- Thread starter
- #21
kijana naona umerud likizo kwa mbwembwe, karbu bwana!
thnx men, lakin ndo kwnza narud xul, c u nxt tym zile anga ze2!
kijana naona umerud likizo kwa mbwembwe, karbu bwana!
Ulikuwa wapi dogo...nimekumiss kwenye free style battle
habari zenu wanaJF,
Kwa wale tunaofuatilia matangazo ya kituo cha televishen EATV (channel 5) utangundua kuwa kituo kimepoteza ubora sababu nyimbo kila siku (kama kwa muda wa wiki 3) hizohizo na kwa mtiririko uleule, sa nyingine wanakatisha nyimbo. Hali hii inakera sana...wahusika fanyeni mabadiliko 2MECHOKA!
thnx men, lakin ndo kwnza narud xul, c u nxt tym zile anga ze2!