EA ecosystems law hits snag

Sijui ni nani aliye/anayeandaa vitabu vya historia ya Kenya ndani ya bara la Africa? Huyo mtu ni mahiri sana maana amefanikiwa kuaminisha watu mambo anayotaka yeye huyo mwaandaji. Historia ya Kenya kwenye ukombozi wa nchi nyingi Africa si nzuri, there are scars of biblical propotions na lingekuwa jambo la kiungawana kutumia historia kama mwalimu ili kuboresha mambo huko mbeleni. Wakati nchi nyingi zijitoa kwa "pesa na maisha" na kushinikiza trade embargos na Afrika Kusini, serikali ya Kenya waliona opportunity nzuri ya kufanya biashara na makaburu! Hili ni doa baya sana. Sina hakika wananchi wa Kenya walijua kwa kina hili? tuachie hapo.

NB: Kibaridi, Mandela alikaa jela miaka 27 na sio 35.

Mkuu wale usishangae, mimi nafikili shuleni walikuwa wanafundishwa the "EVIL of Communism/Socialism na Blessings of CAPITALISM" doctrine hii hiko embeded kwenye subconscious ya baadhi yao lakini si wote, mkuu wanaitaji daktari bingwa wa caliber ya Sigmund Frued ndiye pekee ambaye angeweza ku-ERASE completely remanent ya doctrine hii kutoka kwenye fikila ZAO. Wewe jaribu kusoma kwa umakini baadhi ya post zao kwenye JF, mwenye remanent ya doctrine hiyo utamjua tu, wewe unaweza kuzungumza kitu cha kawaida tu-lakini watakujibu kwamba nchi yao sasa hivi inajitayarisha kurusha roketi kwenda mwezini, siyo utani! kuna mmoja wao aliwahi kusema come 2025 Nairobi itakuwa hiko mbali sana kuliko J'Burg (building castle in the AIR)!

Nimeyasema haya kwa kuwa wakati mwingine wanahudhi sana, hasa hasa inapokuja kwenye swala la UKOMBOZI wanatafuta kila njia ku-water down mchango wa TANZANIA iliyo utoa kwa hali na mali kuwakomboa ndugu zetu kusini mwa Africa, wenyewe walikuwa wanauchapa usingizi na kuendelea na bihashara zao as if upatikanaji wa uhuru wa wenzao had nothing to do with 'em in other words "HAIWAHUSU KABISA!!" wakati wenzenu tuna-shade blood and tears kuwakomboa wenzetu nyinyi walaa!! Si hilo tu wanakwenda mbali zaidi kwa kuisema vibaya TANZANIA kwa mambo ya kutunga tu, au wakati mwingine ku-quote magazeti ya nje/south africa yenye questionable credibility-hawajuhi kama mwandishi ni mzugu kaburu au wa Rhodesia/Zimbabwe na anapotoa makala hizi anakuwa na lengo GANI - mtu unategemea wazungu hawa wata andika habari nzuri kuhusu TANZANIA!!, lakini kwa kuwa wote ni "like mind wana-swallow a hook and the sinker" katika harakati zao za kutaka kuhikandia TANZANIA.

Mkuu umesema vizuri sana katika kipengele hiki, na hapa naku nukuu "Historia ya Kenya kwenye ukombozi wa nchi nyingi Africa si nzuri, there are scars of biblical propotions na lingekuwa jambo la kiungawana kutumia historia kama mwalimu ili kuboresha mambo huko mbeleni" Mkuu, siyo kuboresha mambo tu, wawe waungwana kwa kuomba mshamaha kwa nchi hizi za kusini mwa Africa, lakini cha ajabu wanazisema vibaya nchi za SADC ambazo ndizo zili-bear the blunt ya harakati za UKOMBOZI. Kwa leo naishia hapa.
 
Bugyakanandi,FJM,Nzi,

..SADC ni market kubwa zaidi kuzidi EAC.

..sijui kwanini wa-Kenya hawaipendi SADC lakini wanaiga mambo yake. Kwa mfano, they confess to have copied SADC defence protocal word-for-word.

..kwanini SADC na EAC zisiunganishwe na kuwa one big economic block??
 
Bugyakanandi,FJM,Nzi,

..SADC ni market kubwa zaidi kuzidi EAC.

..sijui kwanini wa-Kenya hawaipendi SADC lakini wanaiga mambo yake. Kwa mfano, they confess to have copied SADC defence protocal word-for-word.

..kwanini SADC na EAC zisiunganishwe na kuwa one big economic block??

