Waziri mkuu aliachia ngazi kwa kashfa ya richmond nae ameongelea masuala mbalimbali yanayohusu nchi hii.Akiwa monduli katika hafla ya wahitimu wa chuo kimoja cha ufundi mjini humo Mheshimiwa lowasa ameusia umuhimu wa kuangalia suala la ajira kwa vijana ambalo tatizo limeongezeka mara dufu licha ya ahadi ya ajira milioni moja zilizoahidiwa na chama chake (CCM).Pia amesema wananchi wanaweza kujadili mambo muhimu mengine kama richmond na dowans.