Duru za siasa - Mgongano wa mawazo

The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Some 17 erstwhile public firms that were privatised under a plan initiated in 1993 in a bid to revamp production have so far been shut down after failing to deliver, a report released recently by a technical committee has revealed.The government had at that time decided to sell the wobbling public companies to private investors who, it was presumed, could revive them following the State's lack of capacity to run them.According to the report which has been submitted to the Parliamentary Public Organisations Accounts Committee (POAC), 17 firms out of 74 which were privatised have since stopped operations altogether.

Firms that have closed up shop after they were taken up by private investors have been listed as: Mwanza Tanneries, which was sold to Africa Trade Development Limited (Mwanza), Tanzania Bag Corporation Limited Mills owned by TPM (Kilimanjaro) and Morogoro Ceramics Ware Ltd which had gone to Hans Nails Ltd (Arusha).

Others include: Morogoro Shoes Co. Ltd sold to Guled Shoe Co. Ltd (Morogoro), Zana za Kilimo Mbeya that went to CMG Investments Ltd (Mbeya), Arusha Metal Industry bought by Mr Mfahamiko (Arusha) and Mbeya Ceramics Company that is in the hands of Kyela Valley Food Ltd (Mbeya).

The list also include Nyanza Engineering and Foundry bought by Nyanza Cooperative Union and Mwanza Municipal Council (Mwanza), Kilimanjaro Textile Mill Ltd that went to Iron and Steel Co. Ltd (Arusha), Musoma Textile Mills that was bought by Kiltex Ar/METL (Mara) as well as Polysacks Co. Ltd which went to Prebond Ltd (Dar es Salaam). There were also Tractor Manufacturing Co. Ltd that went into the hands of Quality Group Ltd (Dar es Salaam), Steel Rolling Mills bought by Unique Steel Rolling Ltd (Tanga), Rukwa RTC bought by Rukwa (2000) Ltd (Rukwa), LRT Motors that went LRT (2000) Motors Co. Ltd/MEBO Co (Dar es Salaam), Ubungo Garments Ltd bought by VMB Holdings Ltd (Dar es Salaam) and Moshi Hand Tools (Kilimanjaro).

At the same time, the report shows that 42 privatised firms have been performing well while there are 15 others, which are operational but performing dismally.

According to the report, most investors have failed to comply with conditions in the contract they signed with the government. The committee suggested that the government should repossess the factories that have failed to deliver.The report also discloses that several investors were no longer showing interest in the revival or development of the erstwhile State firms and have instead left machineries and buildings to lie derelict.

Analysing the situation at the Mangula Mechanical and Machines Tools Limited (MMMT) which went to St Mary's International School in February, 2007, the report shows that the investor has totally failed to develop the factory as agreed and in its proposal has asked the government to terminate the contract.

According to the report, several machines were removed, buildings destroyed while heavy machineries were abandoned, paving the way for scrap metal vandals.Some of the private companies never bothered to even get started after the factories were handed over to them over a decade ago.

The report also states that Mwanza Tanneries Limited, which was privatised by Tanzania Leather Association Industries (TLAI) and African Trade Development Ltd has also stalled.The report notes that the investor has so far done nothing to develop the factory and that there was no sign anything would be done about it soon.

"Many machinery including the effluent treatment plant (ETP) have been stolen and the remaining machines are in bad shape, most of premises have been converted to a garage and a store for mining machinery owned by Caspian Ltd," reads a part of the report.

However, it was established that in other areas the committee failed to get the contract and other documents, which were used during the privatisation of some of the firms.According to the report, the committee has failed to get a contract, which was signed between the government and the Pure Bond Limited during the selling of Morogoro Ceramics Limited in 1993.

But the report states that the firm was sold at Sh452 million and that the investor was allowed to transport the machinery to Nigeria."The factory has been abandoned and there is no single activity taking place in the premises since all machinery has been removed," reads a part of the report.

Moreover, the committee established that some investors have switched to operations other than those they were expected to carry out.According to the report, the Polysacks Company Ltd (BAGCO LTD) was now a warehouse for salt produced by the Kensalt factory.

The committee reveals that generally, in many cases, investors have violated the terms and conditions of contracts, but since there were many weaknesses during the signing of the agreements; the government has little chances of repossessing the firms.

The 99-page report advises the government that there is a need to terminate contracts with all non-performing investors."It should write letters to all investors forbidding anyone to destroy or take away any machinery. It should also order those who owe the government money to pay with immediate effect," the report recommends

My take:
Taarifa hii inatueleza nini ambacho hatukijui leo hii. Ni taarifa nzuri sana na ninachosema hapa ni kuwa madudu mengi hayakuanza leo. Kuna watu walishaoinunua 'system' na kila panapotajwa uchafu majina yao yanajitokeza.
Hebu tuiangalie halafu turudi mezani na kuchambua mstari mmoja mmoja ili baada ya hapo tupate jibu juu ya mwalimu na kufeli kwake. Ili baada ya hapo tuweze kumpa mwl pass mark zake kama ni 0, 10, 20, 40, 50, 60, 80 au 100.
Kama hatutatoa pass mark, nitarejea hapa kuhoji, amefeli nini? na kipi kimefaulu!

Tusemezane
 
Wakati tunafatafari yale ya serikali kufikiri kurudisha mashirika, swali la kujiuliza hivi wakati wanabinafsisha hakukuwepo na utaalamu wa kuhakikisha kuwa yale yaliyokusudiwa yanatimia? Je, hakukuwepo na ufuatiliaji wa karibu hadi kufikia kiwanda kung'olewa mashine na kuwa chuma chakavu? Je, kuna utaratibu gani uliotumika kuwapa wamiliki viwanda vyetu? Hivi ilikuwaje Kiwanda cha spea kule mang'ula apewe mmiliki wa shule binafsi Mama Rwakatare ?

Zipo hoja kuwa hatuna wataalam wa kuingia mikataba. Hoja hii ni ya kipuuzi sana kwasababu haiwezekani makosa yafanyike kuanzia mwaka 2000 na yaendelee hadi mwaka 2007 Rwakatare alipochukua Mang'ula na 2012

Kumbu kumbu zinatueleza kuwa kuna mfanyabiashara maarufu wa vyombo vya habari alitaka umiliki wa Kilimanjaro Hotel, na alikidhi vigezo vyote. Kilichomsibu mfanya biashara huyu kilikuwa kigezo cha kuwa yeye ana uzoefu katika vyombo vya habari na si Hotel. Hiyo ilikuwa katika miaka ya 2004-5. Sielewei kwanini kigezo hicho hakikutumika kujua kuwa Mchungaji Rwakatare ana uzoefu wa shule na si viwanda vya mashine. Hapa ni kwa bahati mbaya , kukosa utaalam au ni asilimia 10!!! ?

Wakati Rais akitueleza juu ya kukosa wataalaam wa kuingia mikataba, serikali yake imeingia katika kashafa nyingine kama ilivyo kawaiida. Licha ya kushindwa kusimamia ubinafsisha na kujikuta hatujui tufanye nini na viwanda vuilivyotolewa sadaka na sasa tunafikiri kurudhishiwa majengo, Serikali inayoongozwa na awamu hii imekubali kuidhinisha mkataba wa ajabu sana.

Bodi ya shirika la ndege iliidhinsha ukodishaji wa ndege aina ya Air bus kwa $ mil. 200. Ununuzi wa ndege mpya kwa mujibu wa tovuti za wauzaji unakadiriwa kuwa $ Mil 83. Yaani tungepata ndege 2 tunazomiliki wenyewe badala ya kukodisha.
Mkataba huo ulifikishwa katika kikao cha baraza la mawaziri ambalo mwenyekiti wake ni Rais miezi 9 baada ya kusainiwa.

Hii ni kinyume na sheria inayohusu mikataba ya mwaka 1974 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2003 inayotamka kuwa ni baraza litakalo idhinisha mkataba kwanza kabla ya kufanyiwa kazi.

Rais ambaye amekuwa katika baraza la mawaziri hakuhitaji kupewa dondoo za kulichojiri kwani anakijua fika. Rais aliwahi kuwa waziri wa fedha na wa mambo ya nje na hakuna 'excuse' ya aina yoyote.

Shirika la ndege la ATC lilianzishwa na Nyerere katika mazingira magumu sana, inashangaza waliofuata wameshindwa hata kusimamia mikataba. Kinachotia maudhi zaidi ni utamaduni wa Rais Kikwete wa kuwaacha waliofanya dhambi za kuliumiza taifa waende zao.
Tumeona haya kuanzia ofisini kwake katika mawizara na mashirika. Utamaduni huu wa kuwaacha wezi na wahalifu wastaafu au wapewe ubalozi ni wa ajabu na unapaswa kulaaniwa kwa maneno yote.
Ni utamaduni wa kushangaza na unaozidi kulitia taifa katika umasikini

Natamani katiba mpya iondoe kifungu kinachomlinda kiongozi yoyote ili basi sisi waajiri wa viongozi tupate nafasi ya kuwahoji hata kama watakuwa makwao juu ya urafiki, wizi, uhalifu na ufujaji wa mali za umma. Hutuwezi kubaki tunalaumu Nyerere hakufanya hili au lile wakati waliokabidhiwa rasilimali za taifa sasa wanamtandao wa kulindana kwa kustaafu au kupeana ubalozi.

Baada ya kuona haya, tujiulize nini kinatushinda sisi kusimama pamoja na kuwasota vidole viongozi wanaoyumbisha jahazi letu?
Hivi hadi lini tutawapa hawa viongozi leseni ya kukusanya kodi zetu halafu kibali cha wao kugawana rasilimali zetu wakituachia madeni bila kuwahoji au kuwafikisha mbele ya sheria. Kama sheria haipo kwanini tusifikirie iwepo ili baada ya miaka 10 tuwaite kwa Hakimu mkazi sheria ichukue mkondo wake!