Kenya wako COMESA na Tanzania wako fine kabisa na hilo maana ni interest ya Kenya. Jambo ambalo sielewi ni hii discomfort kwa sababu TZ iko SADC!
 
Bugyakanandi,FJM,Nzi,

..SADC ni market kubwa zaidi kuzidi EAC.

..sijui kwanini wa-Kenya hawaipendi SADC lakini wanaiga mambo yake. Kwa mfano, they confess to have copied SADC defence protocal word-for-word.

..kwanini SADC na EAC zisiunganishwe na kuwa one big economic block??

Heshima yako mkuu, naona hapa mkuu unahiliza the OBVIOUS - Tatizo kubwa hapa ni Chako Changu, Changu changu! usicheke, ntatoa ufafanuzi baadae.
 
Kenya wako COMESA na Tanzania wako fine kabisa na hilo maana ni interest ya Kenya. Jambo ambalo sielewi ni hii discomfort kwa sababu TZ iko SADC!

FJM,

..lakini COMESA ina-include karibu nchi zote za SADC.

..labda niulize: kwanini KENYA wanaipenda COMESA lakini wanachukia SADC??
 
Kenya haipendi kufunikwa! Inapenda yenyewe ndiyo iwe kila kitu!

Mkuu, Wahaya usema "wakinyia omukanwa" manake ni: Ndicho kitu hicho hicho nilicho taka KUSEMA. Narudia, soma post zao utahangua kicheko mpaka ujute KUZALIWA- kwa kuandika scripts za kutunga tu, Ian Fleming (double 007) aoni ndani, mahili sana kwa uzushi.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Bugyakanandi,FJM,Nzi,

..SADC ni market kubwa zaidi kuzidi EAC.

..sijui kwanini wa-Kenya hawaipendi SADC lakini wanaiga mambo yake. Kwa mfano, they confess to have copied SADC defence protocal word-for-word.

..kwanini SADC na EAC zisiunganishwe na kuwa one big economic block??
JokaKuu,

Kule SADC ni Nchi moja ambayo ina Usemi/ushawishi mkubwa, SA. Kisiasa, Tanzania inajitambulisha na SADC kwasababu kwa miaka mingi imekuwa sehemu hifadhi ya "wakombozi" wa nchi za Afrika kusini kujifichia. Angola na Mozambique walipata sehemu ya kujihifadhi hapo DAR.

Niseme kwa mtazamo wangu Tanzania and the "big-brother" at SADC wanatofautiana in ideologies. Na ile unrest ya siasa katika ANC ndio inaonyesha kuna matatizo katika ushirikiano na wale munaoita "wakubwa". Katika Nchi ya Afrika Kusini there is a double-axis-of-power ambayo is running parallel na ni hatari for the stabilty of a nation.

Yule ambae huwa na ushawishi mkubwa SADC haonyeshi ushirikiano na SADC members kimawazo/kiruwaza. Na hilo ni kikwazo for socio-political and economic progress! Wakati mwingine tunafaa tuwe practical to see to realize feasibilty of certain goals.

Unaposema SADC ni kubwa what do you mean? Wakati mataifa mengi kule Afrika kusini, misingi ya katiba yao, mfumo wa siasa zao is in "tatters".

Nchi nyingi SADC ukiondoa SA, hawajaweza kufaulu kucreate an environment ambao wananchi watapata ajira bila kunyanyasua au kubaguliwa na wale makaburu na wachina ambao wana makampuni ya uchimbaji migodi.

Hali ni ile ile ndani ya serikali za Zambia Mozambique na Botswana zimeshindwa kuwapa ajiri wanacnhi wao kwa kutokua na misingi ya ajira iliyoundwa kuwalinda wafanya kazi wasikosewe heshima. EAC kwa mtazamo wangu ingawa kuna suspicions nyingi, naamini ina matumaini ya kutoa matokeo bora kuliko SADC.

Utakuta watu wanakufa kwenye mines kwa kuwa exploited na kulipwa centi ndogo, misingi ya kusambaza huduma za afya nazo zimesambaratika. Ipo kazi na usijidanganywe, ili Tanzania iweze kuchuma benefits SADC, it might take another golden-jubilee. There is no guarantee kuwa kuna matumaini SADC, ila musiwaabudu makaburu na systems zao walizojenga kutumia blood, sweat and tears of Africans.

Sioni kama position ya "the-big-brother" itageuka hivi karibuni. There is poor population intergration kule Afrika Kusini. Wengine kule SADC walionyesha wako tayari kuchoma wageni kwa kuingilia makazi zao.

