East Africa Fibre Optic Cable: Connectivity, issues & progress

TTCL jana wametoa Press release kwenye Daily News and Guardian kwamba wame connect na SEACOM tangu tarehe 26 July 2009
 
Hizo bei zimeanza/zitaaanza lini?

Nahisi bei hiyo imeshaanza, maana hata kwenye website yao wame-update kuambatanisha hizo rates mpya.


Nimeona kwamba kuna masharti huko TTCL, ni vyema wateja wakafahamu. Mfano,
In order to sustain broadband services your account must use at least Tsh 20,000.00 per month. Broadband accounts spending less shall expire and may be re-assigned to other subscribers.

http://www.ttcl.co.tz/broadband_pricing.asp
 
Kisura

Naona hujafuatilia hizo gharama za simu na unaongea toka hewani tu.Sikatai kuwa gharama za simu ni kubwa hapa Tanzania ukilinganisha na nchi zilizoendelea ila gharama uliyoiweka hapa ni kubwa sana ukilinganisha na gharama halisi kwa sasa.Siku kwa sasa imekuwa relatively cheaper isipokuwa kwa network kama Voda ambayo imekuwa bado ni ghali.Lakini ukiangalia mtandao kama Zantel nafikiri ndo cheapest kwenye market kwa sasa kwani kupiga locally ni cheap lakini pia unaweza kufanya international call say to the united states kwa Tsh kama 400/dakika.

Nafikiri kama unataka kupiga simu za kibiashara gharama kama hizo za Zentel zinaweza kuwa affordable lakini katika mazingira yetu simu imegeuzwa kuwa kama chombo fulani cha starehe kwa hiyo unaona kabisa matumizi yetu yanakuwa si ya manufaa na ya tija bali ni katika kujifurahisha zaidi.

Kuhusu text nafikiri kwa sasa kama ulimwengu umeamia upande huo hasa kwa vijana maana hata nchi zilizoendelea unaona vijana wana-text mno licha ya kuwa gharama za kupiga ni nafuu sijui kama umegundua hilo lakini ukifanya ka-utafiti kidogo utaweza kuona hilo.

Kuhusu mipango ya Tanzania katika kuweka fibre nchi nzima yaani hili kwa kiasi kikubwa limefanikiwa...just to let you know makampuni ya serikali kama TTCL na TANESCO walishakuwa na fibre inayo-run karibu sehemu kubwa ya Tanzania na sidhani kama hao wenzetu majirani kama Kenya wameshafikia huko.Hivi navyokuambia TTCL tayari wameshaanza kutumia fibre na quality ya services zao ime-improve in a way.

Tatizo ni kuwa matumizi hayo ya fibre hayawezi ku-reflect cost za gharama za simu na mtandao kwa ujumla kwa kuwa makampuni mengi hapa nyumba tayari yalikuwa kwenye contracts na ISP wakumbwa wanaotoa services za satellite so itachukua muda kabla ya kuona punguzo la moja kwa moja kwenye gharama za simu na mtandao.
 
Teams cable live next week


PIX.jpg



The East African Marine Systems (Teams) cable is to go live next week, Dr Bitange Ndemo, permanent secretary ministry of Information and Communication has said.

The launch of the system, which could drive bandwidth prices down due to competition among shareholders was to have taken place on Friday but did not materialise.

Dr Ndemo had earlier on Friday morning confirmed that the cable was to be launched by President Mwai Kibaki, but later said it had been put off.

“We were unable to go ahead with the launch as the President was taking part in an event to raise funds for the Faza Island fire victims,” he told Saturday Nation.


Pricing

As soon as the cable is handed over to Teams by the contractors, connectivity will be activated and it will then be up to each investor to decide the pricing and timing of the launch of their individual bandwidth on the cable, Mr Michael Joseph, Teams chairman and CEO Safaricom said in reference to the competition among shareholders.

“Capacity will be sold by shareholders of the cable as licensed telecommunications operators. The shareholders are all competitors in the market place and this level of competitiveness will ensure the price of capacity at both the retail and wholesale levels will be more affordable than that currently being sold by competing cable systems,” said Mr Joseph.

“The shareholding in Teams Ltd is directly proportional to the equivalent ownership of the cable system’s share of capacity,” he said.

The partnership between Tata Communications and AccessKenya Group to establish a local access point to the internet in Kenya is expected to benefit players as the cable goes live.

It will allow internet service providers to access a direct link between Kenya and other world destinations.

