gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
Duuu,
leo nimekaa nimefikiria sana enzi za zamani kwa kweli nimetamani turudi enzi hizo, enzi za zamani, kila kitu kilikuwa poa, upendo amani yaan raha sana zamani kuliko sasa!!
nimekumbuka enzi hizo tunajiendea HOSPITALINI bureee yaani ukifika manesi wanakupokea kwa furaha wanakuhudumia, na unapewa dawa bureeee.....duuu enzi hizo jamani ilikuwa raha saaaana
nimekumbuka enzi hizo kweli ukisikia mwanafunzi kafaulu darasa la saba au form four ujue kweli ni kichwa tena balaaa, yaani wale vichwa wa juu walikuwa wanapatikana MZUMBE, ILBORU, KILAKALA, MSALATO..ifunda, iyunga ....teh teh jamani jamani enzi zetu.safi sana.
nakumbuka enzi izo ukitaja UDSM basi unataja hapo MUHIMBILI, ARDHI, DUCE, IJMC na ilikuwa mtu ili aende chuo kikuuu kweli inaitaji usomeee, kwanza kulikuwa hakuna migomo kabisa. lakini sasa
nakumbuka enzi za makamba dar es salaam, teh teh kina matonya, bongo ilikuwa burudani sana, wanafunzi wa sekondari dar wanavaa vikaptula...teh teh jamani enzi hizo ilikuwa bomba eeeh
.......!!!!
leo nimekaa nimefikiria sana enzi za zamani kwa kweli nimetamani turudi enzi hizo, enzi za zamani, kila kitu kilikuwa poa, upendo amani yaan raha sana zamani kuliko sasa!!
nimekumbuka enzi hizo tunajiendea HOSPITALINI bureee yaani ukifika manesi wanakupokea kwa furaha wanakuhudumia, na unapewa dawa bureeee.....duuu enzi hizo jamani ilikuwa raha saaaana
nimekumbuka enzi hizo kweli ukisikia mwanafunzi kafaulu darasa la saba au form four ujue kweli ni kichwa tena balaaa, yaani wale vichwa wa juu walikuwa wanapatikana MZUMBE, ILBORU, KILAKALA, MSALATO..ifunda, iyunga ....teh teh jamani jamani enzi zetu.safi sana.
nakumbuka enzi izo ukitaja UDSM basi unataja hapo MUHIMBILI, ARDHI, DUCE, IJMC na ilikuwa mtu ili aende chuo kikuuu kweli inaitaji usomeee, kwanza kulikuwa hakuna migomo kabisa. lakini sasa
nakumbuka enzi za makamba dar es salaam, teh teh kina matonya, bongo ilikuwa burudani sana, wanafunzi wa sekondari dar wanavaa vikaptula...teh teh jamani enzi hizo ilikuwa bomba eeeh
.......!!!!