Na hapa EA hii project ya M7 ya kufufua EAC inajiribu kufungua mipaka kwa watu wa EA regardless. Changomoto hili ni kubwa kwa Tz kujaribu kuipa mgongo. Hakuna haja ya kuonyesha a soft spot for "ukubwa wa taifa"
 
JokaKuu,

Kule SADC ni Nchi moja ambayo ina Usemi/ushawishi mkubwa, SA. Kisiasa, Tanzania inajitambulisha na SADC kwasababu kwa miaka mingi imekuwa sehemu hifadhi ya "wakombozi" wa nchi za Afrika kusini kujifichia. Angola na Mozambique walipata sehemu ya kujihifadhi.

Niseme kwa mtazamo wangu Tanzania and the "big-brother" at SADC wanatofautiana in ideologies. Na ile unrest ya siasa katika ANC ndio inaonyesha kuna matatizo. Yule ambae huwa na ushawishi mkubwa SADC haonyeshi ushirikiano na SADC members kimawazo. Na hilo ni kikwazo for socio-political and economic progress! Wakati mwingine tunafaa tuwe practical to see to realize feasibilty of certain goals.

Unaposema SADC ni kubwa what do you mean? Wakati mataifa mengi kule Afrika kusini, misingi ya katiba yao, mfumo wa siasa zao is in "tatters".

Nchi nyingi SADC ukiondoa SA, hawajaweza kufaulu kucreate an environment ambao wananchi watapata ajira bila kunyanyasua au kubaguliwa na wale makaburu na wachina ambao wana makampuni ya uchimbaji migodi.

Hali ni ile ile na serikali za Zambia Mozambique na Botswana zimeshindwa kuwapa ajiri wanacnhi wao kwa kutokua na misingi ya ajira iliyoundwa kuwa-protect wafanyi kazi.

Utakuta watu wanakufa kwenye mines kwa kuwa exploited na kulipwa centi ndogo, misingi ya kusambaza huduma za afya nazo zimesambaratika. Ipo kazi na usijidanganye, ili Tanzania iweze kurealiza benfits za kule SADC, it migh taka another golden-jubilee.

Sioni kama position ya "the-big-brother" itageuka hivi karibuni. There is poor population intergration kule Afrika Kusini. Wengine kule SADC walionyesha wako tayari kuchoma wageni kwa kuingilia makazi zao.

Na hapa EA hii project ya M7 ya kufufua EAC inajiribu kufungua mipaka kwa watu wa EA regardless. Changomoto hili ni kubwa kwa Tz kujaribu kuipa mgongo. Hakuna haja ya kuonyesha a soft spot for "ukubwa wa taifa"

Labda miaka ya 70 na hata 80, lakini kwa sasa ideology ya Tanzania haina tofauti kubwa sana na nchi za SADC including huyo unayemuita big brother.

Kwenye M7, huyu mkubwa angetaka sana kuwa na Federation na hapa ndipo panahitajika kazi maana Tanzania wanataka kwenda hatua kwa hatua. Kuna mambo mengi sana ya kufanya ndani ya nchi moja moja kabla hawajaanza process ya federation. Na mimi mwenyewe ningependelea hiyo option ya kwenda hatua kwa hatua. Angalia mambo ya Euro yanavyowapa shida wazungu sasa hivi. Greece hawajui waangalie upande gani, na ninakumbuka wakati wanajiunga Euro kuna section ndani ya nchi walisema muda bado haujafika.
 
Kwa upande wa Somalia, kama utakumbuka hii operation ya sasa kwa mfano (operation linda nchi) wakati inaanza mawasiliano ndani ya EAC hayakuwa clear. Nchi wanachama walisema wazi hawajaelewa ni nini hasa lengo la hiyo operation. Na mambo yalikuwa hivyo hadi pale wakubwa walipokutana London. Hata hivyo nakubali geographically, Kenya inadhurika zaidi na matatizo ya Somalia hivyo wanakuwa wa kwanza ku-react. Kwa upaande wa Tanzania, knowing what we know ni vigumu kwangu mimi kuamini kwa mfano leo hii Tanzania ikiwa kwenye mgogoro na nchi jirani i.e Malawi au Zambia, Kenya watasaidia. Labda kama mambo yamebadilika siku hizi lakini historia ya Kenya inaweza kutupa dira!.

NB: Kibaridi, Mandela alikaa jela miaka 27 na sio 35.

