Economical/Business/Investments activities za Lowassa ni zipi?

Ukweli husemwa:

Mbona watu wanapiga sana kelele hapa. Kama ni kutaka kujua mali za Mh Lowassa si wanaweza kwenda kwenye Baraza la Baadili ya Viongozi wa Umma na huko watajua kile ambacho Mh Lowassa ana miliki. Na kama hakujaza hizo fomu, basi atakuwa amekiuka sheria namba 13 ya Maadili ya Viongozi wa Umma ambayo inawataka kuwasilisha tamko la rasilimali na madeni yao kwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Kuhusu jinsi alivyoupata utajiri. Well, Watanzania wajanja ambao karibu wote kwa sasa ni Matajiri wakubwa wamenufaika na kipindi ambacho Nchi ilikuwa inapitia kipindi cha mpito kutoka ujamaa kuelekea ubepari ambapo sheria nyingi za umilikaji kiharali wa raslimali hazikuwa imara na nyingine ndiyo zilikuwa katika mchapuo wa utungwaji ili kuziba mianya ya rushwa na uporaji wa maliasili.

Nitashangaa kama atapatikana mfanyabiashara yeyote ambaye hakufanya usanii katika kipindi hicho ili kumiliki kibinafsi rasilimali za nchi. Ndiyo maana watu wajanja kama kina Rejinald Mengi hawataki kujiingiza kwenye siasa kwa vile wanajua siasa ni sehemu ambayo madudu mengi huchimbuliwa na kuanikwa kwa jamii.

Ukiangalia nchi karibu zote duniani ambazo zilikuwa na siasa za kijamaa na kuamua kufuata siasa za kibepari(USSR-Russia, China na nchi za ulaya ya mashariki(Poland, Romania, Croatia nk). Kipindi hicho cha mpito kimenufaisha watu wajanja wachache ambao kipindi hicho kiliwakuta wako katika nafasi ya nzuri kisiasa na kiuchumi aka Roman Abramovich.

Ningefarijika sana kama pia nchi ingekuwa na sheria inayomtaka kiongozi anayetaka kuongoza nchi lazima aweke mapato yake wazi na aeleze katika jamii ni jinsi gani alivyopata hicho kipato badala ya kuitaja tu kama inavyofanyika sasa. Tatizo ni nani atakayethubutu kumfunga paka kengele. Na wabunge wetu ndiyo hawa wapokeaji na watoaji wazuri wa rushwa.

Ninachombeza tu...

Ukishasema kwamba mtu alinufaika kwa kutumia fursa ya economic system transition basi mtu huyo si mwaminifu kwani hawezi ku-resist temptation ya kujinufaisha apatapo fursa.Disqualification number one!
-Kuhusu fomu za maadili hata kama amejaza,katika wimbi hili la tuhuma za rushwa dhidi yake kwa nini asitoke hadharani kutangaza source ya utajiri wake kama anaamini kwamba anaonewa?Kukaa kwake kimya ni kutoa taswira hata akiongoza taasisi haiwezi kuwa transparent kama ameshindwa kuwa honest na assets zake
-Hawezi kulinganishwa na Nyerere ambaye alikua na fursa za kujitajirisha kwa hila
-Hawezi kulinganishwa na Dr.Slaa ambaye hata posho yake kwa mwezu inajulikana au Zitto Kabwe ambaye kwa uwazi
-Narudia tena,je ni crime kwa yeye kutangaza mali alizoorodhesha mbele ya tume ya maadili hata kama hakuna sheria inayoazimisha?
-Hayo maswala ya Nyumba za kariakoo ilikua ni wajibu wake,kwani angefanya nini tofauti na hilp?
 
