E-voting without fraud - Tanzania tutaweza?

epigenetics

JF-Expert Member
May 25, 2008
269
80
In this TED talk, David Bismark discusses how election procedures are verifiable and transparent if they are computer-based. He proposes a system "for the people, and by the people".



I couldn't help but think of Tanzania when I watched this. Many of the headlines we are currently reading about the elections involve claims of miscounts. David Bismark is proposing something that may seem obvious in theory, but which does not happen in practice. This is a solid entry point for youth who are thinking of working with the government in creating public-private partnerships which yield sustainable returns.

source: Vijana FM
 
Last edited by a moderator:
E Voting haiwezekani Afrika kwa sababu mbili: (i) Watu wengi bado ni illiterate, matatizo ya umeme kutokuwepo na/au kukatika katika na (ii) Inategemea kuamini teknologia kwa sababu hakuna paper trail na observers wanakuwa almost hawana kazi (powerless!). Kinachofanyika ni kwamba observers wana verify machine kabla ya zoezi kuanza. Sasa "tsunami" inayoweza kutokea ni kwamba baada ya observers kupitia machine, mtu akizichakachua hizo machine ndio basi tena kakuna njia ya kuokoa jahazi sababu huna paper trail. Ndio maana US kuna baadhi ya States wamekataa e voting hasa baada ya experience mbaya na Florida. Wengi wanao advocate e voting kwa sasa ni makampuni yanayotaka kuuza machine na teknologia. Kuna uwezekano kwa e voting kutumika Africa kwa chaguzi ndogo ndogo kama za viongozi wa vyuo vikuu, vyama vya wafanyakazi, etc lakini si kwa chaguzi za taifa
 
Back
Top Bottom