Wacha niseme shutuma zinazosukumiwa wakenya kuhusu operation Linda nchi ni za kinafiki. Kama kuna nchi itajaribu kuleta migogoro itabidi diplomasia na sio utekaji.

Ndio munaulizwa wazi kuweka saini katika defence pact, ndio itaelekeza matiafa ya EA jinsi ya kushighulika migogoro ya aina hiyo.

Niongezee kwa sasa kama hujaelewa kiini cha OLN, ni kusafisha ujambazi somalia na kule sehemu Lamu na kaskazini mwa kenya/isolo /moyale. LAPPSET, kenya pipeline, na reli lazima ipite na ujambazi unasafishwa. Historia ya Nigeria unaifahamu vizuri na Niger delta basin militia.

Hii ndiyo Kiini cha operation linda nchi. Picha kama hii ndio watu hawaoni na Mass media inakimbia kuandika na kuripoti mambo potovu kwa ulimwengu.

Kenya imeonyesha ina nia kutumia nguvu kumaliza ujambazi EA na ndani ya mipaka yake. Ili mradi Mataifa ya Afrika Mashariki yaende kufikia suluhisho moja kwa moja lazima ujambazi wa kufadhiliwa uondoke EA.

Kama Bashir anamshtumu M7 kuunda SPLM, nao Uganda wanashtumu SUDAN kaskazini kuunda LRA na kuihifadhi Joseph Kony hii ni tatizo ambalo itazuia EAC kujaribu kupata matokeo. Ethiopa bado wana majambazi na mabakshishi wa wapiganajii wa mengistu/oromo liberation front.

Kenya ndilo taifa pekee inaonyesha dhamira njema kujaribu kusafisha sura yake Afrika mashariki na kati. Alivosema @Bukyangandi, huu muingiliano wa sera katika EALA unafanywa maksudi. Isiwe watu wanapelekwa EALA kutoa Sera za kutofautiana. sababu itakuwa na kuwapa watu kazi ya bure.

Hafadhali EALA ivunjwe. watu wasipate mishahara ya bure kutofautiana. Kila nchi inaenda na interest zake inaua credibility and intergrity ya EALA. kama waakilishi wa EA hawatasikizana kuhusu Ecosystems law afadhali ivunjwe.
 
Labda miaka ya 70 na hata 80, lakini kwa sasa ideology ya Tanzania haina tofauti kubwa sana na nchi za SADC including huyo unayemuita big brother.

Kwenye M7, huyu mkubwa angetaka sana kuwa na Federation na hapa ndipo panahitajika kazi maana Tanzania wanataka kwenda hatua kwa hatua. Kuna mambo mengi sana ya kufanya ndani ya nchi moja moja kabla hawajaanza process ya federation. Na mimi mwenyewe ningependelea hiyo option ya kwenda hatua kwa hatua. Angalia mambo ya Euro yanavyowapa shida wazungu sasa hivi. Greece hawajui waangalie upande gani, na ninakumbuka wakati wanajiunga Euro kuna section ndani ya nchi walisema muda bado haujafika.

Hapo kwenye red..............Nikupe jibu fupi na mwafaka kuhusu hali ya greece. Mass media ya uingereza iko on a rallying campaign to expose the greek situation, ambalo ndilo the only special case in Euro-Zone. hatujasikia wengine Euro wakiwa na hili tatizo. Uingereza ina tumia the greek scenario kama kinga/kisingizio ya wao kutoingia Euro-Zone. Mtu mwenye akili atajiuliza kwanini Waingereza wanagusia tu UCHUMI kuanguka bila kugusia Uchumi wao greece unaeza imarishwa? Sio greece pekee imeshawahi pitia economic melt-down. Nchi nyingi euro zimepitia such kind of economic depression na zimweza kubounce back.
 
Hapo kwenye red..............Nikupe jibu fupi na mwafaka kuhusu hali ya greece. Mass media ya uingereza iko on a rallying campaign to expose the greek situation, ambalo ndilo the only special case in Euro-Zone. hatujasikia wengine Euro wakiwa na hili tatizo. Uingereza ina tumia the greek scenario kama kinga/kisingizio ya wao kutoingia Euro-Zone. Mtu mwenye akili atajiuliza kwanini Waingereza wanagusia tu UCHUMI kuanguka bila kugusia Uchumi wao greece unaeza imarishwa? Sio greece pekee imeshawahi pitia economic melt-down. Nchi nyingi euro zimepitia such kind of economic depression na zimweza kubounce back.

