Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
Nyani, "unatuvamia"
Kwanza huanza mawazo, kisha maneno na halafu vitendo. Tunafikiri binafsi, tunazungumza kama gumzo kufundishana na kisha huchukua mbinu bora zilizotokana na mwazo na mazungumzo na kuzifanya vitendo; Kuchapa Kazi.
Natamani sana Tanzania tukipata watu 10,000 katika nyanja za Uongozi na utendaji ambao watakuwa kama Mzee Ben Mulokozi aliyekuwa Utumishi!
Ni kweli hivyo huanza. Lakini vitendo huja lini...? Sitaki uniambie tumekuwa huru kwa miaka sijui 46 au 47....no no no!! Dunia iliumbwa wakati mmoja na Mungu...at least tunajua hivyo. Sasa sisi vitendo vyetu nitakuja lini..? We are so slow....dang...