Kwa sisi wa Amerika, Lay Off si mchezo na hakuna kazi... watu sasa wanalala Wall Street; kupiganga serikali kukopesha mabenki lakini mabenki hayakutoa mikopo au unafuu kwa nyumba watu walizonunua waliwaondoa wateja nje ya nyumba kwa nguvu na watoto kuwafanya home less ni kazi na unajua sio kama bongo unaweza kukimbilia kwa ndugu zako au wazee kijijini
Uzuri wa watu wa nje ni rahisi kupanda ndege na kurudi nyumbani
Kwa huku marekani mambo si mazuri kwa wafanyakazi. Hakuna overtime, si rahisi kuapata kazi ya pili,wamepunguza benefits kazini,na wana lay oof watu kama utitiri. Watu wengi wanasubiri hii Jobs bill, ambayo itaweza kutengeneza kazi za ujenzi wa miundombinu na njia za usafirishaji, na kuwapa nafuu waajiri.
Kukiwa na overhaul ya infrastructure, hata watu wa IT, sales,service industry...etc wanaweza wakapata soko pia. But for now things are not that rosy.
Ila kama una cash money, vitu vingi ni bei rahisi sana nowadays, watu wanauza michuma, interest rates za morgages zimepungua, nyumba bei zimeshuka, a lot of things bei zimeshuka. Hivyo kama unajua wapi pa kupata dhahabu kwa bei poa, holla at me!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.