Sitaki kujikita sana kwenye issue ya Greece lakini itoshe nikisema kuwa nilitaja Greece na Euro kama kielelezo cha kuwa careful wakati huu tunapounda EAC. Mass media ya UK inaweza kuwa na kelele nyingi sana kuhusu Greece lakini wapiga kelele number moja kuhusu suluba za Euro ni Greeks wenyewe.

Kama historia ni mwalimu basi EAC tunatakiwa kusoma kila paragraph ili ku-minimize balaa. Kwa sasa Greece wako kwenye catch 22. EAC tunayo fursa ya kujifunza.
 
why u kenyan are so desperate to get into this union, in the past njonjo said if tanzania will move slow kenya wont wait for them and u indeed move your own direction which u thought was the better why not doing it again now? u have come crawling begging with ur tail between ur legs to start the union again, the fact of the matter is we are not desperate like u guys a lot of people here do not need this union its to our disadvantage there is nothing we can gain from u guys apart ya unyang'au wenu tu!
 
why u kenyan are so desperate to get into this union, in the past njonjo said if tanzania will move slow kenya wont wait for them and u indeed move your own direction which u thought was the better why not doing it again now? u have come crawling begging with ur tail between ur legs to start the union again, the fact of the matter is we are not desperate like u guys a lot of people here do not need this union its to our disadvantage there is nothing we can gain from u guys apart ya unyang'au wenu tu!

No one is forcing EAC on you guys...if you choose to ship out you may do so gracefully. You are making it look like Tanzania is the lifeline to this union.
 
Hapo kwenye red..............Nikupe jibu fupi na mwafaka kuhusu hali ya greece. Mass media ya uingereza iko on a rallying campaign to expose the greek situation, ambalo ndilo the only special case in Euro-Zone. hatujasikia wengine Euro wakiwa na hili tatizo. Uingereza ina tumia the greek scenario kama kinga/kisingizio ya wao kutoingia Euro-Zone. Mtu mwenye akili atajiuliza kwanini Waingereza wanagusia tu UCHUMI kuanguka bila kugusia Uchumi wao greece unaeza imarishwa? Sio greece pekee imeshawahi pitia economic melt-down. Nchi nyingi euro zimepitia such kind of economic depression na zimweza kubounce back.

Kabaridi,

..mimi nadhani EAC ingeweka more emphasis kwenye mambo yanayomhusu the common mwananchi.

..lets expand on cross boarder trade. lets improve our infrastructure and have joint projects to do so.

..pia tuangalie jinsi gani tunaweza kuwa na common currency. We had one before, kwanini EAC currency board ilivunjika and each member state went on to establish their own central bank?

..tuunganishe na ku-standadize education system kwa nchi zote. kuna wazee wana degree za University of East Africa ambayo ilikuwa na campus Makerere Uganda, Nairobi[faculty of engineering], na Dar-Es-Salaam[faculty of law]. Kwanini Univ of East Africa ilikufa?? Can it be re-established??

..Pia tuachane ni mitazamo kwamba mimi ni Mtanzania, Mkenya, au Mganda, na tuanze kujiona sisi ni watu WAMOJA, watu wa East Africa. But there has to be an incentive to do that, and unfortunately I dont see that yet.
 
Kudos to FJM Kabaridi JokaKuu Bukyanagandi Mkandara EMT for this healthy debate on EA Ecosystems i have personally learnt a lot especially SADC block nafikiri mkiwa/tukiwa tunakuja na mijadala ya namna hii basi wengi wetu tutanufaika na makala na contributions zenu, let's continue with this pace..
Binafsi yangu kutokana na experience niloiona ktk nchi hizi sidhani kama Jumuiya ya EA inaweza kutusaidia badala ya kutuongezea matatizo pande zote. Tazama jinsi Jokakuu na Wakenya wanavyopelekana na hhata kutuhumiana ktk maswala na misimamo tofauti ya nchi hizi. Tazama migogoro tulonayo na Zanzibar badala ya kwenda mbele miaka yote tumekuwa na uhasama fulani ndani wakati wanaofaidika na Muungano huu ni Wazanzibar zaidi ya bara. Rwanda na Burundi wao wanataka ardhi zaidi maana nchi zao ndogo na umoja huu una faida kubwa kwao.

