Duuuh kumbe kutawaliwa na wazungu pays a lot....sijui tumrudishe cameroun?

Kapwani

JF-Expert Member
Nov 17, 2009
672
110
Hapa ni greenpoint stadium cape town...South Africa

xdeb03.jpg
 
Weusi wa sauzi wanaongoza siasa lakini sio uchumi.Kutawaliwa na wazungu pays alot but, who gets the lion share?
 
Weusi wa sauzi wanaongoza siasa lakini sio uchumi.Kutawaliwa na wazungu pays alot but, who gets the lion share?
Ndiyo una hoja...ni yale yale ya kusema kuwa tuna masupamaketi makubwa tena yana bidhaa za quality nzuri ilihali wananchi wengi hawana uwezo wa kuingia na kununua kilichopo...your absolyutli right but ina maana hawa wa south hawafaidiki kwa lolote? hata barabara nzuri .....sijafika south sijui kama kuna barabara mpaka vijinini au uzunguni tu...sijui vyou vyao wanasomaje? wanalipa kama sisi au inakuwaje? mbali ya huduma za afya na za kijamii kama makji safi! je maisha ya mswahili wa tz au malawi yanafanana na mswahili wa south africa?
mix with yours
 
badala ya kwenda kuwahamasisha watu watoe viongozi wabovu we unafikiria kutawaliwa kisa uwanja wa mpira au sijui hayo magorofa pembeni. Kipi bora kujijenga au kujengewa kwa masharti? watu bwana sometimes kabisa unafikiria kutawaliwa na mzungu mwenzetu.
 
baba usipime wenzetu wameendelea,ndio raia wanatubu ni upumbavu wao wenyewe hawataki kazi na kujituma wanataka serikali iwafanyie kila kitu,wewe huduma za jamii unaumwa unatibiwa bure na unapewa breakfast kusubiri kumuona dk haijalishi raia au mgeni hiyo ukiona hakuna basi hiyo sehemu mweusi kaingia ndio katoa mambo hayo,wasiojiweza na hata wanawake wakizaa mtoto analipwa kwa mwezi sema nayo siku hizi kuingia kwa mweusi anaanza kuondoa mambo haya,ila uongozi wa mweusi nao unaanza kuhalalisha rushwa,walikuwa hawajui rushwa kabla hawa watu.hiyo ni mother city,kaapsta,ekapa,sasekapa,cape of good hope majina yote hayo.
 
badala ya kwenda kuwahamasisha watu watoe viongozi wabovu we unafikiria kutawaliwa kisa uwanja wa mpira au sijui hayo magorofa pembeni. Kipi bora kujijenga au kujengewa kwa masharti? watu bwana sometimes kabisa unafikiria kutawaliwa na mzungu mwenzetu.

Unapinga tu bila kuangalia fact, hata kama mtu mweusi ana uwezo wa kiakili labda hata zaidi ya Nzungu, lakini maendeleo ya kweli kwenye nchi ni lazima Mzungu awepo, hiyo ndio fact ya dunia ya leo.
 
Mkuu ni Cameron na sio Cameroun,pia kuna Cameroon.......naona hata wana habari wetu wanamwita Kameruni badala ya Kameroni
 
Mimi nadhani nchi za Kiafrika ambazo zina sizeable population of Europeans kama raia na sio wa kuja na kuondoka mafano SA,Zimbabwe,Kenya,Namibia,Botswana hata Angola kidogo zina maeneleo macho ukilinganisha na zile full wakwere kama sisi...kwa nini...sijajua bado
 
we should at least let germans in this country to stay longer, lets face it we cant do it ourself!!!!!!!!!!!
 
Unapinga tu bila kuangalia fact, hata kama mtu mweusi ana uwezo wa kiakili labda hata zaidi ya Nzungu, lakini maendeleo ya kweli kwenye nchi ni lazima Mzungu awepo, hiyo ndio fact ya dunia ya leo.

