Edward Lowassa: Chui wa makaratasi

frank m

Member
Feb 8, 2012
54
49
Waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond na mbunge wa Monduli Edward Ngoyai Lowassa si chochote kama anavyotaka tuamini. Ni chui wa wakaratasi, ni mbwa anayebweka sana lakini hakika hawezi kung'ata. Ni mwigizaji by profession na maisha yake yote ya kisiasa amekuwa anaigiza na kuna watu wa kutosha wanaoamini maigizo haya ni halisia! Of course alisoma degree ya "Theater Art"

Anajua fika hawezi kuwa rais wa nchi hii, afya yake haimruhusu na hawezi kuteuliwa na chama chake licha ya ukweli kwamba hata akiteuliwa uwezekano wa chama chake kushinda Urais kwa wapiga kura na mwamko utakaokuwepo 2015 ni mdogo na yeye anafahamu hilo. Swali: Kwanini anajifanya urais anautaka wakati anajua kamwe hili haliwezekani? Ili kuendelea kuwa relevant lazima atuaminishe anaweza kuwa raisi wa nchi hii siku moja, hicho kinafanya wajinga kadhaa wambabaikie na anakusudia kuliendeleza hilo kwa kipindi. Siku akisema hautaki uraisi he is finished!

Nikiangalia juzi alivyokuwa akihangaika kupenyeza pesa ya kuhonga wajumbe Arumeru Mashariki na namna ambavyo alilazimika kutumia watu wa Monduli zaidi nabaini hana mtandao mkubwa kama nilivyodhani awali. Ndio ana watu wake ndani ya CCM na serikalini aliowaweka katika kipindi chake kifupi cha uwaziri mkuu lakini nje ya hapo he is almost nothin! Nafahamu juhudi zake kuwanunua baadhi wa watu CDM lakini hazitafanya kazi. Nje ya CCM na serikalini hana lwake na ataendele akuanguakia pua kama alivyoangukia pua alipojaribu kumweka Batilda Arusha mjini.

Karibu Arumeru Mashariki Edward!
 
Bear in your mind that, alichokibariki Mungu mwanadamu hawezi kukilaani.
 
Nazan Frank M wewe ni mmoja wa wale waliotumwa kupima maji ya bahari na rula mm ni mwana arumeru mashariki unadanganya umma wambie waliokutuma kama Lowasa hawawezi wasubiri 2015..elewa chama si CCM tu..
Wambioe eti akna M na S bado mapema wasiwe na papara...2015 mbivu na mbichi itajulikana..kuna viwili Lowasa kuwa Rais au CCM kuvunjika ...karbu arumeru mashariki..
 
Mwanasiasa yeyote anataka kusikika na kua relevant kwa sababu inampa nguvu mbele ya maadui (wa kweli na wengi wa kuhisi).

Kingine ukiwa relevant unaweza usipate unachotaka lakini ukawa sehemu ya wanaunda serikali ijayo na hivyo kuendelea kujilinda...

EL anajua hawezi kua rais ila anataka kua relevant machoni mwa watu na viongozi wengine ili afanikishe niliyoyataja hapo juu.
 
Nazan Frank M wewe ni mmoja wa wale waliotumwa kupima maji ya bahari na rula mm ni mwana arumeru mashariki unadanganya umma wambie waliokutuma kama Lowasa hawawezi wasubiri 2015..elewa chama si CCM tu..
Wambioe eti akna M na S bado mapema wasiwe na papara...2015 mbivu na mbichi itajulikana..kuna viwili Lowasa kuwa Rais au CCM kuvunjika ...karbu arumeru mashariki..

Lowassa hawezi kuvunja chama sana sana atakimbia na wachafu wenzake wawili watatu toka CCM na hii itakua ndiyo a ticket to political mortuary.

bwana dogo karibu Tanganyika
 
Waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond na mbunge wa Monduli Edward Ngoyai Lowassa si chochote kama anavyotaka tuamini. Ni chui wa wakaratasi, ni mbwa anayebweka sana lakini hakika hawezi kung'ata. Ni mwigizaji by profession na maisha yake yote ya kisiasa amekuwa anaigiza na kuna watu wa kutosha wanaoamini maigizo haya ni halisia! Of course alisoma degree ya "Theater Art"
Kaka ungeweka na PICHA kaka, unajua hizi zama za sayansi na teknohama ni vizuri habari kama hii ikaambatana na PICHA.
 
wezi wamekuwa wanasiasa
na wanasiasa wamekuwa wezi...........

mungu ibariki Tanzania........
 
siasa za tanzania = wizi, ubazazi, ufisadi, uuaji, utapeli, vitisho, visasi, njaa kali nk.
 
Kimsingi Mh Lowasa yupo sawa na anafaa licha ya katiba ya jamhuri ya muungano kumruhusu, tumechoka na viongozi wa kutengenezewa, mwacheni Mh Edward na kama kuna mwingine ajitokeze mapema ili watz wawe na muda wa kutosha wa kuwapima, kama wewe umampinga Lowasa watanzania wenzako wanamkubali na huo mchezo uliochezwa na akina Mwakiembe na Sita watanzania hawdanganyiki tena. Usibaki tuu kumpinga bali tuambie huyo unaedhani anafaa ili watz wawe na fursa ya kuchagua. Wana JF tuwe makini sana na hawa wanaotaka kukandamiza demokrasia ya mtu, kila mtu ana haki isipokua asivunje sheria.
 
Kimsingi Mh Lowasa yupo sawa na anafaa licha ya katiba ya jamhuri ya muungano kumruhusu, tumechoka na viongozi wa kutengenezewa, mwacheni Mh Edward na kama kuna mwingine ajitokeze mapema ili watz wawe na muda wa kutosha wa kuwapima, kama wewe umampinga Lowasa watanzania wenzako wanamkubali na huo mchezo uliochezwa na akina Mwakiembe na Sita watanzania hawdanganyiki tena. Usibaki tuu kumpinga bali tuambie huyo unaedhani anafaa ili watz wawe na fursa ya kuchagua. Wana JF tuwe makini sana na hawa wanaotaka kukandamiza demokrasia ya mtu, kila mtu ana haki isipokua asivunje sheria.

nyie wameru bwana hatujasema hana haki, la hasha haki anayo mkuu huyu, ila dola ya CCM isimpitishe kwa sababu ya siasa zake za chuki, ubinafsi, ufisadi, makundi, kupenda mno madaraka, kurithishana na kubinafsisha vyeo, na umafia mwingine wa kudhuru wenzake n.k Tanzania haitaji mtu wa aina hii hata kidogo..tunaowadhani watajitokeza tu muda ukifika hawana kwani hawana haja ya kusafishwa" kama mkuu wenu huyu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom