nyangau mkenya
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,056
- 1,296
Wakoloni waliokuwa Settlers walisettle in Nairobi na kufanya makubwa sana,na hii kwa sehemu kubwa ni kazi yao.Sijapaona pale mahali pazuri sana known as KIBERA ambapo wanaishi wakenya matajiri sana! teh teh teh teh,,, ag ag ag ag!
katiba ya kenya ni ya settlers kama iyo ya tanzania??Wakoloni waliokuwa Settlers walisettle in Nairobi na kufanya makubwa sana,na hii kwa sehemu kubwa ni kazi yao.
Sijazungumzia suala la katiba mkuu.katiba ya kenya ni ya settlers kama iyo ya tanzania??
Wakoloni waliokuwa Settlers walisettle in Nairobi na kufanya makubwa sana,na hii kwa sehemu kubwa ni kazi yao.
lengo ilikuwa ni kukudhibitishia kuwa wakenya wana bidii kuijenga taifa yao na mafanikio yetu na jiji la nairobi haiusiki kamwe na settlersSijazungumzia suala la katiba mkuu.