Wakuu hii imekaaje
scholarship za Newzealand wanasema kwa mtanzania lazima matokea ya IELTS
Kwa Kenya, Zambia, zimbabwe na Africa kusini hayahitakiji
Na hiyo IELTS kwa hapa kwetu inafanyika wapi?
Siasa nayo imepamba moto kiswahili kitumike hadi chuo kikuu ndo kusema hizi scholarship tutaanza kutengwa?
http://www.nzaid.govt.nz/library/docs/scholarships-africa-cp-2010-2.pdf
scholarship za Newzealand wanasema kwa mtanzania lazima matokea ya IELTS
Kwa Kenya, Zambia, zimbabwe na Africa kusini hayahitakiji
Na hiyo IELTS kwa hapa kwetu inafanyika wapi?
Siasa nayo imepamba moto kiswahili kitumike hadi chuo kikuu ndo kusema hizi scholarship tutaanza kutengwa?
http://www.nzaid.govt.nz/library/docs/scholarships-africa-cp-2010-2.pdf