Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Huyu rafiki yangu,alikua na mmanzi wake wa enzi hzo,wamefka chuo,ka kawaida ya wadada,akampga chni msela,wel msela kabembeleza wee,bt response ikawa zero as mmanzi alimchana live kwamba ana msela wake mwngne,msela akaamua kumpotezea ile kwa shngo upande mwaka jana ingawa alikua somtym anamtext ila ndo vle manzi hajbu,sasa,jion ya leo yule mmanzi kamtext msela sms ya mapenzi,na kwa kuwa jamaa alikua busy akamjbu tu asante na nashukuru kwa kunikumbuka.bas mda huu eti yule manzi amem2mia tena huyu msela txt nyngne,inasema,sory,tht txt ws not yours.sasa wakuu huyu kiumbe alikua anapima upepo au vp?mshaurin kijana mwenzetu.