Singo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,184
- 1,105
Anae wafahamu wahariri wa idhaa hii ya kiswahili dw radio niliyo ishusha hadhi yake kwa kushindwa fuata maadili naomba majina yao.katika habari yao ya tarehe hiyo 28 october saa saba mchana walionesha pindisha ukweli kwa wasikilizaji wa radio hiyo kwa kutangaza kwamba jk ndie atashinda bila toa sababu, na mpinzani mkuu katika uchaguzi huo ni lipumba wakati watanzania wamefuatilia kampeni na hamasa imeonekana wazi kwamba dr slaa amepokelewa kwa mikono miwili kuliko hata huyo jk ambae alikua akisomba watu na magari na kuwapa fedha kujaza mikutano yake ya kampen. Pia nauliza je udini udini unawafanya hivyo hasa kwa othmani miraji aneonesha kuwa bias sana katika uchaguzi wa tanzania kwa kumpamba jk(rejea meza ya duara tarehe 29 october). Heshima ya mtu kwa jamii ni bora kulKio hata hela wanazohongwa na kupindisha ukweli wa mambo. Mungu ibariki tanzania