bro, SAANANE, nashukuru tumekubaliana kuwa anatoa misaada kwa uwazi, ila unataka akufahamishe vyanzo vyake vya mapato , siku zote vingozi kila mwaka hujaza fomu zinazotolewa na tume ya maadili kuelezea mali ulizonazo bila shaka EL hufanya hivyo, tukubaliane nchi hii ukiwa kiongozi fursa za kutajirika kihalali ni kubwa mno ukiwa mbunifu na kutumia vzr fursa ulizonazo[ nasikia huyu bwana ana mashamba ya maua anauza nje ya nchi,kwa kuwa ni mwanasiasa mkubwa ktk nchi ndani na nje ya nchi fursa yake kupata soko bora ni ya juu.vilevile mji wa Arusha ukiwa na majengo bora utapata wapangaji watakao kulipa vzr EL nilimsoma kwenye gazeti la rai 1995 akithibitisha kuwa anazo nyumba na moja ya wapangaji wake ni balozi ya SA tutakubaliana pia wapangaji wake pia watakuwa ni wale wanao mlipa vzr, vile vile aliendelea kuelezea kuwa anayo mifugo mingi saaana. baada ya kuondolewa Azimio la Arusha kiongozi azuiliwi kuwa na hisa ktk makampuni kwa fursa aliyonayo na uwezo wa kifedha ni rahisi kupata/kushawishi/kushawishiwa kufanya ubia na wawekezaji wa ndani na nje ya nchi na yy kujipatia kiasi kikubwa cha fedha. EL akiwa waziri wa ardhi aliwashauri wakazi wa kariakoo kutokubali kuuza nyumba zao bali waingie mikataba na hao wanunuzi wao watoe ardhi, mnunuzi atoe mtaji wafanye biashara. hiyo ni vision baada ya kuona wananchi wanahadaika na fedha kidogo za uuzaji majengo yao. watu wanadai amenunua ranchi nyingi za taifa jiulize amenunua kwa gilba au kwa uwazi je ni kosa kwake yy kununua ? mwisho mapendekezo ya katiba mpya fomu za mali za viongozi zisiwe SIRI.

Hiyo post niliyomjibu Msemaji ukweli hapo juu inakuhusu hasa kipengele cha Kariakoo na fomu ya maadili
 
Ukweli husemwa:

Kwanza naomba ufahamu kuwa mimi sifagii njia ya Mh Lowassa kisiasa. Ninajaribu kukupa ukweli wa hali halisi ilivyokuwa mpaka tumefika hapa tulipo.

Ni kweli mali zote za Mh Lowassa ni 'questionable' kama ilivyo kwa wafanyabiashara wakubwa wa Kitanzania. Huwezi ukasema mtu huyo siyo mwaminifu kama alitumia sheria za uwekezaji za kipindi hicho ili kujitajirisha. Kisiasa inaonekana kama hana moral authority pamoja na kwamba alizipata kisheria. Tukubaliane kuwa sheria na siasa ni vitu viwili tofauti katika macho ya wananchi. Ndiyo maana hata Mwl Nyerere alimuuliza swali la kisiasa na siyo la kisheria kwa sababu kama Mwl Nyerere alijua Mh Lowassa amepata mali kisivyo kisheria, kwa nini hakumshughulikia wakati akiwa Rais na Mh Lowassa akiwa pale AICC.

Swala la kujitokeza kwa sasa ili ataje mali zake zote ni swala la muda wake na mpangilio wake wa kisiasa. Lakini hiyo haiwezi kufanya kiwe kigezo cha kutaka kumlinganisha na wanasiasa wengine kama Nyerere, Dr Slaa na Zitto Kabwe ambao walishakuwa Rais, wagombea Urais na watarajiwa ugombea Urais. Kama atatangaza kama angependa kugombea kuwa Rais wa Nchi yetu, hapo ndipo tutakuwa na moral autholity ya kutaka kujua mali zake.

Kwa nini tunampa sifa kwenye majukwaa ambayo hapaswi kuwa nayo kwa sasa, si kwa sasa ni mbunge tu kama wabunge wengine aka Ezekiel Wenje.

