email emaibwa?Kivipi sasa?wameiba password na kubadili akashindwa ingia au ?
email emaibwa?Kivipi sasa?wameiba password na kubadili akashindwa ingia au ?
email emaibwa?Kivipi sasa?wameiba password na kubadili akashindwa ingia au ?
Aiseeee baba yangu hapo cha ajabu nini!?????tunaibiwa madini sembuse hicho
Umemaliza kila kitu mkuu. Haya mambo ya kuibiwa password ni ya longtym mno, huyu mama nawasi wasi na uwakilishi wake wa Tanzania. Haiwezekani ofisi nyeti kama hiyo uibiwe email password, au wenzetu wanachukulia nyazifa walizonazo ni kama monitress wa darasa shule ya msingi? Au kwa sababu ni za kupeana kishikaji ndiyo maana hakuna umakini wowote?Aiseeee baba yangu hapo cha ajabu nini!?????tunaibiwa madini sembuse hicho
Huyu Michuzi hivi hakuna watu wa kumshauri kwamba hata kama ni uroho wa hela za sponsors kuna namna ya ku design blog isiwe that much of an eyesore?
Huyu Michuzi hivi hakuna watu wa kumshauri kwamba hata kama ni uroho wa hela za sponsors kuna namna ya ku design blog isiwe that much of an eyesore?
Umewahi kutembelea blog ya Le Mutuz?
this should be interesting'
naomba link
Le Mutuz is slowly becoming my favourite na hasa hiyo I dont give a F attitude yake
mtamchukia wee yeye wala hata habari hana
flight ticket
Viernes 17 de agosto de 2012 16:30
Please i need a little favor from you today,I attended a seminar in Ghana and i was robbed, all my money and document where all gone i only have my passport here am so confuse and i need help with a flight ticket urgently
Please let me know how you can help me.
Dear user,
Thank you for being a Yahoo! Mail user for the past year(s). We look forward to bringing you an even faster, safer, easier-to-use Yahoo! Mail very soon.
This is to inform you that your account has been selected for our recent upgrade. All Yahoo! Mail customers will be asked to upgrade. You have been selected for the first upgrade batch, you don't have to wait, you can have the newest Yahoo! Mail today. Click Upgrade Now and log in with your details.
Watakuwa wanamaanisha password.