Vitendo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 582
- 103
Jamaa 1 Alimpa mimba binti wa kichaga,Baba m2 alikasirika na Akapanga kumuua jamaa,Jamaa Akam2mia salaam mzee kwa kumwambia,Mzee kweli mie ndie niliempamimba binti yk,na kusema ukweli cna mpango wa kumuoa,lkn natoa Ahadi Akizaa mvulana nitakupa bilioni1 na mtoto nitamchukua,Na Akizaa msichana nitakupa milioni60na duka kariakoo,lkn mzee ikitokea bahati mbaya mtoto akafa itakuaje?MZEE Akajibu:- Aisee babaangu itabidi umpe mimba nyengine hakuna jinsi. Hahaha.