EAC Patner States Medical and Dental Council Yaagiza IMTU Kifungwe mara Moja!!

Ama kweli watanzania tuna mambo,hivi hakuna hatua iliyochukuliwa mpaka tuone majanga yakitokea!



i uzPCeT9mX9jweQQeSxWAYhhBBC6KX1fwAKuB jnqzOBwAAAABJRU5ErkJggg==
 
Hivi kwanza hivyo viungo walipata wapi? Je ndugu wa hao marehemu walijua juu ya viungo vya wapendwa wao viliondolewa???

Na hapa ndipo hasaaa hawa IMTU walipoharibu.
Utaratibu wa kutumia miili upo miaka yote ila uzembe uliofanyika umeibua mashaka makubwa kwa jamii.
 
Nimeamin kweli sasa pumzi ikiacha mwili, mwili unakuwa chuma chakavu

Mkuu kwa wale waliopita medical school na kuyaishi maadali yao wanatambua miili ile ni sehemu ya walimu,sio maiti bali ni waalimu wa udaktari.
Wanaatahili kuhifadhiwa kwa utu na ubinadamu wa hali ya juu.

Tanzania tunaendekeza mzaha mzaha mpaka kwenye afya ndio maana leo hii kuna uyoga wa vyuo feki eti vinafundusha udaktari,uuguzi n.k yaani afya inachakachuliwa kama elimu...afya imekuwa ajira na si wito!!

NA BADO KUNA MENGI YANAKUJA!!
 
Waziri wa Africa mashariki mnamjua. anawania kumrithi baba R. Wahindi ndio waliobobea kwa rushwa unategemea nini ? Graduates wengi wa IMTU ni makanjanja lkn hawawatibu viongozi. viongozi wetu wanatibiwa A. kusini na Ulaya. Acha Mtz aendelee kupata maisha mazuri kwa tiba ya makanjanja wa imtu. Na hii kesi mark my words baada ya wiki hii hutaisikia tena.

nakutafuta nikupige PR
 
IMTU pale lipo tatizo kubwa hasa Uongozi wamemtimua Prof. Shija aliyekuwa Vice Chancellor basi vurugu tupu
 
Kumbe Ni Wahindi e❓➖kwenye vile viungo vilivyotupwa pale,wote Ni watu weusi.Basi sawa❕
 
Mimi hii Nchi naishangaa sana, haiwezekani mtu ana dv 3 or 4 akasomee Degree of Medicine, ni ujinga sana. A doctor must be very bright siyo hawa wa kwetu.
Hivi ni radhima kila chuo kitoe madakitari!
Nchi imejaa wasen.. Na viongozi wake makanjanja tu.

Tukio kama hili is very sharm to Tanzania mapicha yanasambazwa sna. Liraisi letu nalo liko Songea sasa hivi na hakuna kitu limesema about this issue. Viungo vya binadamu I don't think if is a joke

Mnisamehe nahasira sana na hili linchi, ujinga mwingi sana aisee

Ulicho andika ni upuuzi usiovumilika nichuo gani Tanzania inachuo kilichojitosheleza kwa kila kitu kama vya wenzetu Ulaya na nchi zilizoendelea penda chako boresha unapomtukana Rais na Kutukana serikali nzima unaakili wewe mafanikio uliyoyapata nyanja zote ni chini ya serikali hihi.Umenikera sana,hivi kwanini mnapenda kudanganya watu humu ukweli wa tukio kwa undani huujui unasikia sikia tu,ni lini na wapi ulilinganisha wanafunzi hawa wa vyuo vyote Imtu na hao wengine ukaona hawafai sasa kwa taarifa yako nenda maeneo ya Hospital za rufaa ukaone Interns gani wanapiga kazi za kufa mtu achakukariri pumbafu wewe.
 
Hivi kwanza hivyo viungo walipata wapi? Je ndugu wa hao marehemu walijua juu ya viungo vya wapendwa wao viliondolewa???

Of course wao walipata miili ya marehemu ikiwa kamili,maana ktk taratibu za kawaida za mafunzo ya udaktari,ukifika tu mwaka wa kwanza unakabidhiwa marehemu mmoja,ambaye katika kipindi chote cha kujifunza unakuwa unampasua/unamkatakata kidogo kidogo kulingana na somo husika hadi utakapommaliza.Kwa hiyo viungo vile ni kama makapi au mabaki ya miili ya marehemu baada ya kumaliza kujifunza.

Kwa lugha rahisi:kama ambavyo sekondari tulikuwa tunapasua mende,panya,vyura,nk,huku ukubwani specimens huwa ni mwili wa binadamu kweli! Kuhusu wapi wanatoa,hilo siwezi kujibu hapa.Ila itoshe tu kusema,walichofanya IMTU si kitendo cha kiungwana hata kidogo.Inatupa tabu kuelewa kama kweli ktk taasis ile kuna angalau mtu mzima mwenye akili timamu hata mmoja.Maana hili halihitaji digrii kuona kuwa walichofanya ni ujinga uliopitiliza.
 
Mkuu kwa wale waliopita medical school na kuyaishi maadali yao wanatambua miili ile ni sehemu ya walimu,sio maiti bali ni waalimu wa udaktari.
Wanaatahili kuhifadhiwa kwa utu na ubinadamu wa hali ya juu.

Tanzania tunaendekeza mzaha mzaha mpaka kwenye afya ndio maana leo hii kuna uyoga wa vyuo feki eti vinafundusha udaktari,uuguzi n.k yaani afya inachakachuliwa kama elimu...afya imekuwa ajira na si wito!!

NA BADO KUNA MENGI YANAKUJA!!

Kwani mbali mkuu?

Tusubiri impact ya hii fungulia mbwa ya BRN!
 
View attachment 37874

EAC Patner states Medical and Dental Boards Ilifanya Ukaguzi katika vyuo vinavyotoa Fani za udaktar MD na DDS katika nchi wanachama hapo mwaka 2009. Katika Report yake Council hiyo Imeiagiza wizara ya Afya kwa kushirikiana na waziri wa Afrika Mashariki kuhakikisha chuo cha IMTU kinafungwa mpaka kitakapo meet the minimum requirements.

Sasa hawa wahindi walivyobobea kwa rushwa mpaka sasa chuo bado kinaendelea kuchakachua taaluma ya Afya, huku wakiwatoza ada vijana wetu kwa USD ambazo ni shurt ziwe deposited bank of INDIA.

Jisomee mwenyewe report hiyo hapo juu (Tanzania) section 3.1.3

Ndio maana kinachukua wanafunzi wenye div3 na 4 tu
 
Back
Top Bottom