Kwanini tunakubali watumie sheria kuchukua kodi zetu, nasi tusitumie sheria kuwauliza wamefanyia nini hizo kodi zetu.
Kwani wafunge wezi wa kuku na waachwe wanaoliibia taifa kwa kufuru kiasi hiki wakitembea kwa tambo na majigambo

Tusemezane
 
Connect the dots....
  • Kwa wasio na taarifa au kwa kukumbushana mmoja kati ya Mafisadi Tanzania anaytajwa sana kwenye EPA ni mmoja walionunua baadhi ya viwanda hivi chini ya mwamvuli wa majina ya makampuni Tofauti. Mfano wa mojawapoy a kiwanda ni Mwanza Tannaries
  • Trough viwanda hivyo walivyonunuakwa bei chee wametumia na wanavitumia kupata mikopo in the name ya kuvifufua na kuvieendeleza. Baadhi ya makampuni si tu Mikopo bali ndiyo yametumika kuchota fedha za EPA. ambao hatujui kabla ya kufichukua ilikuwa ni mkopo au msaada.......
Yaani serikali iliuza viwanda kwa bei chee na serikali na hasa wanachi wake tunatapeliwa kuptia viwana vilivyouzwa kwa bei chee.

NB

Na viwada ambavyo havijawekwa kundi la "vilvyokufa" vingi havifanyi kazi iliyokusuiwa bali ni maghala.
 
Connect the dots....
  • Kwa wasio na taarifa au kwa kukumbushana mmoja kati ya Mafisadi Tanzania anaytajwa sana kwenye EPA ni mmoja walionunua baadhi ya viwanda hivi chini ya mwamvuli wa majina ya makampuni Tofauti. Mfano wa mojawapoy a kiwanda ni Mwanza Tannaries
  • Trough viwanda hivyo walivyonunuakwa bei chee wametumia na wanavitumia kupata mikopo in the name ya kuvifufua na kuvieendeleza. Baadhi ya makampuni si tu Mikopo bali ndiyo yametumika kuchota fedha za EPA. ambao hatujui kabla ya kufichukua ilikuwa ni mkopo au msaada.......
Yaani serikali iliuza viwanda kwa bei chee na serikali na hasa wanachi wake tunatapeliwa kuptia viwana vilivyouzwa kwa bei chee.

NB

Na viwada ambavyo havijawekwa kundi la "vilvyokufa" vingi havifanyi kazi iliyokusuiwa bali ni maghala.
Na sio kwamba hawajulikani, la hasha! kila kitu kinajulikana lakini hakuna political will ya kulisaidia taifa. Hivi haijulikani kuwa Caspian ni ya nani!!

Kuna tatizo kubwa sana katika uongozi. Uongozi unashiriki kikamilifu kuliua taifa, baada ya hapo tunaambiwa 'waacheni wazee wa watu wapunzike'. Kama hatufikiri mbadala wa kujikwamua tutaendelea kulipa kodi za kujenga mahekalu ya kikundi kidogo cha watu waisozidi 100 wanaoumiza taifa.
 
Majuzi ilikuwa na maongezi na rafiki zangu kuhusu hali ya elimu nchini .Hoja ilikuwa ni mitihani na ufundishaji. Yaliyojitokeza katika yale ya kawaida tunayoyasoma JF kuhusu udini na uonevu katika elimu.

Jana nikasoma kuwa Wazanzibar wanalalmika watoto wao kufutiwa matokeo.
Kama kawaida hilo likawa ni njama ya Tanzania bara kudhoofisha wazanzibar.
Ili kuweza kuungwa mkono, hoja hiyo ikatumbikiziwa ‘hamira' ya kidini kwa kumtuhumu Mkurugenzi wa baraza la Mitihani Bi. Ndalichako. Hili la Wzbar kama Wbar sitalijadili maana kulalamikani sehemu ya utamaduni wao.

Nitaongelea la Wzbar katika udini kwasababu linagusa Tanzania bara pia.
Huko nyuma yametolewa madai kuwa Nyerere alidhoofisha sana waislam kwa kuwanyima elimu. Madai hayo yalipokosa mashiko yakaundiwa hojaya kutaifisha shule.

Imedhihirika kuwa shule zilizotaifishwa nyingi ni za madhehebu au taasisi nyingine. Hoja ilipofifia ikaundwa nyingine ya madai ya njama za kukata majina katika matokeo.

Hoja hiyo ikajengewa nguvu kuwa Kighoma Malima alipoanzisha namba za mitihani ufaulu wa waislam uliongezeka. Hata hivyo hoja imekosa nguvu kwasababu aliyejenga hoja hiyo alishindwa kuthibitisha namba za mitihani zilianza kutumika lini.

Ikundwa hoja nyingine kuwa usahihishaji wa mitihani unaupendeleo.
Bila ushahidi hoja hiyo ikatiliwa mkazo na kuonekana kuwa kweli.

Mwaka huu na michache iliyopita shule ya Feza imekuwa ni kinara katika mitihani ya taifa na hata kutoa mwanafunzi aliyeongoza kitaifa.

Matokeo ya mwaka huu yanaonyesha kuwa asilimia 10 ndio waliofaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza hadi la tatu na asilimia 90 wamefeli.

Tukiangalia hoja hizi kwa makini ni wazi kuwa si namba za mitihani, usahihishaji au jina la shule vinavyoamua mwanafunzi afaulu vipi. Vinginevyo shule ya Feza isingekuwa miongoni mwa top 10 kwa muda mrefu bila kuhujumiwa. Isingekuwa rahisi kwa mwanafunzi bora ‘kuteuliwa' kutoka shule hiyo.

Lakini pia, katika silimia 90 ya waliofeli, wapo wa imani na wasiokuwa na imani za kikristo au kiislam. Hii maana yake ni kuwa katika asilimia 90 wote wapo bila kujali itikadi zao. Sasa kama kuna upendeleo ni kigezo gani kinatumika kupata asilimia 10 bora ikiwemo shule ya Feza.

Nadhani kuiweka shule ya Feza katika asilimia 10 ingekuwa ni kosa maana kuna kundi kubwa la waumini waliomo ndani ya asilimia 90 kutoka upande unaopendelewa.

Ni kutokana na ushabiki wa kuimba nyimbo watu wasiojua tungo zake, tumeondoka katika fikra halisi za kwanini watoto wetu wanafeli, nini kifanyike kuinua hali ya elimu na kujikuta tukijadili hoja zinazohitaji kufikiri kidogo tu na kupata jibu.

Hiki ndicho kinawapelekea Wbar kuamini kuwa wanahujumiwa eti kama mtihani umevuja Unguja lazima uvuje Iringa.Kwamba ni uislam unaohujumiwa.

Hii mentality iliyojengeka katika inferiority complex ni hatari sana! Inajenga watoto kuimba wimbo huo badala ya kufikiri kwenda makataba.Hiki ndicho kimepelekea malumbano yasiyo na tija juu ya hoja zisizo na mashiko Tanzania bara.

Kwanini watu hawaangalii tatizo lilipo, wanatafuata sababu rahisi za juridhisha nyoyo?

Hivi kwanini watu wanagoma kuona ukweli? Nenda kaangalie shule ya Feza kwa ubora wa kila kitu. Sasa utakapotegemea shule yenye wanafunzi 250 na walimu 2 kufanya vema kama Feza ni kujidanganya

Tuangalie sababu kitaifa, halafu kishule na si kusikia simulizi za wauza vitabu na kumeza kila kitu bila tafakuri

Tusemazane
 
TUKIELEKEA MCHAKATO WA KATIBA

Kwa jinsi hali ya mambo ilivyo ni wazi kuwa kinachofuata ni suala la ukusanyaji wa maoni na uandikaji wa katiba.
Sina uhakaika ni katiba mpya au itakuwa marejeo na maboresho. Wataalam wa mambo ya katiba bado wana shaka na muundo wa tume na kuwa suala la umoja wa kitaifa halikuzingatiwa. Mimi binafsi bado nina mashaka sana na ushiriki wa serikali katika mchakato.

Tatizo ninaloliona ni kuwa serikali ni mdau kama walivyo wadau wengine kutoka taasisi za kidini, asasi za kijamii, wana harakati, bunge n.k. Kinachoonekana kwa sasa ni serikali hasa rais kuwa na nguvu sana katika mchakato. Nimewahi kusema serikali ina wajibu wa kutengeneza mazingira mazuri na salama ya kuandika katiba bila ya kuingilia taratibu nyingine.

Tumeona msuguano kati ya Ikulu na bunge katika hatua za awali jambo linalo ashiria hamkani kutokuwa njema siku za usoni. Haiwezekani Ikulu inayotokana na chama tawala ikaingia katika mtifuano na bunge linalotawaliwa na chama kile kile.

Vyovyote iwavyo uandikaji wa katiba hapa tulipo hauepeukiki na hauwezi kukata kiu yetu.
Hata hivyo kwa vile wananchi wameridhia basi 'tufunike kombe mwanaharamu apite'.

Kuna mambo mengi tunayopaswa kuyaangalia ikiwa ni pamoja na uwakilishi na nguvu ya wananchi katika serikali waliyoichagua. Ielewke kuwa wananchi ni waajiri wa serikali na si waajiriwa kama inavyodhaniwa.
Na ni katiba ya wananchi ndiyo inayopaswa kumpa rais uwezo wa kufanya kazi wanazozitegemea.

Nimesoma na kusikia dodosa za kuvunjwa au kubadilishwa baraza la mawaziri. Kuna mambo mawili yametua kichwani kwangu ghafla. Kwanza inasemekeana rais anaweza kuteua wabunge wengine kushika nafasi za viongozi watakaoondolewa kwa sababu mbali mbali.

Utaratibu wa rais kuchagua mawaziri kutoka miongoni mwa wabunge unanitia shaka. Kwa maneno mengine hata kama hakuna mbunge anayefaa kwa kazi basi itabidi rais achague 'best from garbage'.
Nadhani wakati umefika kuachana na utamaduani huu. Tunaweza kuwa na mawaziri watakaotoka nje ya bunge na kuwajibika kwa bunge. Ninamaanisha kama yupo Bwana au Bibi 'X' ambaye si mbunge na anaweza kutusaidia kwanini rais asipewe nafasi hiyo.

Utaratibu huo utatusaidi kuwa na watu wanaowajibika kwa serikali bila woga na wabunge wanaowajisha serikali bila woga. Tukikubaliana sidhani kama kutakuwa na kukiuka msingi wowote wa demokrasia kwasababu demokrasia ni makubaliano.

Pia tetesi zinasema yupo waziri na naibu wake ambao ni wagonjwa na wanatoka mkoa mmoja,huenda nafasi zao zikajazwa na wabunge kutoka mkoa huo ili kuleta uwiano wa viongozi.