Hivi ina-maana fact ya maendeleo ni kuwepo kwa wazungu, hivi unajua siasa zao zilivyokuwa azina mchezo wa kijinga kijinga kama sisi. Tuna raisi ambae ajui kwanini sisi maskini uchaguzi umebakia miezi michache leo kachukua form na atashinda kwa vishindo. And how do you expect any changes, kama raisi mwenyewe kaitoa nchi hipo kwenye uafuaeni kidogo na kuipeleka katika mahala ambapo inflation it seems is beyond control, ajira wawekezaji wanaona bora walete wageni, mashirika ya umma wapiga mahesabu kutoka bangladeshi, viongozi awana imani na wananchi kuleta maendeleo wanaona bora ije hiyo EAC. Bado mnaenda mpa miaka mitano mingine, hivi unajua Cameron anacho kifanya sasa kupunguza madeni yao si sawa na yetu kabisa kaka the're are talking about £476 billion.

Bado ana challenge za kuakikisha ajira hazipotei kiivyo na aje na mbinu mpya za kuleta ajira kwenye cuts zake, kukuza uchumi wao kwa namna nyingine without government spending. Hayo mambo haya itaji mzungu yanahitaji kichwa tu apparently JK ana. Hata wazungu wanaelewa ni kichwa tu sometimes despite their racist approach inapobidi muweke mwenye yeyote atakae leta maendeleo a good example is 'Mr Tidjane Thiam' its for you to figure his job.

Sisi tunauwezo kishinda wao tuna ardhi kubwa mno ya kututosha wote the next phase is the right minds not JK wala mzungu ndio tuanze kuangalia vitabu vya facts. Ni kitu ambacho if im honest huelewi hizo facts zenyewe (based on your awareness of facts) it would be point less for me to argue them, it likes 'kumpigia mbuzi gitaa', pointless and waste of time. Tusione vinaelea vimeundwa embu tujifunze vimeundwaje na si kupenda vitu rahisi rahisi tu na quick fix.
 
Hivi ina-maana fact ya maendeleo ni kuwepo kwa wazungu, hivi unajua siasa zao zilivyokuwa azina mchezo wa kijinga kijinga kama sisi. Tuna raisi ambae ajui kwanini sisi maskini uchaguzi umebakia miezi michache leo kachukua form na atashinda kwa vishindo. And how do you expect any changes, kama raisi mwenyewe kaitoa nchi hipo kwenye uafuaeni kidogo na kuipeleka katika mahala ambapo inflation it seems is beyond control, ajira wawekezaji wanaona bora walete wageni, mashirika ya umma wapiga mahesabu kutoka bangladeshi, viongozi awana imani na wananchi kuleta maendeleo wanaona bora ije hiyo EAC. Bado mnaenda mpa miaka mitano mingine, hivi unajua Cameron anacho kifanya sasa kupunguza madeni yao si sawa na yetu kabisa kaka the're are talking about £476 billion.

Bado ana challenge za kuakikisha ajira hazipotei kiivyo na aje na mbinu mpya za kuleta ajira kwenye cuts zake, kukuza uchumi wao kwa namna nyingine without government spending. Hayo mambo haya itaji mzungu yanahitaji kichwa tu apparently JK ana. Hata wazungu wanaelewa ni kichwa tu sometimes despite their racist approach inapobidi muweke mwenye yeyote atakae leta maendeleo a good example is 'Mr Tidjane Thiam' its for you to figure his job.

Sisi tunauwezo kishinda wao tuna ardhi kubwa mno ya kututosha wote the next phase is the right minds not JK wala mzungu ndio tuanze kuangalia vitabu vya facts. Ni kitu ambacho if im honest huelewi hizo facts zenyewe (based on your awareness of facts) it would be point less for me to argue them, it likes 'kumpigia mbuzi gitaa', pointless and waste of time. Tusione vinaelea vimeundwa embu tujifunze vimeundwaje na si kupenda vitu rahisi rahisi tu na quick fix.

