CAG mambo kama hayo huwa hana authority nayo kufanyia auditing au ndo fungu la ikulu lisilokuwa audited kuficha ubadhirifu kweli hatuna viongozi.