Huu utamaduni umeletwa na Rais Kikwete nami naupinga sana. Kwanza unasambaza mbegu za ukanda, ukabila na udini. Pili, unatunyima nafasi ya kupata viongozi wanaotufaa eti kwasababu tunataka uwiano.
Hivi baraza la mawaziri likiwa na watu 20 na 19 wanatoka Mtwara kuna ubaya gani kama wanaweza kutusaidia kuratibu mipango ya kutuondoa katika lindi la umasikini.

Hivi kuwa na waziri kunasaidiaje mkoa ili hali tunajua wao ni watumishi wa taifa waliokula kiapo kwa kutumia katiba ya nchi nzima na si kanda fulani au kabila fulani?

Katika hayo mawili katiba yetu inapaswa iyaangaliye. Kwanza itoe nafasi kwa kiongozi kuwa na timu ya wachezaji anaowaamini bila kufungwa na kifungu cha katiba ' waziri lazima awe mbunge', na pili katiba ilinde mianya ya kiongozi kuingiza hisia zake za kisiasa wakati huo huo akisambaza mbegu za ukanda, ujinsia na dini kwa visingizo vya uwiano n.k.

Yapo mengi ya kujadili na ni wakati mufaka tuanze kudonoa moja mbaada ya jingine ili tusijekusanywa ukumbi wa urafiki halafu ikawa vurugu, mwisho wa yote watu wanaoitwa tume wakaandika wanachokijua nasi tukakikubali kuwa ni katiba yetu. Tuanzae sasa kuijpanga.

Tusemezane
 
Nguruvi3,
Nimebahatika sana kuweza kutembea nchi nyingi duniani na ktk matembezi hayo nimeshuhudia mambo mengi tofauti kabisa kiasi kwamba unaweza kuiona Tofauti baina ya mila na desturi za kila nchi hata kama wanazungumza lugha moja. Jambo moja limenishinda kuelewa ni sababu gani nchi za Kiafrika tunapenda sana kutumia LUGHA ya kigeni ktk kufundishia. Hadi leo sielewi kabisa japokuwa kuna madai ya wasomi wetu wanaosema Kiswahili hakijakua kiasi cha kuwezesha ELIMU yetu lakini ajabu ni kwamba nchi zote zilizowahi kutembelea wanatumia lugha zao wenyewe sasa sielewi zilikuwa zimejijenga kisi gani ktk elimu..

Na maana ya ELIMU ni kuwezeshwa kuelemikika kisha elimu hiyo ukaitumia ktk uzalishaji kukabiliana na masiha, hivyo kukienda China mbali na wao kuzungumzia Kichina utaona hata mitambo ya viwanda vyao imeandikwa Kichina, switch boards za magari na kila kifaa cha matumizi hata majumbani wmwao.

Na Ukienda hata Ulaya kila nchi inatumia lugha yake ktk vielelezo mbali mbali vya matumizi toka maofisi, viwandani hadi ktk majumba yao. Na naweze kusema Ulaya ya EU yote hakuna nchi inatumia kiingereza au lugha ya kigeni zaidi ya waingereza wenyewe, Asia yote mambo ni yale yale wanatumia lugha zao kufundishia na ile ya Kigeni husomwa kama kujifunza lugha ya kigeni ktk kuiongea, hivyo utamkuta mtu anaweza kuongea lugha zaidi ya mbili ukiacha lugha yake, na hawa ndio wamepiga hatua sana ktk ELIMU na maendeleo kuliko sisi nchi ambazo tunatumia lugha ya Kigeni.

Je, hakuna uwezekano kwamba vijana wetu wengi wameshindwa mtihani wa kidato cha nne kwa sababu hawajui lugha ya kiingereza ambayo ndiyo imetumika ktk kutunga maswali ya mitihani? Kuna mtoto alinambia wazi kwamba baadhi ya maswali ktk mtihani akiyasoma alikuwa haelewi kimeulizwa nini zaidi ya kukisia kwa sababu ilitumika lugha ngumu (kiingereza) kwake. Sasa nachopenda kuuliza kwa nini tunawafundishia watoto wetu masomo kwa lugha ambayo hawaifahamu vizuri hivi kweli wataelimika na hata wakija elimika, lengo lake hawa watoto wata serve watu gani?
 
Nguruvi3,
Nimebahatika sana kuweza kutembea nchi nyingi duniani na ktk matembezi hayo nimeshuhudia mambo mengi tofauti kabisa kiasi kwamba unaweza kuiona Tofauti baina ya mila na desturi za kila nchi hata kama wanazungumza lugha moja. Jambo moja limenishinda kuelewa ni sababu gani nchi za Kiafrika tunapenda sana kutumia LUGHA ya kigeni ktk kufundishia. Hadi leo sielewi kabisa japokuwa kuna madai ya wasomi wetu wanaosema Kiswahili hakijakua kiasi cha kuwezesha ELIMU yetu lakini ajabu ni kwamba nchi zote zilizowahi kutembelea wanatumia lugha zao wenyewe sasa sielewi zilikuwa zimejijenga kisi gani ktk elimu..

Na maana ya ELIMU ni kuwezeshwa kuelemikika kisha elimu hiyo ukaitumia ktk uzalishaji kukabiliana na masiha, hivyo kukienda China mbali na wao kuzungumzia Kichina utaona hata mitambo ya viwanda vyao imeandikwa Kichina, switch boards za magari na kila kifaa cha matumizi hata majumbani wmwao.

Na Ukienda hata Ulaya kila nchi inatumia lugha yake ktk vielelezo mbali mbali vya matumizi toka maofisi, viwandani hadi ktk majumba yao. Na naweze kusema Ulaya ya EU yote hakuna nchi inatumia kiingereza au lugha ya kigeni zaidi ya waingereza wenyewe, Asia yote mambo ni yale yale wanatumia lugha zao kufundishia na ile ya Kigeni husomwa kama kujifunza lugha ya kigeni ktk kuiongea, hivyo utamkuta mtu anaweza kuongea lugha zaidi ya mbili ukiacha lugha yake, na hawa ndio wamepiga hatua sana ktk ELIMU na maendeleo kuliko sisi nchi ambazo tunatumia lugha ya Kigeni.

Je, hakuna uwezekano kwamba vijana wetu wengi wameshindwa mtihani wa kidato cha nne kwa sababu hawajui lugha ya kiingereza ambayo ndiyo imetumika ktk kutunga maswali ya mitihani? Kuna mtoto alinambia wazi kwamba baadhi ya maswali ktk mtihani akiyasoma alikuwa haelewi kimeulizwa nini zaidi ya kukisia kwa sababu ilitumika lugha ngumu (kiingereza) kwake. Sasa nachopenda kuuliza kwa nini tunawafundishia watoto wetu masomo kwa lugha ambayo hawaifahamu vizuri hivi kweli wataelimika na hata wakija elimika, lengo lake hawa watoto wata serve watu gani?
Mkuu Mkandara, kwanza ahsante kwa 'uchokozi' wa mada muhimu sana kama hii. Suala hili ni gumu na jibu lake si rahisi, lakini ugumu zaidi ni pale wale wanaopaswa kutupa dira kutokana na uzoefu au maarifa yao ima kutotilia maanani au kutojua nini cha kufanya kama tunavyoona Dodoma kuwa mji mkuu na Ikulu kubwa kuwa Dar es salaam tena upanuzi ukiendelea kwa mabilioni ya pesa.

Nigeria wamehama kutoka Lagos hadi Abuja, malawi wakatoka Blantyer hadi Lilongwe kama nipo sahihi. Tanzania hakuna political will, planning, execution, follow up wala assessment. Ni matokeo ya yale tunayoongea kila siku 'take care of today tommorrow will take care of itself'. Ni kwa mwendo huo huo matumizi ya lugha pia yanaingiwa na utata.

Nikumbushe kuwa kiingereza ni lugha iliyotokea kuwa ya mawasiliano duniani. Kwa hakika hakuna sehemu ya nchi yoyote isiyokuwa na mtu japo anaijua hata kama si kwa ufasaha. Imekubalika tu bila kuwa na makubaliano rasmi kwasababu imetokea kurahisishaji mawasiliano. Hii haina maana ukijua kiingereza ni mwerevu, la hasha! ni lugha kama Kibondei cha kule kwetu Mkuzi, kilichozidi ni umuhimu wake katika viwango vya kimataifa.

Kiingereza siyo lugha inayoongewa na watu wengi, ni lugha inayoongewa kwa wingi( naomba nieleweke). Lugha inayoongewa na watu wengi ni mandarini. Hata hivyo kutokana na umaarufu wa kiingereza nchi zote ulizozitaja bado zinatumia kiingereza na hakika zina wekeza sana katika lugha hiyo. Katika majira ya joto nchi za magahribi zinapeleka wanafunzi wao kufundisha lugha India, China, Japan n.k.

Kwa maana nyingine ni kuwa ili uweze kufanikiwa ki-uchumi, technology, siasa n.k. ni lazima uwe na ufahamu wa lugha hiyo. Hiki ndicho kinachosukuma uwepo wa maandiko mengi ya kitaaluma na kitaalam hata kama mgunduzi,mvumbuzi, mwandishi ni mjapan, mpolish, mrusi au Mwarabu.

Kwa muktadha huo msimamo wangu ni kuwa kiingereza ni lugha muhimu sana kama tunataka kuwa sehemu ya dunia hii.
Labda tungewaangalia wahindi ambao licha ya kuzungumza lugha za Hindu na Punjabi ambazo ni kubwa bado wanauelewa mzuri sana wa kiingereza. Ni kwa sababu hiyo wao wameweza kuuza technology hadi kazi za cutomer service.
Na hakika ni rahisi kwao kupenya soko la ushindani kwa lugha tu.

Tulianza hivyo katika miaka ya 60 na 70 wakati tulipoamua kutumia kiswahili kama lugha rasmi ya mawasiliano halafu tukaelekea katika shule za msingi. Hii ilikuwa ni tranformation ya lugha bila kuathiri ufahamu wa lugha nyingine kama kiingereza. Kitabu cha darasa la 5 cha kiingereza miaka hiyo kwa sasa ni level ya juu sana. Walimu walikuwa na ufahamu wa lugha na hivyo wanafunzi walimudu lugha zote vema. Haya hayakuathiri ukuaji wa kiswahili

Tulikuwa na bidhaa zetu tunatengeneza kuanzia betri, mafuta, viatu n.k ambavyo viliandikwa kwa lugha zote kumrahisishia mlaji. Kwasasa tunaagiza kila kitu kama si mitumba

Kubadili lugha ni process ambayo haitakiwi kuathiri mambo mengine, kwa bahati mbaya watu kama BAKITA wanataka hilo litokee siku moja kwa kuua kiingereza kwanza.
Haiwezekani ukaamua kuanzia leo medicine ifundishwe kiswahili ukiwa huna nyenzo kama vitabu.