Huwezi ukamu disqualify kwa sasa kwa vile hujapata ukweli halisia au kwa vile kuna 'grey area' katika maisha yake ambayo hatuyajui vizuri zaidi ya kupata kupitia mitandaoni.

Niseme tu kuwa, ni kweli kama kiongozi wa kisiasa anakuwa amepungukiwa na moral autholity, basi uongozi wake lazima uwe na matata. Angalia siasa za USA, Romney ana hangaishwa na swala la moral autholity kwa vile tu aliamua kuweka pesa yake kisheria kwenye nchi ambazo ni Tax heaven.

Nchi yetu kwa sasa inahitaji kiongozi mkali na pia mwenye moral autholity. I'm afraid, if is already born. Nafikili tutampata kutoka siyo hii generation ya wazee wetu waliokuwepo kwenye kipindi cha siasa za Ujamaa na Kujitegemea. That's why, We want the age limit to be reduced and also to limit the upper age for coming President.


Ukishasema kwamba mtu alinufaika kwa kutumia fursa ya economic system transition basi mtu huyo si mwaminifu kwani hawezi ku-resist temptation ya kujinufaisha apatapo fursa.Disqualification number one!
-Kuhusu fomu za maadili hata kama amejaza,katika wimbi hili la tuhuma za rushwa dhidi yake kwa nini asitoke hadharani kutangaza source ya utajiri wake kama anaamini kwamba anaonewa?Kukaa kwake kimya ni kutoa taswira hata akiongoza taasisi haiwezi kuwa transparent kama ameshindwa kuwa honest na assets zake
-Hawezi kulinganishwa na Nyerere ambaye alikua na fursa za kujitajirisha kwa hila
-Hawezi kulinganishwa na Dr.Slaa ambaye hata posho yake kwa mwezu inajulikana au Zitto Kabwe ambaye kwa uwazi
-Narudia tena,je ni crime kwa yeye kutangaza mali alizoorodhesha mbele ya tume ya maadili hata kama hakuna sheria inayoazimisha?
-Hayo maswala ya Nyumba za kariakoo ilikua ni wajibu wake,kwani angefanya nini tofauti na hilp?
 
Acheni kuishi kwa hisia eti kwenye kila chaguzi za CCM anayeshindwa akilalamika kuwa rushwa imetumika basi huyo ni mtu wa EL. kuna kikundi cha washindani wake kisiasa kinatumia kila njia kumchafua kila kukicha, EL anawaacha hoi pale anapokaa kimyaa ,kwenye list of shame EL aliorodheshwa kwa kuwa alivunja mkataba wa City Water .ambao walikimbilia mahakamani na serikali ikashinda. matumizi makubwa ya fedha anayotoa , EL ni MKULIMA MKUBWA, MFANYABIASHARA MKUBWA, MFUGAJI MKUBWA, NA MWANADIPLOMASIA MKUBWA, ametoa misaada mingi ya fedha kwa uwazi sasa wasionacho huongozwa na hisia mbaya oooh mwizi, fisadi, anataka urais jamani ukiwa na fursa ya kuweza kutajirika jitume tumia fursa zako acha anasa, wivu, choyo na husuda . 
lakini si kwa kukwapua rasilimali za njii hii kaka
 
Ukweli husemwa:

Kwanza naomba ufahamu kuwa mimi sifagii njia ya Mh Lowassa kisiasa. Ninajaribu kukupa ukweli wa hali halisi ilivyokuwa mpaka tumefika hapa tulipo.

Ni kweli mali zote za Mh Lowassa ni 'questionable' kama ilivyo kwa wafanyabiashara wakubwa wa Kitanzania. Huwezi ukasema mtu huyo siyo mwaminifu kama alitumia sheria za uwekezaji za kipindi hicho ili kujitajirisha. Kisiasa inaonekana kama hana moral authority pamoja na kwamba alizipata kisheria. Tukubaliane kuwa sheria na siasa ni vitu viwili tofauti katika macho ya wananchi. Ndiyo maana hata Mwl Nyerere alimuuliza swali la kisiasa na siyo la kisheria kwa sababu kama Mwl Nyerere alijua Mh Lowassa amepata mali kisivyo kisheria, kwa nini hakumshughulikia wakati akiwa Rais na Mh Lowassa akiwa pale AICC.

Swala la kujitokeza kwa sasa ili ataje mali zake zote ni swala la muda wake na mpangilio wake wa kisiasa. Lakini hiyo haiwezi kufanya kiwe kigezo cha kutaka kumlinganisha na wanasiasa wengine kama Nyerere, Dr Slaa na Zitto Kabwe ambao walishakuwa Rais, wagombea Urais na watarajiwa ugombea Urais. Kama atatangaza kama angependa kugombea kuwa Rais wa Nchi yetu, hapo ndipo tutakuwa na moral autholity ya kutaka kujua mali zake.

Kwa nini tunampa sifa kwenye majukwaa ambayo hapaswi kuwa nayo kwa sasa, si kwa sasa ni mbunge tu kama wabunge wengine aka Ezekiel Wenje.

Huwezi ukamu disqualify kwa sasa kwa vile hujapata ukweli halisia au kwa vile kuna 'grey area' katika maisha yake ambayo hatuyajui vizuri zaidi ya kupata kupitia mitandaoni.

Niseme tu kuwa, ni kweli kama kiongozi wa kisiasa anakuwa amepungukiwa na moral autholity, basi uongozi wake lazima uwe na matata. Angalia siasa za USA, Romney ana hangaishwa na swala la moral autholity kwa vile tu aliamua kuweka pesa yake kisheria kwenye nchi ambazo ni Tax heaven.

Nchi yetu kwa sasa inahitaji kiongozi mkali na pia mwenye moral autholity. I'm afraid, if is already born. Nafikili tutampata kutoka siyo hii generation ya wazee wetu waliokuwepo kwenye kipindi cha siasa za Ujamaa na Kujitegemea. That's why, We want the age limit to be reduced and also to limit the upper age for coming President.

-Mkuu unajua tuko ukurasa mmoja kwa baadhi ya mambo.
-Suala la mtu kuvizia muda wa kutangaza mali zake ni muendelezo wa matatizo.Uadilifu wa kiongozi yeyote ni kujibu tuhuma na kuchukua hatua anapotuhumiwa.Yes,Slaa aligombea urais na mshahara wake ulikuwa ukijulikana akiwa mbunge.Zitto nae ametangaza nia lakini ni Mbunge na mshahara wake unajulikana na hata account zake ametaja
-Pamoja na kwamba hajatangaza kugombea bado haiondoi uhitaji wa kutaja mali zake.Kwa waelewa wa siasa wanajua what's going on
-Nyerere kumuuliza swali hilo lenye sura ya kisiasa ilimzuia nini yeye kuchukua hatua za kisiasa na hata kisheria kama ingebidi?
-Napinga hoja yako ya umri.Uadilifu hauna umri.Vinginevyo tutakuwa tunatengeneza mafisadi wapya kila siku
-By the way what's the connection kati ya hii mada na waliozaliwa kipindi cha ujamaa?I mean,what is the correlation?
-Pia hakuna mahali ambako nimesema unamfagilia njia ya kisiasa
 
lakini si kwa kukwapua rasilimali za njii hii kaka

ushahidi wa alipokwapua ndo haupo sasa.ndo maana hata kambarage alikua na maswali mengi.
Kama alianza kazi pale AICC mwaka 1989 kufikia 1995,wanamuuliza utajiri kapata wapi ndani ya miaka 6,NDO KUSEMA HAPO AICC kulihifadhiwa hazina ya serikali akawa anajichotea?.
 
ushahidi wa alipokwapua ndo haupo sasa.ndo maana hata kambarage alikua na maswali mengi.
Kama alianza kazi pale AICC mwaka 1989 kufikia 1995,wanamuuliza utajiri kapata wapi ndani ya miaka 6,NDO KUSEMA HAPO AICC kulihifadhiwa hazina ya serikali akawa anajichotea?.
acha kuchanganya madudu 1995 Lowassa alikuwa tayari Waziri kamili tena wa Ardhi! tena alichukua fomu za kugombea Urais kama unakumbuka vizuri wakati huo walipachikwa jina Boys to men yeye na JK! Na kisa cha wao kushindwa ilikuwa Mwl alianza na Lowassa kwa maswali ya kukata maini pili akaja na JK kwa kigezo cha kuwa hana uzoefu/uwezo asubiri kwanza!
 
acha kuchanganya madudu 1995 Lowassa alikuwa tayari Waziri kamili tena wa Ardhi! tena alichukua fomu za kugombea Urais kama unakumbuka vizuri wakati huo walipachikwa jina Boys to men yeye na JK! Na kisa cha wao kushindwa ilikuwa Mwl alianza na Lowassa kwa maswali ya kukata maini pili akaja na JK kwa kigezo cha kuwa hana uzoefu/uwezo asubiri kwanza!



Lowassa hata Mkapa alipata shida, huyu ni hatari!!! Mara ampe uwaziri mara amtoe, mara amrudisheee!!!!
 
bro, Saanane nilijaribu kukuelewesha EL alivyowazindua wazawa ambao ni wamiliki wa majumba eneo la kariakoo kwa kuwa yy mwenyewe ni muumini wa umilikaji majengo anajua faida yake, 2. ni kweli huwezi kumfananisha Mwl Nyerere na mwanasiasa mwingine yeyote ktk Tanzania hii si EL peke yake hata DR slaa mf. MWl aliacha kazi ya mshahara ili kujenga chama cha TANU . wakati DR Slaa alipoombwa awe mgombea wa CDM nafasi ya Urais aliweka mbele maslshi yake kwanza kwani alijua wazi hawezi kushinda hivyo chama kiweke wazi masurufu yake atakayopewa kwani anauhakika akigombea ubunge atapata hivyo chama kikatii, Smart boy Zitto huyu ni kijana mchapakazi anaye jua kutumia fursa anazopata kama mwanasiasa na mwanasheria kujijenga kimapato na muda wote ktk kauli zake hukuti anataja , CDM au CCM au majungu ya wanasiasa wavivu na wazembe wanaoshindwa kutumia fursa zao halali kujijenga kimaendeleo na kisiasa na kubakia kuwapa wenzao majina mabaya ili wachukiwe na wananchi kwa faida yao kisiasa . siku zote Zitto anazungumzia mustakabali wa taifa kiasi hata CDM wanashindwa kumuelewa sababu ya ubinafsi.3 kutaja mali tusubiri akionyesha nia ya kugombea wale wote wenye mashaka na utajiri wake waombe mdahalo wa wazi ili wamuhoji na walidhike na atakacho kieleza kuliko sasa wengi wanamajibu ya kufikirika vichwani mwao ktk nchi hii kuna watu wengi saana ambao wanafedha nyingi kuliko wanasiasa hivyo kuwa mwanasiasa maanake sio uwe lofa.
 
bro, Saanane nilijaribu kukuelewesha EL alivyowazindua wazawa ambao ni wamiliki wa majumba eneo la kariakoo kwa kuwa yy mwenyewe ni muumini wa umilikaji majengo anajua faida yake, 2. ni kweli huwezi kumfananisha Mwl Nyerere na mwanasiasa mwingine yeyote ktk Tanzania hii si EL peke yake hata DR slaa mf. MWl aliacha kazi ya mshahara ili kujenga chama cha TANU . wakati DR Slaa alipoombwa awe mgombea wa CDM nafasi ya Urais aliweka mbele maslshi yake kwanza kwani alijua wazi hawezi kushinda hivyo chama kiweke wazi masurufu yake atakayopewa kwani anauhakika akigombea ubunge atapata hivyo chama kikatii, Smart boy Zitto huyu ni kijana mchapakazi anaye jua kutumia fursa anazopata kama mwanasiasa na mwanasheria kujijenga kimapato na muda wote ktk kauli zake hukuti anataja , CDM au CCM au majungu ya wanasiasa wavivu na wazembe wanaoshindwa kutumia fursa zao halali kujijenga kimaendeleo na kisiasa na kubakia kuwapa wenzao majina mabaya ili wachukiwe na wananchi kwa faida yao kisiasa . siku zote Zitto anazungumzia mustakabali wa taifa kiasi hata CDM wanashindwa kumuelewa sababu ya ubinafsi.3 kutaja mali tusubiri akionyesha nia ya kugombea wale wote wenye mashaka na utajiri wake waombe mdahalo wa wazi ili wamuhoji na walidhike na atakacho kieleza kuliko sasa wengi wanamajibu ya kufikirika vichwani mwao ktk nchi hii kuna watu wengi saana ambao wanafedha nyingi kuliko wanasiasa hivyo kuwa mwanasiasa maanake sio uwe lofa.

Angekuwa mwadilifu basi angetaja mali zake alipojiuzulu tu.Pia ni kipi kilichomzuia kutaja mali zake hadharani kama Pinda alipokuwa waziri mkuu?

-Kama alikuwa na guts za kutishia watu kwa madai kwamba wanamchafua ni kwa nini isiende sambamba na kutaja mali zake?
-Dr.Slaa kama analipwa posho ni kwa utashi wa Chama na hata siku moja Chadema haiwezi kushurutishwa.Analipwa posho kama wanavyolipwa watumishi wengine posho halali.Halafu uache kupotosha watu,Nyerere aliacha kazi akafanya kazi ya kujenga chama na alikuwa akipewa sapoti na wanachama na chama chake pia.Ndicho ambacho CHADEMA inafanya kwa Dr.Slaa na ndicho exactly Dr.Slaa anafanyia chama kama katibu mkuu

-Ati unachukia viongozi wa Chadema kuita watu mafisadi? mkuu ulitaka waitweje?hata misahafu imewaita wazinzi na wezi kwa majina yao.
-Unasema Zitto haitaji CCM au Chadema? Angekuwa mwanasiasa wa hovyo sana kama ingekuwa hivyo.Sheikh au Askofu anawezaje kuilaani dhambi bila kumtaja shetani?Naona hapa unataka kuleta siasa za kuigawa Chadema tu.Hoja hapa ni huyo rais wako jasiri anayeogopa mali zake....

Kwa taarifa yako Zitto jana amesema ataongoza ajenda ya Chadema ya kuwataja walioweka fedha Uswis.Sasa hapo hajaitaja Chadema kivipi?

-Kuhusu suala la mdahalo natamani awe na ujasiri huo.Nitamuuliza siyo hilo tu nitahoji hata falsafa yake ya kinafiki kwamba ukosefu wa ajira ni bomu linalotarajia kulipuka.Hilo bomu lilianza lini haswa na yeye kama si muhusika wa kutengeneza ukosefu wa ajira
 
nakubaliana na ww bro, lkn ni kweli tunazifahamu rasillimali zetu na tunafahamu na jinsi ya kuzilinda. au ni jukumu la wanasiasa peke yao. jiulize mwanasiasa anatakiwa awe mzembe, asiyejituma kimaendeleo binafsi, mpenda anasa , ili akiwa lofa tuseme alikuwa mwaminifu. ukiwa mwanasiasa na ukatajirika basi tuseme umeiba,
 
nakubaliana na ww bro, lkn ni kweli tunazifahamu rasillimali zetu na tunafahamu na jinsi ya kuzilinda. au ni jukumu la wanasiasa peke yao. jiulize mwanasiasa anatakiwa awe mzembe, asiyejituma kimaendeleo binafsi, mpenda anasa , ili akiwa lofa tuseme alikuwa mwaminifu. ukiwa mwanasiasa na ukatajirika basi tuseme umeiba,