Penye red....hapo ndipo ninapoona umuhimu wa kurudi chini ya himaya ya cameroun
Penye pink hapo ndio kuna mdoto za mchana kweupeeeee

mix with yours
 
Waarabu ni sawa tu na Wanyamwezi,Wazungu wao ni tofauti wana akili na maarifa na wameendelea sana.Bora tungeendelea kutawaliwa na Wazungu labda tungekuwa kama Sauzi.

May be baba! hilo naliwaza kila siku....nilalapo niamkapo ni heri mama weee!
mix with yours
 
badala ya kwenda kuwahamasisha watu watoe viongozi wabovu we unafikiria kutawaliwa kisa uwanja wa mpira au sijui hayo magorofa pembeni. Kipi bora kujijenga au kujengewa kwa masharti? watu bwana sometimes kabisa unafikiria kutawaliwa na mzungu mwenzetu.

Nisamehe sikijua kama makaburu wamejenga hayo yote kwa masharti mkuu. Pia zoezi la kuhamamsisha watu watanzania wachague kiongozi bora huku wakiwa na njaa hii naona ni ndoto ya mchana ndio maana......unajua demokrasi inavyofinyangwa hapa do you thik watu hawa wanategemea kura kujitangazia ushindi? mimi nasema hii ni ndoto ya mchana....
Naona kuliko raisi wetu kushinda ulaya na USA anaomba bora wale jamaa waje tu huku...itapunguza hata gharama za utendaji serikalini....wao kutuongoza kwa rimot ina cost sana.
Pia huu mji si maghorofa tu na uwanja.....hiyo ni mind set....ni fikra...watu wamekaa wamefikiri ..kisha wamefanya kazi na nature ...kukapatikana jambo la aina hiyo....kuchemsha bongo kwa aina hii nani anataka huku kwetu?
Nani yupo tayari kuamini kuwa dhahabu zetu, tembo, mito namilima yanaweza kuzaa Tanzania ya kupendeza??? kucheza na maliasili iliyopo tupo tayari? na kama hatupo tayari .....kwanini mimi nisimtamani cameroun? kama hatujiamini tunawaamini hawa na kuwauzia kila kitu kwa bei poa kwanini wasije kukaa tu huku? sema kwa wao itakuwa gharama kuendesha makolono kwa sasa kwa upande wao ni bora ikulu yetu itenge mabilioni ya safari za viongozi kwenda kuchukua madesa na ahadi kwao.
Mix with yours
 
we should at least let germans in this country to stay longer, lets face it we cant do it ourself!!!!!!!!!!!

Ni kweli Bona, this could be another Berlin of Africa,
Waafrica tumeproove hatuwezi wenyewe, tazama mfano wa Haiti na Dominican republic, kwa miaka 25 baada ya Uhuru, hizi nchi zilikuwa moja, na kwa bahati nzuri chini ya Mwafrika, baadaye the Mulatos wakajitenga, wakawapush waafika in the North (Haiti). Sasa hivi ukienda Dominican republic, unaweza ukadhani uko Europe while it is opposite in the other side (Haiti) hii ni proof tosha kwamba Hatuwezi, tuna tatizo donda ndugu. let's admit the facts
 
Ni kweli Bona, this could be another Berlin of Africa,
Waafrica tumeproove hatuwezi wenyewe, tazama mfano wa Haiti na Dominican republic, kwa miaka 25 baada ya Uhuru, hizi nchi zilikuwa moja, na kwa bahati nzuri chini ya Mwafrika, baadaye the Mulatos wakajitenga, wakawapush waafika in the North (Haiti). Sasa hivi ukienda Dominican republic, unaweza ukadhani uko Europe while it is opposite in the other side (Haiti) hii ni proof tosha kwamba Hatuwezi, tuna tatizo donda ndugu. let's admit the facts

Panga pangua huu ndio ukweli ambao hata CCJ na conservativu pati ya UK wanaujua
Mix with yoours
 
Kwapani,
Where you mentioned concern kwenye hiyo red yako, mi naita ndio ukweli wenyewe JK cannot produce the goods and has no tricks left under his sleeves. Hiyo isiwe only a concern tu bali it needs to be your worst nightmare (assuming you really care about tanzania), he is getting another term to mess up even more. Mungu wangu sijui tutakuta nini wengine tukirudi kwenye mabanda yetu huko uswazi.