Sikubaliani na hoja kuwa kiswahili hakina maneno, ninachojua ni kuwa hakuna taasisi inayoeneza kiswahili kwa ufasaha, hivyo mabadiliko yatalazimisha watu warudi kujifunza kiswahili kama wanavyojifunza kiingereza na lengo la kumfundisha mtu kwa lugha yake linaweza lisifikiwe.

Nina shaka na hoja kuwa kushindwa kwa wanafunzi ni kutokana na kutokuelewa maswali.
Tujiulize kwanini mwanafunzi huyo huyo afeli lugha ya kiswahili?

Watu kama manesi, clinical officers, Agric officers, vertenary n.k wanawasiliana na wanavijiji kwa lugha ya kiswahili na kutoa elimu hiyo kwa lugha hiyo jambo zuri sana kwani wanaeleweka. Maarifa waliyapata kwa kiingereza ambacho kina resoures nyingi kuliko kiswahili.

Ninaweza kusema kwa dhati kuwa BAKITA na TUKI bado hazijafanya kazi inavyotarajiwa.
Wao dhana kubwa waliyonayo ni kuamka asubuhi na kufanya kiswahili kama lugha hadi chuo kikuu.

Kazi anayoifanya Profesa Mhunzi kule Marekani ya ku-promote lugha ni kubwa na taasisi zetu zinapaswa kuliona hilo.
Ni lazima taasisi zetu zielewe kuwa transformation ya lugha ni process na inatakiwa kuwa na msukumo, uwekezaji na uenezi na si kutafsiri tu vitabu.

Nabaki na hoja yangu kuwa sisi kama taifa tunatakiwa tuwe multi-lingua, matumizi ya kiswahili yasidhoofishe au kuua ufahamu wa lugha nyingine hasa dunia ya leo na uduni wetu kiuchumi, teknolojia n.k.
 
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Some 17 erstwhile public firms that were privatised under a plan initiated in 1993 in a bid to revamp production have so far been shut down after failing to deliver, a report released recently by a technical committee has revealed.The government had at that time decided to sell the wobbling public companies to private investors who, it was presumed, could revive them following the State's lack of capacity to run them.According to the report which has been submitted to the Parliamentary Public Organisations Accounts Committee (POAC), 17 firms out of 74 which were privatised have since stopped operations altogether.

Firms that have closed up shop after they were taken up by private investors have been listed as: Mwanza Tanneries, which was sold to Africa Trade Development Limited (Mwanza), Tanzania Bag Corporation Limited Mills owned by TPM (Kilimanjaro) and Morogoro Ceramics Ware Ltd which had gone to Hans Nails Ltd (Arusha).

Others include: Morogoro Shoes Co. Ltd sold to Guled Shoe Co. Ltd (Morogoro), Zana za Kilimo Mbeya that went to CMG Investments Ltd (Mbeya), Arusha Metal Industry bought by Mr Mfahamiko (Arusha) and Mbeya Ceramics Company that is in the hands of Kyela Valley Food Ltd (Mbeya).

The list also include Nyanza Engineering and Foundry bought by Nyanza Cooperative Union and Mwanza Municipal Council (Mwanza), Kilimanjaro Textile Mill Ltd that went to Iron and Steel Co. Ltd (Arusha), Musoma Textile Mills that was bought by Kiltex Ar/METL (Mara) as well as Polysacks Co. Ltd which went to Prebond Ltd (Dar es Salaam). There were also Tractor Manufacturing Co. Ltd that went into the hands of Quality Group Ltd (Dar es Salaam), Steel Rolling Mills bought by Unique Steel Rolling Ltd (Tanga), Rukwa RTC bought by Rukwa (2000) Ltd (Rukwa), LRT Motors that went LRT (2000) Motors Co. Ltd/MEBO Co (Dar es Salaam), Ubungo Garments Ltd bought by VMB Holdings Ltd (Dar es Salaam) and Moshi Hand Tools (Kilimanjaro).

At the same time, the report shows that 42 privatised firms have been performing well while there are 15 others, which are operational but performing dismally.

According to the report, most investors have failed to comply with conditions in the contract they signed with the government. The committee suggested that the government should repossess the factories that have failed to deliver.The report also discloses that several investors were no longer showing interest in the revival or development of the erstwhile State firms and have instead left machineries and buildings to lie derelict.

Analysing the situation at the Mangula Mechanical and Machines Tools Limited (MMMT) which went to St Mary's International School in February, 2007, the report shows that the investor has totally failed to develop the factory as agreed and in its proposal has asked the government to terminate the contract.

According to the report, several machines were removed, buildings destroyed while heavy machineries were abandoned, paving the way for scrap metal vandals.Some of the private companies never bothered to even get started after the factories were handed over to them over a decade ago.

The report also states that Mwanza Tanneries Limited, which was privatised by Tanzania Leather Association Industries (TLAI) and African Trade Development Ltd has also stalled.The report notes that the investor has so far done nothing to develop the factory and that there was no sign anything would be done about it soon.

"Many machinery including the effluent treatment plant (ETP) have been stolen and the remaining machines are in bad shape, most of premises have been converted to a garage and a store for mining machinery owned by Caspian Ltd," reads a part of the report.

However, it was established that in other areas the committee failed to get the contract and other documents, which were used during the privatisation of some of the firms.According to the report, the committee has failed to get a contract, which was signed between the government and the Pure Bond Limited during the selling of Morogoro Ceramics Limited in 1993.

But the report states that the firm was sold at Sh452 million and that the investor was allowed to transport the machinery to Nigeria."The factory has been abandoned and there is no single activity taking place in the premises since all machinery has been removed," reads a part of the report.

Moreover, the committee established that some investors have switched to operations other than those they were expected to carry out.According to the report, the Polysacks Company Ltd (BAGCO LTD) was now a warehouse for salt produced by the Kensalt factory.

The committee reveals that generally, in many cases, investors have violated the terms and conditions of contracts, but since there were many weaknesses during the signing of the agreements; the government has little chances of repossessing the firms.

The 99-page report advises the government that there is a need to terminate contracts with all non-performing investors."It should write letters to all investors forbidding anyone to destroy or take away any machinery. It should also order those who owe the government money to pay with immediate effect," the report recommends

My take:
Taarifa hii inatueleza nini ambacho hatukijui leo hii. Ni taarifa nzuri sana na ninachosema hapa ni kuwa madudu mengi hayakuanza leo. Kuna watu walishaoinunua 'system' na kila panapotajwa uchafu majina yao yanajitokeza.
Hebu tuiangalie halafu turudi mezani na kuchambua mstari mmoja mmoja ili baada ya hapo tupate jibu juu ya mwalimu na kufeli kwake. Ili baada ya hapo tuweze kumpa mwl pass mark zake kama ni 0, 10, 20, 40, 50, 60, 80 au 100.
Kama hatutatoa pass mark, nitarejea hapa kuhoji, amefeli nini? na kipi kimefaulu!

Tusemezane
Mkuu Nguruvi3,
Kuna kitu tulidanganywa na wakubwa duniani, nasi tuakaingizwa mkenge na tamaa za 10% za viongozi wetu. Bado nashindwa kuuona ubaya wa ujamaa. Najaribu kufikiri hii migodi yote ya dhahabu kama ingekuwa inamilikiwa na STAMICO, ni kiasi gani kingeingia hazina kwa mwaka. Zipo hoja za kutokuwa na mitaji na utaalamu unaohitajika. Lakini ukiwa na mali kiasi hicho unaweza kukopa toka taasisi yoyote ya fedha duniani, na unaweza kuajiri mtaalamu yeyote duniani. Unatakiwa tu kuziba mianya kama hiyo ya kukodi Airbus kwa USD 200 m kwa kuweka sheria kalli sana.
 
Mkuu Nguruvi3,
Kuna kitu tulidanganywa na wakubwa duniani, nasi tuakaingizwa mkenge na tamaa za 10% za viongozi wetu. Bado nashindwa kuuona ubaya wa ujamaa. Najaribu kufikiri hii migodi yote ya dhahabu kama ingekuwa inamilikiwa na STAMICO, ni kiasi gani kingeingia hazina kwa mwaka. Zipo hoja za kutokuwa na mitaji na utaalamu unaohitajika. Lakini ukiwa na mali kiasi hicho unaweza kukopa toka taasisi yoyote ya fedha duniani, na unaweza kuajiri mtaalamu yeyote duniani. Unatakiwa tu kuziba mianya kama hiyo ya kukodi Airbus kwa USD 200 m kwa kuweka sheria kalli sana.
Ukiangalia investment iliyowekezwa halafu tunaishia kuua viwanda inasikitisha.Ndiyo maana nauliza kila mara kosa la Mwl Nyerere liko wapi? Hawa waliouza viwanda kwa kuvigawa wamewekeza nini? Je, tatizo ni viwanda au 'management'? Kwanini tuuze viwanda kwasababu ya management halafu tushindwe kuzuia mianya kama ya Richmond,Kagoda n.k.
Ubovu wa management unaanzia wapi kama si mamlaka za juu? Kwanini tuwalaumu mameja tusiwalaumu waliowachagua?
 
RAIS KIKWETE NA HATARI YA MGOGORO UTAKAOWAUMIZA WANANCHI
(sehemu ya kwanza)

Rais Kikwete amelihutubia taifa kwa utaratibu wa kuongea na wazee wa Dar es Salaam.Utaratibu huu ulibuniwa na Mwalimu Nyerere kwa kuthamini mchango wa wazee wenzake.
Nakumbuka kuliwahi kutokea upungufu wa sukari na unga, Mwalimu akatembelea duka moja kama raia kujionea hali halisi. Baada ya hapo akawaita wazee na kuwahakikishia kuwa upungufu uliopo utadhibitiwa na ni matokeo ya hujuma tu.