Sipingi maendeleo binafsi.Maendeleo yapatikane kwa njia halali na zilizo wazi

-Ukosefu wa transparency ni mazingira mazuri kwa ufisadi kutamalaki
-Hatuwezi kujenga jamii yenye staha huku tukiwa tunakumbatia impunity.
-Pia napinga mwanasiasa kutojituma na kutumia ovyo bila uwajibikaji katika maisha binafsi.Ndiyo maana Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alisema Pinda si mfano bora wa kuigwa baada ya kutangaza ana sh.Millioni 25 tu kwenye akaunti zake.Amefanya kazi miaka karibia 40
 
Sipingi maendeleo binafsi.Maendeleo yapatikane kwa njia halali na zilizo wazi

-Ukosefu wa transparency ni mazingira mazuri kwa ufisadi kutamalaki
-Hatuwezi kujenga jamii yenye staha huku tukiwa tunakumbatia impunity.
-Pia napinga mwanasiasa kutojituma na kutumia ovyo bila uwajibikaji katika maisha binafsi.Ndiyo maana Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alisema Pinda si mfano bora wa kuigwa baada ya kutangaza ana sh.Millioni 25 tu kwenye akaunti zake.Amefanya kazi miaka karibia 40

kwahiyo kumbe lowasa ndio mfano wa kuigwa as long as there is no evidence to show kwamba aliiba au kupokea rushwa.
END OF DISSCUSION.
 
Mh, huyu bwana EL anatisha kweli. Lakini nafikiri ni lazima tukumbuke kuwa huyu jamaa ni mchumi kitaaluma, kwahivi, amefanikiwa kuitendea vyema taaluma yake
 
nakubalina na ww ktk vipengele kadhaa na sikubalini na ww maeneo kadhaa1, nimegundua kuwa ww ni CDM utanisahihisha kama siko sahihi,2 , mengi ninayo yaandika ni mawazo yangu na mengine nayatoa toka ktk magazeti, radio na tv hivyo kama mtanzania sina nia yoyote ya kukigawa cdm ila yale nilioandika juu ya Dr Slaa kuwa aliweka maslahi mbele niko sahihi na ww unalijua vzr na kila mtanzania mwenye kufuatilia siasa analijua hilo ila si dhambi au ubaya kufanya hivyo. najua labda ulitaka nimfananishe na mwl narudia hakuna mwanasiasa yeyote ktk karne hii utakaye mfananisha na Mwl. si EL wala DR slaa jiulize huyu Padri mstaafu kwanza kitu gani? kilimtoa huko aaah hilo ni jambo binafsi, [hapana ni mgombea huyu mpiga kura nataka kujua] alikuwa akiishi na BI ROSE sasa iweje yuko na mwingine [ kwanini wasumbuane mahakamani] ushauri kama amezaa na Bi Rose akalee watoto na aishi naye na wafunge ndoa. 4. kutaja mali lini na wapi? si kwa EL kwa viongozi wote. 5. CDM kutaja watu kuwa mafisadi nakubaliana na ww hiyo ni haki yao kisiasa ila sikubaliani na viongozi wa CCm kuwaita wenzao mafisadi hapa umejaa wivu,fitina, husuda na chuki. 6 , Smart boy Zitto nimemfuatilia saana na nampenda ule msimamo wake wa taifa kwanza agombee uraisi asigombee taifa limpe nafasi atafanya makubwa. 7, watanzania wote tutaje mali zetu tumezipataje.
 
kwahiyo kumbe lowasa ndio mfano wa kuigwa as long as there is no evidence to show kwamba aliiba au kupokea rushwa.
END OF DISSCUSION.

Usikurupuke kufunga mjadala soma post zilizopita
-Kinyume cha kiongozi goigoi si kiongozi mchapakazi asiye mwadilifu.Tanzania haina option hizi tu unless tuwe wavivu wa kufikiri ndipo tutakapofunga mjadala namna hii
 
Back
Top Bottom