Kenya wamejijenga ktk viwanda na mteja wao mkubwa ni Tanzania na wakiweza kuongeza wigo la ku supply nchi nyingine tano zaidi watajiboresha zaidi kiuchumi. Binafsi yangu naamini kabisa Uchumi wa nchi kama Ureno, Spain na Greece umekufa kwa sababu walikuwa tegemezi wa nchi kama Uingereza, France na Germany ambao wali ongeza wigo la soko la mali zao. Na kifo cha nchi hizi kiucxhumi inaondoa soko lao pia hivyo wako tayari kutumia kiasi chochote cha fedha kuhakikisha uchumi za ya nchi hizi una boreka kwa lengo la kuhifadhi soko lao wakati nchi hizi zinaendelea kuwa wahitaji wa mali za nchi za Germany, Uingereza na Ufaransa, sasa wanasogea zaidi kwa nchi zilizokuwa ktk Russian federation.

Swala la kujiuliza sisi na hii EAC tutafaidika vipi na jumuiya hii iwe kuuza mazao yetu, usafiri au communication au chochote na tunachukua nguvu gani kuimarisha miradi hiyo maana vitu vyote hivi sisi tuko nyuma sana na bado ni wahitaji na sii wazalishaji. Na je Wabunge wetu wanaelewa fika wanatakiwa kusimamia mambo gani ambayo ndio nguzo ya tanzania kujiunga na EAC kama hatuna isipokuwa kufuata mkumbo kwa sababu ya mahitaji yetu wenzetu wakiwa supplier basi tumekwisha. Utaweza vipi kujenga kiwanda cha maziwa ikiwa Kenya wanaweza ku supply kwa bei nafuu na kutosheleza! - Ndio tutalijenga Taifa tegemezi hivyo.
 
Wacha niseme in reality katika nchi zote EAC na shughuli zinazohusiana na uendeshaji/utekelezaji sera, Tanzania imeonyesha udhaifu. Udhaifu wa kusemewa/kuzungumziwa/mouthpiece kwa niaba yake na nchi za ulaya/Germany/Britain/Russia). Palikuja proffesor moja kutoka Uingereza na amekuwa kinywa/mouthpiece ya Tanzania kupinga vikali ushirikiano wa Tanzania na EAC kujadili na kuendesha/kufanikisha muungano wa sarafu.

Huyo professor sijui alitoka wapi/London School of Economics, alishasema lazima Tanzania ijitenge kabisa na EAC na shughuli ya muungano wa sarafu sababu kuu ikiwa ni kutofautiana au muingiliano wa "fiscal policies". Hiyo ni sehemu tu ya wazo la huyo professa. Halina mtazamo/Haishughuliki kueleza jinsi muungano huo utaathiri uchumi za EA. Mkandara, unaposukuma Spain na portugal wasukume tuhuma zao kwao Britain France na Germany, jukumu la Serikali ya TZ au nchi yeyote ni nini??! Wanauchumi/Economists kuwapa mawaidha serikali ya siku kuhusu utumiaji wa fedha kazi yao ni nini?? Hapa hakuna kujipiga kifua, ila nasema Kenya ina mafanikio ikija kutekeleza sera za kiuchumi. Ingekuwa bora kama Tanzania ingetaka kujua na kujifunza mengi kuhusu mafanikio hayo. Tena mbona lile suala halisi halitiliwi mkazo/economic-cultural issues??! Ugiriki na Uhispania walipopata maendeleo tosha ya kukithiri mahitaji ya watu wa nchi yao, wakaingilia heavy-government spending. Wapi economist wa Nchi hizo?? Suala la economic and cultural issues ni mfano wa uchumi wa Greece hauna sekta imara ya ununuzi na uuzaji bidhaa(strong import and export economy) kama Germany, Britain, na France.

Ukileta hoja la ardhi, my friend, masuala ni mengi yanayohusiana na ardhi. kwako wewe Burundi na Rwanda wanawania kujiunga na EAC kutokana na kukosa ardhi. Zanzibar waleta vurugu kwao kwasababu ya ardhi? lazima uwe umedanganyika. Kuna baadhi ya maswali ya siasa ndio inachangia pakubwa vurugu za zanzibar na siyo ardhi. Kuna masuala ya historia NK ambayo haiwezi tupiliwa mbali. Msemo wako ni tupu kutukuza mataifa ya the Russian Federation pasipo na iota ya makala kuonyesha uendeshaji wa sekta za uchumi ya mataifa ya Russian federation. Katika jumuiya ya EAC, kuna mengi ya kujivunia. Wengi munasema once bitten twice shy. Kinyume na shutuma/tuhuma za vyombo vya habari, mataifa mengi ya hapa EAC yana serikali yanayoendeshwa kwa ustadi licha ya ufisadi. Kuna msingi bora ya elimu kutoka primary hadi vyuo vikuu. Misingi yapo na kutafuta kwingine ambapo ni kukavu huchangia kuleta hasara za kujaribu kuunda misingi upya.