Hilo lilikuwa jambo dogo lakini kwa umuhimu wake kitaifa Mwalimu hakusubiri hadi mwananchi apoteze maisha.
Kinyume cha Mwl Rais Kikwete yeye aliendelea na safari zake za kawaida na kupewa habari za vifo na misiba bila kuchukua hatua yoyote.Kwa Rais Kikwete hili lilisubiri taratibu 'protocaal' kabla hajailingilia. Kwamba maisha ya wananchi yalikuwa hayana thamani kiasi cha kuruhusu mawaziri kuwasiliana kwa urasimu

Aliporudi safari zake hakuonyesha hata wasi wasi kuwa umma umeathirika. Laiti ingekuwa maandamano ya wapinzani ungemsikia kila siku yeye na mawaziri wake. Kama lingekuwepo tishio la jeshi angerejea mara moja. Hakufanya hivyo kwa mgomo wa madaktari kwasababu si yeye au mwanafamilia yake atakayeathirika, na mgomo huo hautishii uwepo wake Ikulu

Hii imeonyesha ni jinsi gani hakuweza kutumia uzooefu wa mgomo wa awali akiwa waziri, hakuonyesha machungu kama mzazi na wala hakutumia busara kama mzee achilia mbali kiongozi wa watu milioni 40.

Kikwete ana hulka ya utaka kuwa mzuri na kumpendeza kila mtu. Kwa mtindo huo ana kile tunachokiita 'stab back' au kiswalihili anakulamba mgongo au kukupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

Richmond alikana haijui na Lowasa ameatumbia anaijua. Dowana akasema hawajui na sasa tunajua anawajua vema.
Alikataa kuidhinisha posho za wabunge mwaka 2005 kwa kupitia hotuba ya wazee, miezi 6 baadaye akaidhinisha kinyemela. Safari hii akamtupia Pinda mzigo, tumeshuhudia alivyomuadhiri Pinda na Makinda.

Amewashushia hadhi na heshima mbele ya jamii. Ndivyo pia alivyowahadaa madaktari alipotaka kukutana nao.
Jana kawakana na kuwadhalilisha kana kwamba hawajawahi kukutana, na heshima ya wao kurudi kazini ilikuwa ni upuuzi tu kwa mheshimiwa.

Akaamua kutumia utaratibu wa Mwalimu alioshindwa kujifunza kabisa. Sote tulijua ili kutafuta huruma ya wazee wasiojua hili au lile katika dunia ya leo angetumia karata ya siasa, na kugeuza mambo (spinning) na kuwadhalilisha.
Silaha kubwa inayotumika kufikia malengo yake ni kuwafanya madaktari (Public enemy number 1)

Karata ya kisiasa ni ile ya kuwashambulia wanaharakati. Ni ukweli usiopingika kuwa wanaharakati walikuwa wanataka serikali iongee na madaktari na hawakuwa na agenda nyingine.
Kwa vyovyote vile wanaharakati wamefanikiwa sana kwani kupitia kwao serikali iliondoa masharti ya kukaa na madaktari. Lakini hili haliishi hapa kwani wanaharakati wanabaki na hasira na watakapopata mwanya watalipa kisasi.
Politically Kikwete anakiua chama chake. Ameshawatangaza wanaharakati kama wapinzni wake kisiasa.

Karata ya pili ya kisiasa ni ile ya madai kuwa hakuna sababu za kutosha za kumwajibisha waziri na naibu wake.
Ni kituko hiki kwasababu watu wamepoteza maisha na kujiuzulu kwao ni sehemu ya masikitiko achilia mbali kuwajibika.
Ni sehemu ya kumsafisha mkubwa wao mbele ya jamii kwa uwajibikaji.
Kikwete hakuliona hilo na hakika damu imenata mikononi mwake.

Lakini pia tujiulze ushahidi gani anautaka Kikwete? Si watu walikufa gongolamboto tena katika matukio mawili na waziri huyo huyo bado ndiye wa ulinzi. Hivi milipuko mara mbili sio ushahidi kuwa waziri Mwinyi ni sehemu ya tatizo la misiba ya wananchi?

Hivi Kikwete anataka ushahidi gani wakati ameambiwa kuwa Jairo na Luhanjo ni sehemu ya 'uhalifu' wa taifa.
Amefumbia macho rushwa anataka ushaidi wa Mponda!
Hivi Kikwete anataka ushaidi gani pale baraza lake la mawaziri linapojichanganya na hakuna anayewajibika?
Ushahidi gani ikiwa kila tume inasema waziri wa nishati ni 'mchafu' wa kila hali.
Mbona bado wapo?

Karata nyingine ni ile ya kuwafanya madaktari waonekane wanadai zaidi ya kile mwananchi anachochangia.
Hesabau za milioni 7.7 hadi 17 zimeonekana ni nyingi sana kwa kuumba umba tu ili apate huruma ya wananchi.

Ni Rais Kikwete huyo huyo hajawahi kuzungumzia wale wanaolipwa kwa kukaa katika viti vyao kule dodoma posho kubwa kuliko mshahara wa mfanyakazi. Posho za siku 5 za mbunge aliyesinzia ni sawa na mshahara wa Dr.
Rais hilo hajaliona wala kulitafutia huruma kwa jamii.

Anafanya kiasia hicho ni kikubwa kuliko hasara ya mabilioni ambayo yeye ameamua kuwasamehe washirika wake kwa gharama ya taifa. Rais wetu anafanya kiwango hicho ni cha ajabu kuliko sh bilioni 1.5 za nyumba ya Spika na Bilioni 2.5 za Gavana. Asichowaambia wazee wa Dar es salaamu ni jinsi gani watoto, wajukuu zao wanavyozaliwa sakafuni pale Temeke kwa kukosa kitanda cha sh 50,000.

Asichowambia wazee ni kuwa gharama ya nyumba ya spika na gavana zilitosha kabisa kuleta kipimo cha MRI ambacho sijui kama kimewahi kufika Tanzania. Asichosema Rais ni kuwa gharama za matibabu ya kundi lake la wateule kule Appolo India na London zinatosha kabisa kujenga hospitali ya wilaya na vifaa kamili.

Asichosema Mheshimiwa Rais ni kuwa pesa anazoshindwa kuzisimamia na zinaibiwa kila siku (ripoti ya CAG) zinatoshakabisa kulipa mishahara ya wafanyakazi wote wa umma katika wizara ya afya kwa mwezi mzima.

Hotuba yake ya kutafuta huruma, imezidi kuonyesha udhaifu wake katika uongozi na anayetilia shaka hilo ajitilie shaka kwanza ya kuwa anafikiri sawa sawa? Hotuba yake haikutoa ufumbuzi wa tatizo zaidi ya yale tunayosikia redioni na kwenye magazeti.
Na zaidi hotuba yake imeamsha hisia kali miongoni mwa wanataaluma na wataalam nchi. Imeudhalilisha umma wa wasomi na watambuzi na wataalamu na hakika Kikwete ametuacha jangwani. Rais ametutumbukiza katika kikaango anachojua yeye wala mtoto wake hawataingia. Tusubiri mafuta yachemke! Ikifika hapo najuta miaka 4 ijayo.
Hotuba yake inayosifiwa kuwa ni tamu kwa kushadidiwa na tabasamu imeacha madhara makubwa sana kwa jamii.

Inawezekana ametumia nguvu za mamlaka yake na haraka haraka inaonekana amefanikiwa.
Ukweli ni kuwa mimi sasa hivi nimejawa na hofu kubwa sana kuliko wakati wa mgomo.
Hofu yangu imejengwa na moto uliokuwa unafukuta na sasa umemwagiwa petroli na Kikwete.
Nitafafanua hofu yangu

Itaendelea..........
 
Tumeona jinsi Kikwete alivyotumia karata yake kuwashitaki, kuwasingizia na kuwahukumu madaktari. Amesema kuwa mgomo ule uwe wa mwisho akimaanisha kama utajitokeza atachukua hatua zaidi.

Alimaliza kwa kusema matatizo ya madakatari yanaweza kuzungumzwa, ni kweli watu hukaa mezani na kujadiliana. Alichosahau mheshimiwa rais ni kuwa majadiliano yanahusisha pande mbili zikiwa na ufahamu unaowiana.
Rais hakumbuki kuwa Blandina na Mtasiwa walichochea mgomo mezani kwa ubabe tu na hakuna shaka ni maagizo ya serikali yake. anaposema majaliano ni yapi hayo?

Kama majadiliano ni njia muafaka iweje wazee wa EAC hawajafikia suluhu ya matatizo yao hadi leo na wengi wameshatangulia mbele ya haki? Kama serikali yake inazingatia majadiliano, ni yapi hayo kwasababu bunge lilijadiliana na kusema Hosea hafai,Kikwete hakuwasikiliza na mengi tu aliyopuuza hata mengine kulitia taifa hasara.
Hivi kweli rais anahubiri anachokitenda au anahubiri ili asikike?

Endapo kutatokea mtafaruku kuna njia mbili alizo nazo. Kwanza kuleta madaktari wa jeshi ambao hawakidhi hata robo ya mahitaji ya Muhimbili achilia mbali sehemu zingine. Na hilo limeonekana kutofaulu wakati huu na hakika halitafaulu.

Wazo la kuleta ma dr kutoka nje ni duni sana kwasababu watahitaji malipo ya dollar za kuijikimu na mambo mengine ambayo ni ghali zaidi ya Dr wa kawaida (local Dr). Gharama kubwa ni kuwa hawajui epidemiology ya nchi yetu na wengine hawajaona maradhi kama malaria na hata minyoo. Ni kuwa watakuja kuanza 'mafunzo' na hapo nyoyo za Watanzania zitapukutika sana.

Mashirika kama WHO yanapotoa nafasi kwa local practitioners wana maana kuwa Daktari wa Tanzania ana ufahamu mzuri sana wa mgawanyo, mtawanyiko, matokeo na matibabu ya maradhi ya hapa kuliko Daktari kutoka Ireland, Mexico au Japan. Pia wanazingatia gharama ambazo huwa ni ndogo ukilinganisha na kuajiri mtaalamu wa nje.
Nitaishangaa serikali kama itajaribu hata kufikiria jambo hilo.

