Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,357
Nampongeza mtoa mada na wachangiaji kwa umahili na hoja zao. Watanzania tunaitaji kujua Rais ajaye ni mtu wanamna gani na anauwezo gani wakuongoza watu.
Propaganda chafu na matumizi ya fedha kwenye chaguzi viongozi ngazi zao juu ndo imetufikisha hapa tulipo.
EL anajua Watanzania ni maskini na kupitia chaguzi za ndani ya chama chao tayari ameona anaweza kufunika kombe. Kazi kubwa ya Watanzania wanaoipenda nchi yao nikwenda zaidi ya mitandao na kuingia vijijini waliko wapiga kura na kuwaeleza EL alivyo na wengine kama yeye.
Propaganda chafu na matumizi ya fedha kwenye chaguzi viongozi ngazi zao juu ndo imetufikisha hapa tulipo.
EL anajua Watanzania ni maskini na kupitia chaguzi za ndani ya chama chao tayari ameona anaweza kufunika kombe. Kazi kubwa ya Watanzania wanaoipenda nchi yao nikwenda zaidi ya mitandao na kuingia vijijini waliko wapiga kura na kuwaeleza EL alivyo na wengine kama yeye.