Earlier, service providers in the country needed to buy international fibre through a cable network to London to offer Internet links to Asia or South Africa. This meant that all traffic was routed through London rather than through a more direct route.

The internet protocol for this point of preference is configured to offer back up for internet traffic going north towards Europe and southwards to South Africa and to Asia and India over the Seacom cable system, the companies said.

Should there be a fibre cut on route to London, for example, traffic will be diverted through South Africa to ensure that customer services are not disrupted.



http://www.nation.co.ke/business/news/-/1006/656506/-/igfu4xz/-/index.html
 
Kwa maelezo zaidi kuhusu PAYU wasiliana nasi kwa
Web: www.payucomputing.com
E-mail: ifor@payucomputing.com
TELEPHONE: +255652-650-479
Pay As You Use.
Ndio, PAYU ni Pay As You Use, www.payucomputing.com. Ni ISP mpya hapa bongo, wanaotaka kuwapa uwezo wa kompyuta kwa wote. Wao wanao kompyuta, aidha desktop au laptop, ambayo unaweza kutumia kwa kununua vocha kama simu. Unapata utumizi wa kompyuta, wa internet na pia software mbali mbali kwa kutumia vocha hiyo.
 
Wakuu Asanteni sana nimefuatilia Mjadala Page by page ila nina maswali kadhaa ambayo naamini yataongeza wigo wangu wa kuielewa hii kitu

1: Wanaposema the fibre optic has virtually unlimited bandwidth wanamaanisha nini hasa
2: Naomba mwenye proposed network diagram ya Fibre based National ICT backbone aiweke ili tuone ni sehemu gani ambazo itapita
3: What is maximum speed of Data a microwave link can carry as compared to Fibre Optic namaanisha kama kuna Microwave kink inayoweza kubeba lets say STM-64

Asanteni sana wana jamvi naamini mtanipatia maelezo Mujaradi. Brain Power, Allien, Superman, Steve Dii na wengine

Mnakaribishwa
 
1: Wanaposema the fibre optic has virtually unlimited bandwidth wanamaanisha nini hasa

NyU,

Nadhani hii ni very theoretical. Theoretically, other technology za communication (wires, coaxial cables, and microwave links) zinaweza kuruhusu kwa mfano watu laki tano (500,000) kufanya mazungumzo kwenye simu kwa wakati mmoja. Lakini fibre optic communication technology (theoretically) inaweza kuruhusu watu billion hamsini (50,000,000,000) kufanya mazungumzo ya simu kwa wakati mmoja. Kwa mujibu wa UN idadi ya watu duniani ni kama bilion 7 tu. Nadhani ndio sababu wanasema fibre optic has virtually unlimited bandwith!
 
NyU,

Nadhani hii ni very theoretical. Theoretically, other technology za communication (wires, coaxial cables, and microwave links) zinaweza kuruhusu kwa mfano watu laki tano (500,000) kufanya mazungumzo kwenye simu kwa wakati mmoja. Lakini fibre optic communication technology (theoretically) inaweza kuruhusu watu billion hamsini (50,000,000,000) kufanya mazungumzo ya simu kwa wakati mmoja. Kwa mujibu wa UN idadi ya watu duniani ni kama bilion 7 tu. Nadhani ndio sababu wanasema fibre optic has virtually unlimited bandwith!

Asante Mkuu kwa Response yako! Hope na Wadau wengine watachangia mawazo
 
kuna haja ya kuona jinsi ya kuboresha hata vijijini wanapata huduma kama hii maana ni hatari sana kuona wananufaika mijini
 
Eehh hii thread nimeikumbuka Leo.

Hivi wakuu, hii cable ya EASSAY imeanza kazi kweli. ? ISP gani yuko connected - nahitaji kutest na kulimganisha latency Kati ya seacom na Eassay kutoka Tanzania kwenye China.

B.P
 
huna haja ya kubadilisha kitu chochote, ila internet connectivity itakua fast na isp's itabidi wapunguze charges kwani hawatahitaji kulipia satellite connections. An optical fiber cable is a cable containing one or more optical fiber. The optical fiber elements are typically individually coated with plastic layers and contained in a protective tube suitable for the environment where the cable will be deployed.

n handsome.very usefull post
naomba utufafanulie kuhusu kulipia satelite connection.ni wapi wanalipia hawa watu..and tuelezee kuhusiana na hii fiber optical cable.why charges zitakuwa chini?
Natanguliza shukran
 
Back
Top Bottom