NINI KINACHOWEZA KUTOKEA.
Madaktari hawana umiliki wa vyombo vya dola kwahiyo nguvu yao inaweza kuwa imefifia.
Hofu yangu ni kuwa wakiamua kuwa na kitu kinaitwa ' go slow' basi wananchi wataumia sana.
Nini maana yake! Yaani Daktari atakwenda kituo chake cha kazi na kufanya kazi kama kawaida.
Kitakachokosekana ni ile ari na morali wa kazi. Kwamba, ameandika cheti mgonjwa aende kufutailia na lolote lile liwalo yeye atakuwa hana lawama.

Fikiria hivi, umevunjika mguu na upo wilayani, Dr akaandika uhamishiwe hospitali ya mkoa, hapo unadhani nini kinatokea. Pengine ulihitaji damu na matibabu ya kwanza kabla ya kuhamishwa lakini yeye akaona ah! Kikwete hajaleta x-ray yahusu nini kujisumbua, anatimiza wajibu wake wa rufaa, mengine utajijua wewe na nduguzo

Fikiria mwananmke mjamzito, ameshindwa kujifungua. Daktari anayeweza kufanya kazi hiyo ni mmoja tu na hayupo zamu. Hivi utajisikiaje utakapojibiwa kuwa daktari yupo katika shamba lake la kuku na nguruwe na hawezi kuja kwasababu hayupo zamu! Nani hapa ameshinda! Je hotuba ya Diamond itakuwa imekusaidiaje

Upo au nduguyo yupo hospitali, daktari akasema huyu mgonjwa anahitaji kupelekwa India, utamlaumu kwanini.
Kumbe tatizo hilo linaweza kushughulikiwa kwa njia na ubunifu wa mtu aliye na ari.
Na hayo yakitokea Kikwete na wazee wa Dar hawapo bali wana ndugu kubaki wakisaga meno.

Nimewahi kuona daktari anatoa damu kwasababu mtu anahitaji damu na kwa bahati mbaya kundi lake la damu ' blood group' halipo. Tumesikia Dr akitoka theatre kwenda kununua kifaa kwababu hospitali ya temeke haina kifaa hicho.

Nimewahi kushudia mganga akitoka na taa yake ya nyumbani kwenda kuhudumia mgonjwa akiacha familia gizani.
Mifano ni mingi sana ya jinsi watu hawa wanavyojitoa kutusaidia licha ya mazingira hatarishi na magumu ya kazi.

Leo wanavunjwa moyo na kudhalilishwa sisi wananchi tunashangilia. Eti tunamuona aliyesababisha matatizo haya ni shujaa kwa hotuba. Siku yatakapotufika tutakuwa wenyewe.

Hoja yangu kubwa ni kuwa afadhali Rais asingeongea maana kufanya hivyo ameamsha hisia na hasira.
Hutuwezi kuziona kama tulivyoziona kwasababu FFU, TISS na Ploisi watakuwa kazini kuwaandama.

Ninaogopa sana na naomba mungu apishilie mbali kwasababu madaktari hawana bunduki wala fimbo.
Wana kalamu, na kama wakiamua kuitumia kujihami au kushambulia wananchi watajuta.
Hapo wataikumbuka Diamond jubilee kwa uchungu.

Ndiyo maana nasema nina hofu kubwa kuliko wakati wa mgomo.
Hofu ni kuwa sijui madaktari wanafikiri nini na majibu yao yatamshukia nani.
Nina hakika Rais hayatamkuta ila sijui ni nani miongoni mwetu.

Tujiandae kumwalika tena Rais diamond na safari hiyo tutazungumza sisi na kumwambia 'Tumechoka na huduma mbaya za afya'. Madaktari watakuwa wamechoka kutokana na uchovu wa kulima mchicha na kusambaza maembe na watakuwa mbele ya runinga zao zamu hii wakituangalia tunavyoangua vilio mbele ya Rais.

Tusemezane
 
Mh LOWASSA NA KAULI TETE ' FIT FOR FIGHT'

Waziri mkuu aliyejiuzulu amerejea nchini na kutoa kauli kuwa yeye ni mzima na alikwenda kwa 'medical check up' Ujerumani.Amewashukuru Maaskofu, mashehe na watu mbali mbali waliomuombea arudi salama. Akasema yupo 'fit' kwa mapambano.

Pengine kauli yake inafuatia kuzagaa kwa habari za ugonjwa wake katika vyombo vya habari ikiwa ni pamoja na social media. Kwa aliyefuatilia zilikuwepo kauli za kumtakia kheri na nyingine za kumuombe mabaya yamkute.

Wale wanaodhani Lowassa ni kiongozi mzuri na kumtakia heri hoja yao kubwa ni kuwa, anaposimamia jambo basi litafanyika. Hii ni kwasababu Lowassa ni mtu wa anayejiamini na kuamini anachokifanya.

Kinacholetea tatizo kwa hoja hii ni uadilifu wake. Hata kama mtu ni kiongozi mzuri kiasi gani, pindi anapokosa sifa ya uadilifu basi anakuwa amaepoteza sifa zote. Leo imedhirika kuwa Lowassa alijua mipango iliyolitia taifa hasara na akasimama bungeni ndani ya chombo cha wananchi na kulihakikishia hakukuwa na uchafu. Kinyume chake ilidhirika wazi kuwa hata kama hakushiriki kupata mgao wa uhalifu, Lowassa alishiriki kwa kukaa kimya ili hali akijua uhalifu unaoendelea.

Wale wanaosema yamkute yoyote hoja zao ni kuwa, Lowassa hana uadilifu, ni mtu wa makundi, na mtu anayeweza kuligawa taifa ili afikie malengo yake ya kisiasa. Wanasema, ni kiongozi aliyejaa visasi na jazba na kumkabidhi mamlaka kama ya urais ni kulitia taifa katika majaribu.

Lowassa ni mtu mwenye jazba sana kwa uhakika. Tunakumbuka alivyoshindwa kujenga hoja katika sakata la Richmond huku akituaminisha kuwa tatizo siyo hasara ya taifa bali uwaziri mkuu wake. Akafoka na ku-uacha ulimwengu uamini kile kilichosemwa kwasababu yeye hakusema chochote. Baadaye tunamsikia akijitetea kwa kumhusisha swahiba wake.

Siku za karibuni amekuwa akipita makanisani na misikitini kujenga mtandao wake.
Lowassa anaijua vema nchi yetu na ni mwepesi wa kutumia kila alicho nacho kununua hata akili za wanadamu.

Kauli yake uwanja wa ndege ina utata mkubwa sana na kwa mtu aliyewahi kuwa kiongozi wa kitaifa na ambaye sasa anahusishwa sana na tuhuma za makundi, kiu ya uongozi, jazba na ile ya kudhuru wapinzani wake, hakupaswa kabisa kuitoa.

Anachosema ni kuwa yeye yupo tayari kwa mapambano ambayo hakuyafafanunua. Laiti angesema mapambano ya kujenga shule za kata, kumaliza umasikini, kuimarisha chama chake ama kuondoa umasikini tungeweza kumeuelewa japo kwa taabu. Kuiacha kauli ya 'fit for fight' ikieelea imemuweka katika wakati mgumu sana.

Kauli hiyo na ile ya kuwashukuru viongozi wa dini inajenga hisia kuwa tuhuma za yeye kuanza kutumia dini kufikia malengo yake sasa hazina shaka. Hili linaongeza udhaifu na kushadidia hoja kuwa anaweza kufanya lolote ili mradi tu awe Rais wa nchii hii. Kwa watu wenye mapenzi mema na nchi hii haiwachukui muda kumwelewa na kumuogopa Lowassa.

Swali linabaki kuwa, mtu aliyewahi kuwa waziri mkuu akizijua taratibu za kisheria za nchi na vyombo muhimu vya usalama, anapotoka ujerumani akiwa fit kuendeleza mapambano, ni yapi hayo?
Je, ni kuendeleza mapambano au kuanza ? Lowassa anapambana na nani nchi hii ya demokrasia na utawala wa sheria.

Inaweza kuwa kauli hiyo aliitoa kwa bahati mbaya ingawa ipo moyoni.
Ni ushahidi mwingine kuwa jazba ni hulka yake.

Tunapaswa kujiuliza kuhusu salaam za maaskofu na mashehe na utayari wa mampambano mapema kabisa kabla mambo hayajaribika. Vinginevyo tutakuja juta.
Kiongozi aiyefikia wadhifa wa Lowassa anaposimama mbele ya vyombo vya habari na kujinasibu kuwa yu tayari kwa mapambano inafikirisha sana.

Je mapambano aliyotangaza Lowassa yataishia nchini au yatatupeleka hadi nje kama kule Appolo India?
Ni mapambano gani waziri mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli anayoyaandaa nchi hii.
Lowassa yupo fit kwa mapambano yapi jamani!!

Tusemezane
 
KWANINI ARUMERU?
Marejeo:
Baada ya wiki ya tambo za kisiasa, sasa ni wazi kuwa mgombe wa Republican gavana wa Massch. Mitt Romney ndiye atakayebeba bendera ya chama dhidi ya Obama wa Democrat. Idadi ya wajumbe alio nao ni kubwa kuliko ya Santorum,Gindrich na Paul kwa ujumla. Kama nilivyowahi kusema awali kinachoendelea ni chuki na ucheleweshaji ambao si wa kupuuza kwasababu unaweza kupelekea uchaguzi kufika katika mkutano mkuu hapo August.

Kumekuwa na shinikizo wagombea wengine wajitoe ili Romney apate nafasi zaidi ya kujiandaa. Hii inajidhihirisha baada ya Romney kupata upatu(endosement) kutoka kwa watu wenye ushawishi ndani ya Republican kam Rais Bush senior, mwanaye Jeff Bush, na gavana mwenye ushawishi Rubio ambaye ni kiongozi wa kundi la tea party n.k.

Majimbo yenye ushawaishi wa siasa za marekani mengi yameshafanya chaguzi. Majimbo hayo ni kama Iowa, New Hampshire, Ohio, Carolina, Florida, Michigan, Ilnois n.k. Yaliyobaki yenye ushawishi ni New York, DC, California.

Kuna tamaduni kuwa huwezi kuwa Rais wa Marekani bila ushindi wa maeneo kama Iowa na Ohio. Hata hivyo utamaduni huo unaanza kupoteza ukweli baada ya Obama kuwa Rais licha ya kushindwa kwenye uchaguzi wa mwanzo wa Ohio.

