Education is a war

bombu

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
1,127
542
Nimepanda gar na binti mmoja mwanafunzi, amevaa uniform, kwemye mfuko wa blouse yake kuna nembo yenye 'school motto' EDUCATION IS A WAR. Je, ni sahihi kuwaaminisha vijana/watoto wetu kuwa elimu ni vita?
 
Nimepanda gar na binti mmoja mwanafunzi, amevaa uniform, kwemye mfuko wa blouse yake kuna nembo yenye 'school motto' EDUCATION IS A WAR. Je, ni sahihi kuwaaminisha vijana/watoto wetu kuwa elimu ni vita?

ur ryt,,,,,its a huge war,,,,
 
yaan mimi nakubaliana nahuu msemo kabisa. nafikir unajua kuwa dhana nzima ya ellimu ni either ushinde au ushindwe, istoshe mtu akienda kwenye mchezo hapewi taji hata ameshindana kwa halali. so kwa wanafunzi mpaka wameshinda kwa halai ndipo watapata taji. hii ni vita na yawapasa kupigana.

wapigane na mafataki.........
wapigane na umeme wa shida...............
wapigane na nyanga ngumu, na nyingi..................
wapigane na makonda na madereva................
wapigane na hali mbaya ya kiuchum ya familia................
wapigane na foolish age...........
wapigane na ujinga...............

that is Tz education nobody cares.
 
yaan mimi nakubaliana nahuu msemo kabisa. nafikir unajua kuwa dhana nzima ya ellimu ni either ushinde au ushindwe, istoshe mtu akienda kwenye mchezo hapewi taji hata ameshindana kwa halali. so kwa wanafunzi mpaka wameshinda kwa halai ndipo watapata taji. hii ni vita na yawapasa kupigana.

wapigane na mafataki.........
wapigane na umeme wa shida...............
wapigane na nyanga ngumu, na nyingi..................
wapigane na makonda na madereva................
wapigane na hali mbaya ya kiuchum ya familia................
wapigane na foolish age...........
wapigane na ujinga...............

that is Tz education nobody cares.

tena mtoto anapaswa aandaliwe hivyo kuwa YUPO VITANI.....ANAPASWA KUPAMBANA kwa muda wote ambao anaitafuta elimu
 
To me it still ambiguos! war against what?? Nadhani angefafanua kidogo ingeleta maana nzuri zaidi..... Kama hiyo ni sahihi je mwingine akisema Education is a key to sucess ni yupi atakuwa sahihi? Je statement zinafanana?? au ndo yale ya kuita watoto Masumbuko, Mkashida, Tabu, halafu wanarithi majina hayo??
 
To me it still ambiguos! war against what?? Nadhani angefafanua kidogo ingeleta maana nzuri zaidi..... Kama hiyo ni sahihi je mwingine akisema Education is a key to sucess ni yupi atakuwa sahihi? Je statement zinafanana?? au ndo yale ya kuita watoto Masumbuko, Mkashida, Tabu, halafu wanarithi majina hayo??

Not quite, Education is War bado ni nzuri tu. It means education is a serious issue, it is no nonsense issue - Wakomae, wasirembe maana wako vitani.

know what there are some guys called Afterburner, they are ex-war pilots who train business executives to run businesses the way you fly B16.. you'll like if you see these guys at work .. training what they call flawless execution model..
 
Education real is a war when u consider education as a product. usually people gets education after interacting with knowledgeable individuals (such as parents, friends, teachers and other experts) or after reading various sources of knowledge (books, magazines, newspapers ect) or through hearing and viewing radios and television.After that this education is being used by an individual in the war of life. life is a battle ground which needs people to equip themselves with short guns, SMG, as well as Nuclear Bombs of education so as to win the war of life.
 
Ili kupatia vizuri lengo la msemo huu (motto) tafsiri ya mtu yeyote ilenge upande chanya na sio hasi
ni kweli "EDUCATION IS A WAR" kwa maana ya kwamba kuna vikwazo vingi vinavyokwamisha maendeleo wakati wa kuisaka elimu hivyo mwanafunzi hana budi kutambua hivyo na kuchukua hatua.
 
Back
Top Bottom