Waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond na mbunge wa Monduli Edward Ngoyai Lowassa si chochote kama anavyotaka tuamini. Ni chui wa wakaratasi, ni mbwa anayebweka sana lakini hakika hawezi kung'ata. Ni mwigizaji by profession na maisha yake yote ya kisiasa amekuwa anaigiza na kuna watu wa kutosha wanaoamini maigizo haya ni halisia! Of course alisoma degree ya "Theater Art"
Anajua fika hawezi kuwa rais wa nchi hii, afya yake haimruhusu na hawezi kuteuliwa na chama chake licha ya ukweli kwamba hata akiteuliwa uwezekano wa chama chake kushinda Urais kwa wapiga kura na mwamko utakaokuwepo 2015 ni mdogo na yeye anafahamu hilo. Swali: Kwanini anajifanya urais anautaka wakati anajua kamwe hili haliwezekani? Ili kuendelea kuwa relevant lazima atuaminishe anaweza kuwa raisi wa nchi hii siku moja, hicho kinafanya wajinga kadhaa wambabaikie na anakusudia kuliendeleza hilo kwa kipindi. Siku akisema hautaki uraisi he is finished!
Nikiangalia juzi alivyokuwa akihangaika kupenyeza pesa ya kuhonga wajumbe Arumeru Mashariki na namna ambavyo alilazimika kutumia watu wa Monduli zaidi nabaini hana mtandao mkubwa kama nilivyodhani awali. Ndio ana watu wake ndani ya CCM na serikalini aliowaweka katika kipindi chake kifupi cha uwaziri mkuu lakini nje ya hapo he is almost nothin! Nafahamu juhudi zake kuwanunua baadhi wa watu CDM lakini hazitafanya kazi. Nje ya CCM na serikalini hana lwake na ataendele akuanguakia pua kama alivyoangukia pua alipojaribu kumweka Batilda Arusha mjini.
Karibu Arumeru Mashariki Edward!
Anajua fika hawezi kuwa rais wa nchi hii, afya yake haimruhusu na hawezi kuteuliwa na chama chake licha ya ukweli kwamba hata akiteuliwa uwezekano wa chama chake kushinda Urais kwa wapiga kura na mwamko utakaokuwepo 2015 ni mdogo na yeye anafahamu hilo. Swali: Kwanini anajifanya urais anautaka wakati anajua kamwe hili haliwezekani? Ili kuendelea kuwa relevant lazima atuaminishe anaweza kuwa raisi wa nchi hii siku moja, hicho kinafanya wajinga kadhaa wambabaikie na anakusudia kuliendeleza hilo kwa kipindi. Siku akisema hautaki uraisi he is finished!
Nikiangalia juzi alivyokuwa akihangaika kupenyeza pesa ya kuhonga wajumbe Arumeru Mashariki na namna ambavyo alilazimika kutumia watu wa Monduli zaidi nabaini hana mtandao mkubwa kama nilivyodhani awali. Ndio ana watu wake ndani ya CCM na serikalini aliowaweka katika kipindi chake kifupi cha uwaziri mkuu lakini nje ya hapo he is almost nothin! Nafahamu juhudi zake kuwanunua baadhi wa watu CDM lakini hazitafanya kazi. Nje ya CCM na serikalini hana lwake na ataendele akuanguakia pua kama alivyoangukia pua alipojaribu kumweka Batilda Arusha mjini.
Karibu Arumeru Mashariki Edward!