E-mail password hack.

1'st you need a high knowledge of computer programming.You should be able to create a fake email page which he will log in thinking it' s his then the software captures the password and sends them to you.They do the same with bank accounts too.
.
Take care of your knowledge.
 
Mambo vp wandugu,ninashida hapa kidogo
ninawezaje ku-hack e-mail password ya mtu? (how can i hack a mail password of someone?).
Dear junior Member, mzima wa afya???.
Kwanza nukupongeze kwa kujiunga na JF. Karibu sana.
Unaonekana unashida japo kiukweli sio shida kwani lengo lako linaonekana unataka kumwibia mtu, na unaomba sisi tukusaidie kufanya hiyo kazi. Mimi binafsi sipo tayari hata kama nipo katika iindustry. Kisheria ukipatikana utafikishwa katika vyombo husika. Kumbuka kuwa zipi sheria zinazo hudika na mambo kama haya kuibiana password, au kuhack inbox ya mtu. Nakushauri kama unataka kujua siri za mtu, au mchumba wako tmia njia nyingine, si vizuri na mtu akigundua umemfanyia kitu kama hicho ni kama umemvua nguo zake.
Sasa nikirudi kwenye uwezekanano wa wewe kupata password ya huyo mtu unayetafuat password yake ni kwamba huwezi kupata labda kwa uzembe wake mwenyewe kwani hata administrator wa yahoo, au hotmail, gmail etc kisheria hawatakiwi kujua na systems zilivyo tengenezwa hazihifadhi maneno yako ya kiswahili ya password yako, kuna process ya kubadili kila unacho kaindika kwenye herufi ambazo si lugha sometimes.
Kuhusu kupata technique to hack an email adress ya mtu, ni vyema tungetumia neno to crack. Kwani haya maneno sometimes yanachanganyana lakini kwa mtu usiye na malengo mazuri tutakuita cracker na wewe naamini lengo lako si zuri la kupata siri za huyo mtu unayetaka kumyanyia hicho kitu. Nipo tools internet, nyingine zinauzwa au wengine watakueleza hivi na pale lakini si kitu rahisi kama wengi wanavo weza kudhania. Lakini sikushauri uendelee kufatilia hili jambo.
Ila kama unasababu za msingi unaweza kupata kibali cha kisheria kucrack someone email na wataalam wa hiyo kazi wapo.
 
KakaKiiza,
SQL imnjection, XSS and the like attacks are always in consideration of security mitigation in any professional IT system. I would proof myself with mysql_escape_string(), If I used MySQL db and PHP. There SQL injection doesn't work. In short it is not that easy!
 
Hivi karibuni nilikuwakuwa victim wa hackers walioteka yahoo email address yangu - sikuweza kuitumia tena, nilipoteza contact adresses na kupata tabu tele.

Inanipa shida kwamba wengine wanataka kujua namna ya kuhack na wengine wanapenda kufundisha!
 
Hivi karibuni nilikuwakuwa victim wa hackers walioteka yahoo email address yangu - sikuweza kuitumia tena, nilipoteza contact adresses na kupata tabu tele.

Inanipa shida kwamba wengine wanataka kujua namna ya kuhack na wengine wanapenda kufundisha!
ulitoa report yahoo? Nenda ktk help page halafu kuna mahali pa kuwasiliana na customer care! Do that and someone from yahoo will help
 
Back
Top Bottom