ludoking
Senior Member
- Oct 5, 2008
- 124
- 71
Kuna mtoto alikuwa anamsimulia mama yake story. Akasema mama, wakati niko tumboni kuna nyoka alikuwa anaingia ananitishia anatoka. Halafu ananitemea na mate. Halafu analegea na anatoka. Mama yake akujuta kwa nini alifanya tendo la ndoa akiwa mjamzito. Mtoto akamwambia mama usijute, kwani ningemngata si angekufa?