TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Jina lake kamili ni Edson oswald Mbogoro.Ni mwanasheria wa kujitegemea aliyepitia machungu mengi ikiwa pamoja na kuporwa ubunge na Nchimbi kule Songea lakini bado ameendelea kuwa mpiganaji na katika kesi ya Mnyika yeye ndiye aliyeshika kesi ya Mnyika na leo kaleta furaha kwa wanamapinduzi.Bravo Mwanasheria Mbogoro.