Bora wao wanawapeleka kwenye hizo court of law,nyie vipi mnaibiwa 100m USD mchana kweupe na hakuna hata prosecution moja na bila aibu eti mnaambiwa na viongozi wenu hawajui nani anamiliki Richmond...lol!
Goldenberg = one fifth of the Kenya's GDP, gone (with the wind?). Moi bado anadunda! Thanks for lecturing us!