Hapa nyumbani bado hatujaweza wala kufikia mahali ambapo tunaweza kusema sehemu fulani ina ushawishi wa kisiasa kuliko nyingine. Inatosha tu kusema huko ndiko tunaelekea.

Bado hatujaweza kuwa na ngome za vyama vya kisiasa au kuwa na majimbo yanayobadilika kufuata upepo wa kisiasa(swing states) hilo nalo linakuja na linaanza kujidhihiri taratibu.

Mfano, Mikoa ya Singida, Mtwara, Morogoro, Lindi, Ruvuma, Tanga, Shinyanga, Manyara,Rukwa, Pwani, Dodoma hizo ni ngome kubwa za CCM. Kwamba CCM inaweza isifanye kampeni na bado ikashinda.

Mikoa ya Mara, Mwanza, Kilimanjaro, Mbeya, Arusha, Kagera,Kigoma hii ni ngome ya wapinzani. Kwamba pamoja na CCM kuwa na wabunge au kura nyingi za urais hakuna uhakika wa kushinda na inaonekana kuw tishio kubwa.

Mikoa ya Ruvuma, Iringa, Dar es Salaam, Shinyanga haitabiriki (swing )

Kitu kimoja cha kukumbuka ni kuwa japo CCM ina mikoa mingi sana, kwa sasa wanakabiliwa na tishio kubwa kwasababu ya ubora. Ninamaana kuwa wao wana quantity lakini si quality.

Wapinzani wana quality na si quantity. Kwanini nasema haya? Ushawishi wa eneo kama la Tarime mkoa wa Mara umewasaidia sana wapinzani kujitambua kuwa wanaweza kusimama eneo lolote. Ushawishi wa mkoa kama wa Mwanza, Arusha , Mbeya na Kilimanjaro ni mkubwa sana katika siasa za nchi yetu.
Sehemu kama Dar imepoteza sana ushawishi wa siasa za nchi na kadri siku zinavyosonga mbele kulinganisha na mikoa niliyoitaja.

Eneo kama Arusha ni 'hot spot' na kwa bahati nzuri au mbaya wapinzani wanaonekana kuwa na nguvu sana.
Tayari Kilimanjaro imeshatekwa na sasa ni Arusha. Hili ndilo linapelekea CCM kutumia nguvu nyingi sana eneo kama Arumeru. Wanafahamu wazi kuwa Arusha ikiangukia tena mikononi mwa wapinzani mkoa mzima 'utapotea' na kuleta madhara

Jimbo la Karatu ni wapinzani, Arusha mijini ni wapinzani na Hanang ipo matatani sana. Kupoteza Arumeru mashariki ni kukaribisha kilio Arumeru magharibi. Monduli haitakuwa mbali.

Nguvu ya kisiasa ya mkoa wa Arusha itaweza kuambukiza mikoa ya Manyara na Singida kwa ujumla. Huu ni mfano wa Mbeya ilivyoweza kuibadilisha Iringa(mtoto mtiifu wa CCM). Ni kwa mukatadha huo uchaguzi wa kesho utatawaliwa na nguvu isiyo ya kawaida kutoka CCM na serikalini kwa ujumla.

Endapo Chadema itashinda basi ushindi huo ni lazima uwe katika asilimia 60 na kuendelea ili kuzuia 'manipulation' ya takwimu. Uchaguzi utakapokaribiana sana CCM itashinda.

Ninachosema hapa ni kuwa kuna nguvu ya sanduku la kura na nguvu ya ziada inayoisadia CCM.
Kwasababu za kisiasa nilizoaanisha baadhi, Chadema wakishinda basi ushindi huo utakuwa mkubwa sana katika historia ya chama na utafungua milango mipya ya siasa za nchi yetu.

Tusemezane
 
USHINDI WA CHADEMA ARUMERU, NA UZEMBE WA CHADEMA KISIASA

Tulisema kuwa ili CDM washinde ni lazima washinde kwa kiwango cha juu ili kuzuia nguvu ya serikali isitumike kuisadia CCM
Hakika tofauti ya kura 6000 ni kubwa sana na ilihitaji wizi wa hali ya juu.
Arumeru wanasifa kama ya Tarime, ni wakali wakiamua jambo lao na ulinzi uliwasadia sana.

Ushindi wa CDM ni wa mkakati na hili lazima tuwasifie. Wakati baadhi wakiwa Arusha wengine walikuwa Mwanza, Songea na kwingineko katika chaguzi. Nguvu iliyotumika ni kubwa kule Arumeru na hakika wanastahili pongezi.

Mapungufu yao ni pamoja na kutoweza kupenya vijijini kikamilifu na hili linaweza kuwasumbua sana endapo uchaguzi utakuwa na eneo kubwa. Hata hivyo ushindi wa maeneo ya taasisi na yenye damu changa ni muhimu sana katika nyakati hizi. Nimetaarifiwa na aliyekuwepo huko kuwa vijana walishikana mikono kwenda kupiga kura ikiwa ni ishara nzuri kuwa wameelewa ushindi si mikutano ni kura.

Kwa upande wa CCM hakika hili ni pigo kuu, pigo litakalowaumiza miaka minne ijayo. Kwanza, ni dhahiri chama hicho kimepoteza mvuto hasa kwa rika linalotarajia kupiga kura. Mtoto anayesoma form 2 au 3 ni wazi atakuwa mpiga kura uchaguzi ujao. Zomea zomea si dalili njema hata kidogo. Ikumbukwe kuwa ni vijana wanaoweza kuugeza uchaguzi ukawa 'fashion' na hapo hakutakuwa na kura za vijijini tena.

CCM wana hali ngumu kwa kuupoteza mkoa wa Arusha, na madhara yake sasa yanasambaa. Ninaweza kusema chaguzi yoyote mkoani Arusha kwa siku za karibuni haiwezi kuwasaidia tena CCM. Madhara ya uchaguzi sasa yameambukiza sehemu kama Mwanga na Same, Simanjiro na Manyara. Arumeru ilikuwa ngome kubwa, na kitendo cha kuvunjwa ni hali inayomtisha kila mwana CCM hata kama hakubali hadharani. Kama nilivyosema awali hii ni hot spot na CCM wamepoteza

CCM pia lazima watambue kuwa kizazi cha sasa kina uweledi wa aina fulani. Huwezi kumshawishi mpiga kura mwenye shida na tatizo la ardhi kwa sera za Mheshimiwa Lusinde. Chaguzi nzima CCM imetawaliwa na kusema hovyo hata kufikia mahali pa kujiuliza hivi uzee wa miaka 50 unaisaidaje.

Makundi nayo ni sehemu ya tatizo. mgombea wao alikuwa hakubaliki lakini nguvu ya 'baba mkwe' ikafanya kazi ndani ya vikao vya maamuzi. Baba mkwe mwenye kashfa na aliyepoteza mvuto kutokana na tuhuma za ufisadi na zingine za kuwadhuru wapinzani naye ni sehemu kubwa ya kushindwa.

UZEMBE WA CHADEMA
Uchaguzi hauna maana chama kimehama, au uongozi umevia. Katika zama hizi za Teknolojia mtu anaweza kuishi Tanzania na kufanya kazi uingereza, India au china. Mawasiliano yamerahisishwa sana. Uongozi wa Chadema ulitakiwa uwe na watu wanaounganisha nguvu makao makuu. Hili nimelisema sana lakini CDM hawaonekani kulielewa.

Dr Slaa ni kiongozi siyo chama. Chama ni taasisi inayojitosheleza. Nina matumaini kuwa Chadema kuna viongozi katika maeneo mbali mbali. Inashangaza hata hakuna mwandishi anayeweza kuleta habari ila kwa kutegemea vyombo vya CCM kama TBC. Lakini kinachosikitisha sana ni kuona chama hakina msemaji na kama yupo hana kazi au hajui kazi.

Ni siku zaidi ya Tano tangu wabunge wa CDM washambuliwe kule Mwanza. Hakuna aliyetoa tamko, taarifa au ufafanuzi katika vyombo vya habari. Sababu kubwa ni kuwa uongozi haukuwepo. Haukuwepo kwani ulikuwa kwenye mwezi kusiko na mwasiliano?

Wabunge hao wameonekana hospitali ya Muhimbili kama 'wakiwa' ili hali waliumia katika shughuli za Chama.
Wanachama na manazi wamebaki kusikiliza Polisi watasema nini. Kuna tetesi Polisi wetu kama tuwajuavyo wanataka kuwabadiishia kibao. Watu wanalalamika! Wanalalamika nini wakati uongozi wa CDM haukuwa na 'pre emptive strategy'

Sasa kila mmoja anakimbilia na kuhaha. Hivi hakukuwa na viongozi makao makuu ambao wangepokea maelezo ya viongozi.
Kwa hili la wabunge wa CDM kuumizwa na habari zibaki za kusikia sikia mitaani ni uzembe usio na utetezi.

Huu ni utamuduni wa CDM kuwa wavivu wa kushugulikia masuala yanayowahusu. Kwa hakika ndani ya chama kuna tatizo na huu utamaduni wa kusubiri Slaa au Mbowe kasema nini na si kila kiongozi kuwa na wajibu wake na kufanya kazi kama timu, utawagharimu CDM.

Chama ni taaisisi na inatakiwa kifanye kazi kama taasisi. Huu ni uzembe hata kama utapakwa mafuta na kupuiziwa marashi

Tusemezane
 
UZEMBE WA CHADEMA
Uchaguzi hauna maana chama kimehama, au uongozi umevia. Katika zama hizi za Teknolojia mtu anaweza kuishi Tanzania na kufanya kazi uingereza, India au china. Mawasiliano yamerahisishwa sana. Uongozi wa Chadema ulitakiwa uwe na watu wanaounganisha nguvu makao makuu. Hili nimelisema sana lakini CDM hawaonekani kulielewa.

Dr Slaa ni kiongozi siyo chama. Chama ni taasisi inayojitosheleza. Nina matumaini kuwa Chadema kuna viongozi katika maeneo mbali mbali. Inashangaza hata hakuna mwandishi anayeweza kuleta habari ila kwa kutegemea vyombo vya CCM kama TBC. Lakini kinachosikitisha sana ni kuona chama hakina msemaji na kama yupo hana kazi au hajui kazi.