Kabaridi,

..mimi nadhani EAC ingeweka more emphasis kwenye mambo yanayomhusu the common mwananchi.

..lets expand on cross boarder trade. lets improve our infrastructure and have joint projects to do so.

..pia tuangalie jinsi gani tunaweza kuwa na common currency. We had one before, kwanini EAC currency board ilivunjika and each member state went on to establish their own central bank?

..tuunganishe na ku-standadize education system kwa nchi zote. kuna wazee wana degree za University of East Africa ambayo ilikuwa na campus Makerere Uganda, Nairobi[faculty of engineering], na Dar-Es-Salaam[faculty of law]. Kwanini Univ of East Africa ilikufa?? Can it be re-established??

..Pia tuachane ni mitazamo kwamba mimi ni Mtanzania, Mkenya, au Mganda, na tuanze kujiona sisi ni watu WAMOJA, watu wa East Africa. But there has to be an incentive to do that, and unfortunately I dont see that yet.

Watu wamesoma katika vyuo vikuu kwa wingi EAC jambo ambalo inarahisisha shughuli ya kutafuta wafanya kazi waliohitimu. Huu msingi wa elimu hadi ya ngazi ya juu ni ambao ukilinganisha na SADC/ukiondoa Afrika Kusini kwenye picha, unawezaona tofauti. Wakati huu ukitizama gazetti la nation, utakuta makampuni yana angazia kufanya BPO/business kwenye vyuo vikuu. Hapo Dar kuna vyuo vikuu. Tukifuata hizi trends basi huu utegemeaji wa Donors itakuwa historia. Mfano, ukiwa mfanyi biashara mashuhuri, hutagharamia kutoa mafunzo kwa wafanyi kazi, iwe ni katika sehemu yeyote ile kama uhandisi, wanasayansi, NK. Mawazo yako na Jokakuu zintofautiana hapo juu, lakini unasahau EAC inafanya juhudi zote kufuta/kupunguza customs, border permits/levies ambao zimesalia rushwa za kulisha familia chache za mpakani kwenye serikali ndogo za kaunti. Uhuru wa kufanya biashara bila vikwazo/bottle-necks inaongeza indirectly kwenye Tija na tena Economic Liberties.

JokaKuu, I must admit ni wazi kuunganisha vyuo vikuu inawezekana na naamini kubuniwa kwa EALA ina azimio kama iliyokuwa nayo EAC. There is poor documentation kuhusu kuvunjika kwa EAC mwaka wa 1977. Tunachopata kutoka online media yenu ni malimbikizo ya lawama kwa mfano kenya "ilisalia na mbao zote". Kutokana na huu uwizi wa vitu bure kama mbao, sijui kama uwizi wa mbao ni riwaya au ni kweli. Ujenzi wa miundo msingi ni kitu muhimu, lakini swali itabaki bajeti ya mataifa yako vipi..na yanaweza kusalimisha hundi wakati inapohitajika. Au itakuwa wakati hundi inatarajiwa kutolewa na Banki Kuu ya Afrika Mashariki, siasa za nchi zitaibuka. Tukiweza kuondoa hizi changamoto, ndipo kutakua na headway. Lakini wacha tutizame EALA na ripoti za hapo ndipo tutajua kama ruwaza ya EAC/EALA ina matumaini.
 
Kabaridi,
Mkuu wangu mimi na wewe hatupo ktk kundi la kuambiwa kimefanyika nini Ugiriki. Government spending kwa serikali ya Ugiriki haikuanza walipojiunga na EU walinaza toka zamani miaka na miaka sehemu kubwa ya matumizi ya serikali ya Ugiriki ni kama ya Bongo, Hawa hawakuanza juzi matumizi makubwa ya serikali yao, ni kama jadi yao kujirusha miaka nenda miaka rudi hasa viongozi wake ni kaa nchi ya Kiafrika, lakini kama nchi huru mika ayote waliweza ku control hali ya maisha na uchumi ndani kwa muda mrefu sana ulopita na hauzungumziwi leo.