Things don’t just happen a process has to occur to turn into a different state and clearly JK is not the right catalyst for Tanzania progression. I don’t blame him much, but the system that allows people like him to get into high office yet we know scientific facts don’t lie the relation between a bozzo and succes will produce a weak correlation.

Tunaona matokeo ya JK na utendaji wake ni ushamba wa hali ya juu sijui mechi za mpira, miss allocations of social funds almost in every public sector, zero policing of policies where lots of funds disappear na hizi ni sehemu ambazo hata hao akina Lowassa hawana makono.

Siitaji kukwambia namna yake au idea yao uwekezaji yaani hapo huwa napata kichefu chefu mara nyingi nikisoma. The problem yaani tujue si yeye tu bali the whole team stinks either hao washauri wake wanamshauri ujinga kwa faida zao au wote mazuzu wa hali ya juu, im gonna go with former. Kibaya zaidi atashinda tena kwa vishindo na nyimbo ataimbiwa na ngoma atachezewa.

Sasa hapo hata akija huyo mzungu atakwambia first we need to get rid of leaders like them, that is just common sense. Pili atakwambia we need to educate the masses that praises leaders like those huyo kama anania ya kutuletea maendeleo kwa sababu wote hao ni matatizo na ni kama complimentary goods.

Vinginevyo ukitaka ya SA mjengewe watakuja walambe ardhi wawajengee hayo maendeleo butu kupitia resources ambazo tunashindwa kuzitumia sisi wenyewe kwa kuwa tuko busy kuendekeza binadamu wasio na uwezo kushika nchi na kuendelea kuuchekea mfumo ambao unaleta matatizo haya over and over again. For one simple reason wenye nchi bado hawajajua nani ana majukumu yao mpaka hapo(wenye nchi waelewe siasa) amna jipya Tz wala africa.

Kwenye pink unapoongelea ndoto hapo kaka ndio inabidi u-mix na vitabu, zako kutoka kichwani utaona ni ndoto tu. Hila the guy is doing it as we speak and he is even thinking where else to go cut ndio ukweli wenyewe.

Sasa basi remember I told you siasa zao azina ujinga ujinga, some of those cuts are gonna produce huge job losses na watu wana ma obligation ya ma mortage na kadhalika ndio watafidiwa for a duration, lakini what about their future trust me critics expect another strategy of returning these people to work. Hivyo inabidi ajue mbinu aliyo nayo or else jamaa watamkalia kooni kwa kupoteza ajira something a western a politician is not supposed to do. Of course debt is supposed to be paid lakini responsibly sio radically at the cost of peoples’ welfare.

Hiyo ndio challenge yake si ndoto kaka hiyo bali ndio ukweli wenyewe or else coming the next election he is out. People dont care much about owing or the speed of paying the debt, people want safety in their lives and not uncertainties’, the second world war debt the last cheque was written in 2004 or 02 im not sure between the two.

The new PM already he has angered some with false promises of not cutting front line services wakati kesha anza kata matumizi ambayo serikali ya awamu iliyopita ilitenga hela kwa ajili ya hospital mpya yeye kazuia who knows what will follow in his time.

Kama nilivyosema this is not a joke if people are worse off under your leadership say goodbye. And he just like JK had long term ambitions of being a PM, though unlike JK he is a proper economist, therefore one would assume he knows his challenges and his marching orders if doesn’t deliver. Simple as that no ndoto at the job, you either deliver or face the suck from the public.

Sasa ukitaka kumpa nchi huyu bwana atakujengea very little utaona maendeleo, kwa kuwa we do nothing on the other hand he will take a lot. Huko SA maskini wote ni weusi na mashamba yote ya wazungu its for you to find what percentage of those produce leave the coountry. People are gonna pay taxes, the government would put that money into football pitches, mabarabara lakini black south african ujue watakua maskini tu unless the system changes.
 
Back
Top Bottom