Ni siku zaidi ya Tano tangu wabunge wa CDM washambuliwe kule Mwanza. Hakuna aliyetoa tamko, taarifa au ufafanuzi katika vyombo vya habari. Sababu kubwa ni kuwa uongozi haukuwepo. Haukuwepo kwani ulikuwa kwenye mwezi kusiko na mwasiliano?

Wabunge hao wameonekana hospitali ya Muhimbili kama 'wakiwa' ili hali waliumia katika shughuli za Chama.
Wanachama na manazi wamebaki kusikiliza Polisi watasema nini. Kuna tetesi Polisi wetu kama tuwajuavyo wanataka kuwabadiishia kibao. Watu wanalalamika! Wanalalamika nini wakati uongozi wa CDM haukuwa na 'pre emptive strategy'

Sasa kila mmoja anakimbilia na kuhaha. Hivi hakukuwa na viongozi makao makuu ambao wangepokea maelezo ya viongozi.
Kwa hili la wabunge wa CDM kuumizwa na habari zibaki za kusikia sikia mitaani ni uzembe usio na utetezi.

Huu ni utamuduni wa CDM kuwa wavivu wa kushugulikia masuala yanayowahusu. Kwa hakika ndani ya chama kuna tatizo na huu utamaduni wa kusubiri Slaa au Mbowe kasema nini na si kila kiongozi kuwa na wajibu wake na kufanya kazi kama timu, utawagharimu CDM.

Chama ni taaisisi na inatakiwa kifanye kazi kama taasisi. Huu ni uzembe hata kama utapakwa mafuta na kupuiziwa marashi

Tusemezane

Hakika huo ndio uzembe na udhaifu mkubwa wa CHADEMA. Chama hakipo makini katika suala la mawasiliano kwa umma.
John Mnyika alipopewa dhamana ya kuongoza kitengo cha mawasiliano, nilisema kwamba analundikiwa majukumu na madaraka. Sasa hayo ndiyo yanajidhibitisha na kujionyesha dhahiri; haiwezekani wabunge wa chama, wajeruhiwe, halafu chama (kupitia kwa msemaji wake) kisitoe habari yoyote kwa umma!!

Hivi wabunge wanajisikiaje sasa?! Wanajiona kama yatima wasio na wazazi!! Hata katika tovuti yao, hakuna habari yoyote kuhusu wabunge hao!! Habari yao mpya ni ya tarehe 28/2/2012!!

Kwa chama kikuu cha upinzani, chama kinachoweza kushika dola katika miaka ya hivi karibuni, kinapaswa kiendeshee mambo yake kisasa. Na ikizingatiwa kwamba, vijana ndiyo wengi wa wanachama na wapenzi wa chama hicho, mawasiliano kwa umma (kwa kutumia njia mbalimbali mf. tovuti n.k.) ni jambo la lazima.

Sasa sijui chama kinataka kiambiwaje?!!

M4C ni mwanco mzuri; sasa pesa zinazopatikana katika movement hiyo, ni vyema chama kikafikiri namna gani ya kuboresha mawasiliano yake kwa umma. Wadau mbalimbali, tumekuwa tukikishauri chama kuanzisha hata kituo cha radio, njia ambayo raia wengi wataweza kupata habari za chama.

Tafadhali viongozi wa chama zingatieni haya. CHADEMA ni chama kikubwa sasa hapa nchini, hivyo fanyeni mambo kama chama kikubwa sasa.
 
Mkuu "Hapo Vipi!!!"

Kwa kweli huwa napata shida kwa thread yenye hukumu tayari. Naelewa nia yako ya unayemuhukumu kuwa ni mzembe kuwa unataka akidhi mahitaji na matakwa ya jamii ambayo ni mkusanyiko wa watu wa kila aina.

Umejitahidi kutenganisha individuals na taasisi bila kuficha frustration zako.

Najua uliisoma ile Tuntemeke and CO. Ningependa kwa sasa uijumuishe kwenye hukumu zako

Suala la mawasiliano kwa umma nakushauri ingia kwenye mtandao halafu utafute "effective public communication". Nadhani utajua mambo fulani kuwa publiC statement zinahitaji zijitosheleze kwa kuwa logical. Umesikia taasisi mbumbumbu zikikanusha na kuacha maswali kuhusu kuchangwa mapanga wabunge wa CDM Mwanza; huo ni upungufu mkubwa ni bora kutoa tamko lililojaa na kusheni ukweli lislo na maswali na lenye kutoa mustakabali.

Nina hakika unamkumbuka marehemu Mbwana kule Igunga. Hadi leo hakuna tamko la hatima yake si kwa CDM au polisi. Maana yake ni kuwa mfumo mzima umeoza siyo wazi na kuna uwezekano wa vitisho kuficha ficha mambo fulani.

Yote kwa yote hadi sasa nina matumaini muda muafaka na taarifa iliyojisheheni itatolewa na hapo ndipo tutatoa hukumu.

Uzoefu wangu ni kuwa hapa duniani utaratibu ni kuwa taarifa unazozipata ni kuwa mwenye taarifa amejiridhisha it is for consumption.

Au unataka WIKILEAKS?
 
Mkuu "Hapo Vipi!!!"

Kwa kweli huwa napata shida kwa thread yenye hukumu tayari. Naelewa nia yako ya unayemuhukumu kuwa ni mzembe kuwa unataka akidhi mahitaji na matakwa ya jamii ambayo ni mkusanyiko wa watu wa kila aina.

Umejitahidi kutenganisha individuals na taasisi bila kuficha frustration zako.

Najua uliisoma ile Tuntemeke and CO. Ningependa kwa sasa uijumuishe kwenye hukumu zako

Suala la mawasiliano kwa umma nakushauri ingia kwenye mtandao halafu utafute "effective public communication". Nadhani utajua mambo fulani kuwa publiC statement zinahitaji zijitosheleze kwa kuwa logical. Umesikia taasisi mbumbumbu zikikanusha na kuacha maswali kuhusu kuchangwa mapanga wabunge wa CDM Mwanza; huo ni upungufu mkubwa ni bora kutoa tamko lililojaa na kusheni ukweli lislo na maswali na lenye kutoa mustakabali.

Nina hakika unamkumbuka marehemu Mbwana kule Igunga. Hadi leo hakuna tamko la hatima yake si kwa CDM au polisi. Maana yake ni kuwa mfumo mzima umeoza siyo wazi na kuna uwezekano wa vitisho kuficha ficha mambo fulani.

Yote kwa yote hadi sasa nina matumaini muda muafaka na taarifa iliyojisheheni itatolewa na hapo ndipo tutatoa hukumu.

Uzoefu wangu ni kuwa hapa duniani utaratibu ni kuwa taarifa unazozipata ni kuwa mwenye taarifa amejiridhisha it is for consumption. Au unataka WIKILEAKS?
Ahsante mkuu Nzi na Mimi baba.
Nakubaliana nawe kabisa kuwa kuna 'element' za frustration. Siku zote napenda kuona vyama vikistawi na kukuza demokrasia. Kama umefuatilia sana mwenendo wa chama kikuu cha upinzani CDM, siyo siri kuwa yapo mengi sana yanayozua maswali kuliko majibu. Wamekuwa wakijibu tuhuma na si kujieleza. Kitengo chao cha mawasiliano ni hafifu sana na sijui kama kinafanya kazi ya 'communication' kama ulivyoiweka.

Suala la wabunge, sikuwa na maana watoe hukumu yao bila chunguzi, la hasha! Wangeweza kusema Wabunge waliokuwa katika kampeni wameumia bila kutaja sababu. Hilo tu lilipaswa kufanya mawasiliano na umma.
Mathalan, wangetoa taarifa ya kuumia kwa wabunge wao na kauli ndogo tu, tunaendelea kufuatilia wananchi wangewaelewa japo kwa uchache. Hilo halikutokea tunalisoma katika mitandao.

Wamehamishiwa Muhimbili, nalo tunalisoma soma tu katika vijarida.
Kinachosikitisha sana ni pale Polisi wanapotoa taarifa(tunajua Polisi wetu) halafu watu waka-react bila kupata upande wa pili wa shilingi ambao ni CDM ima kwa kukubali au kukataa.
Kama hakukuwa na sababu ya kutoa kauli kwasababu uchunguzi unaendelea basi watu wakae kimya na kumeza kauli za polisi hadi hapo CDM watakapokuja na uchunguzi wao. Kwa jinsi ilivyo sasa Wabunge wale wanatuhumiwa kwa uhalifu

Polisi wanatumia udhaifu wa CDM kutoa habari wanazotaka. Hapa naomba kuwa biased kwasababu Polisi wetu chini ya IGP mwema, DCI Manumba na PP Felisha ni watumishi wa CCM. Wote wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM ambaye ni Rais. Laiti kungekuwa na kauli za awali kuwa 'alert' ingetosha kabisa kuzuia upotoshaji.

Ni mara nyingi tu imetokea jambo ndani ya CDM, basi litawachangaya manazi, wapenzi na wanachama na hatima ya yote utasikia 'Dr Slaa hebu sema'. Hata mambo ambayo Dr hapaswi kuyasema hakuna mtu anayeweza kusimama na kuyaongelea.Kila mara yupo kutetea CDM na kuna wakati anajitetea hata kama viongozi wenzake wapo ambao walipaswa kumsaidia. Ndiyo maana imani ya watu imekuwa kwa Dr kwasababu hakuna mtu mwingine anayedhaniwa kuwa 'trusted' na kauli. Huu ni udhaifu mkubwa sana ambao mimi ninauweka wazi hata kama utaudhi au kuuma.

Hii inaashiria tatizo kubwa ambalo hatulioni na ipo siku litajitokeza. Litakisambaratisha Chama.
Mfano mzuri ni CUF ya Seif ambayo sasa inafutika. Tumeyaona NCCR ya Mrema pia.
Mwenendo ulikuwa huo huo kuwa chama hakifanyi kazi kama taasisi bali kuwa 'assembly of personalities'.

Siyaandiki haya kwa kuangalia tukio moja, nina mlolongo wa matukio na mengine nimeyaandika wazi. Chadema kama chama cha upinzani nchini kinatakiwa kiimarishe mwasiliano na umma, kiwe na watendaji wenye uwezo na kifanye kazi kama taasisi mbadala au inayojiandaa kutwaa dola.
Kitengo chao cha mawasiliano bado kipo chini ya kiwango. Lakini kubwa zaidi kuna tatizo!

Tusemezane
 
Back
Top Bottom