Sasa nambie kama Ugiriki imefilisika kutokana na matumizi makubwa ya serikali, Je Hiyo Spain na Ureno nazo zinahitaji msaada kwa sababu gani? nao matumizi makubwa au kuna jingine jingine! Ebu nenda Ugiriki, Ureno au Spain ama fanya utafiki kwa hata Watanzania wanao ishi kule watakwambia nchi hizi zimekwisha mkuu wangu hakuna ajira na wala haikuanza jana. Hali hii ilianza taratibu zaidi ya miaka 10 iliyopita, uuchumi wao ukididimia taratibu, wawekezaji wengi walikuwa wakihamisha mali zao, uzalishaji ukashuka, biashara nyingi zilikuwa zinakufa, Ugiriki ikabakia kuwa sokoni mali zinatoka hadi China wenyewe wamekaa vibarazani hakuna kazi..Vjana wengi wenye elimu nzuri walikuwa wakihama nchi hizi kutokana na malipo mazuri upande wapili yaani sababu ni nyingi sana kiasi kwamba waliofaidika ni UK, Germany na France maana hawa ndio call makers. Hali hii imetokea Spain, Ureno na hata Italia kama uliwa fika miaka ya zamani utashangaa Italia ya sasa inakwisha ni unga tu kwa kwenda mbele.

Na asikudanganye mtu, katika Ubepari - You look for your interest first, unatazama utafaidika nini na muungano huo na sii Ujamaa wa kujenga udugu haya ni mawazo ya Kikomunist. na maadam tumeachana na Ukomunist ile imani ya kuijenga Afrika moja uondoke kabisa maana unapotengeneza Jumuiya ni kupanua wigo wa pori la Serengeti yaani survival of the fittest. Sasa kama sisi ni Swala ijulikane tunachoongezewa ni ardhi yenye nyasi tu lakini wapo Simba ambao wao kazi yao ni kuwinda swala. Waswahili wanasema Simba anaweza kula kila kitu anaweza kula hata binadamu au fisi lakini hata siku mkoja Simba hawezi kula Simba mwenzake. Wakenya wenzetu mifisi wale (Nyerere alisema) wanavizia hata msoga hula.. sisi Je?..

Hii ndio dunia ya Ubepari na muhimu sana ijitambue wewe kama ni mnayama anayekula nyasi au mnyama anayekula nyama..na sii kufikiria sisi tunakula nyama kumbe hatuna meno canines kuweza ku bite na ku rip minofu ya nyama. Sure thing Kenyas are na wako equipped tayari kuwawezesha kujitajirisha zaidi kwa kuwapanulia wigo la kuuza mali zao, mishahara mizuri zaidi na wanao wasomii ambao hawana kazi hawa wanakubalika kirahisi nchi za jirani kutokana na ujinga wa Lugha. Kenya wana vianda sisi hatuna, wana bandari nzuri wakati sisi tumezembea yaani kila kitu wako wanakifanya kwa ufanisi zaidi yetu.

Leo hii tu asilimia 50 ya mali zinazokuja Tanzania zinapitia Mombasa au Zanzibar, reli imekufa, Air Tanzania haina hata cargo planes, barabara mbovu yaani sisi hatuna tunachopeleka EAC isipuwa wahitaji yaani taifa tegemezi hivyo tunachokipeleka ktk jumuiya hii ni kupanua wigo la mahusiano ya biashara na kijamii kutokana na MAHITAJI yetu ambayo tumeshindwa kuyakabiri sisi wenyewe. We are not ready and we never been, maana tumepoteza muda mwingi sana kuomba misaada badala ya kujaribu kujitosheleza sisi wenyewe ktk uwekezaji wa mahitaji yetu.

Na kuhusu Zanzibar, lazima ufahamu ya kwamba Zanzibar wenyewe watakuwa ktk jumuiya ya EAC hivyo kuwepo kwa Wazanzibar bara watalindwa na sheria za uhamiaji za EAC. Hivyo bado swlaa la ardhi lipo cvichwani mwao na wanajua wanafanya hivi na madai yao yanapata nguvu tu kwa sababu wanajua kuna EAC itawalinda kulingana na swala la ardhi na uhamiaji.. Umenipata?

Wewe ondoa Uhamiaji na kwamba muungano ukivunjika Watarudishwa makwao, uone kama Wazanzibar wataendelea kudai Uhuru..au hao Rwanda na Burundi kuendelea na jumuiya hii ikiwa wataishi huku kwa visa au work permit. Jaribu tu uone mkuu wangu ingia vichwani mwao ujue kila mtu anatazama maslahi yake na sii Ujumaa.
 
Back
Top Bottom