prosperity93
Member
- Sep 1, 2009
- 58
- 28
Bwana EL nakuomba mwaka huu 2010 uwe zamu yako kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na niko tayari kukupa kura yangu. Sio kwa sababu wewe ni msafi sana ila una unafuu zaidi ya kaka JK. wewe ni mchapa kazi sana na tunaitaji viongozi kama wewe ambao hata picha yako tuu inawafanya watendaji wa nchi waigope hivyo kuwatumikia wananchi kwa bidii zaidi. Scandal zote ulizopata inaonyesha jinsi ulivyo komaa kisiasa kuweza kubeba dhambi za wengine hasa za utendaji usio ridhisha wa Mh JK.
Najua morani kwa sehemu kubwa ni watu waadilifu sana....ukishika hii nchi hata ukila najua huwezi kumaliza kabisa....at least tutapiga hatua kimaendeleo na sio utalii usiohisha wa kaka yako ambao hauna tija kwa nchi zaidi yakuwanufaisha wachache .
Mwombe Jk zamu hii iwe yako kupokea kijiti cha kuongoza nchi
Please chukua form ya Urais kupitia CCM muda ukifika, nitakupa kura yangu na niko tayari kukufanyia kampeni....
Najua morani kwa sehemu kubwa ni watu waadilifu sana....ukishika hii nchi hata ukila najua huwezi kumaliza kabisa....at least tutapiga hatua kimaendeleo na sio utalii usiohisha wa kaka yako ambao hauna tija kwa nchi zaidi yakuwanufaisha wachache .
Mwombe Jk zamu hii iwe yako kupokea kijiti cha kuongoza nchi
Please chukua form ya Urais kupitia CCM muda ukifika, nitakupa kura yangu na niko tayari kukufanyia kampeni....