Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,337
- 31,163
- Thread starter
- #101
Ben nadhani reform ys UN haitahusu kuondoa Veto. Marekani inajua kuwa bullying ni matokeo ya kuwa na Veto na kuiondoa ni kuinyima 'Marekani haki ya kuongoza''.
Expansion ya UN security council nayo naiona ina matatizo. Tunaowategemea ni wanachama wa BRICS kama India, Brazili n.k. Mhindi hawezi kusimama na kusema this is right or this is wrong! Hapo tu tunaona tatizo.
Labda Brazili lakini nao pia wataweza kusimama katika ukweli katika masuala kama ya Israel-Palestine conflicts?
Kumbuka kuwa Brazil ndiyo nchi yenye wafuasi wa Roman Catholics kwa wingi sana duniani kama sijaskosea. Sasa inapofikia masuala ya mideast sidhani kama kutakuwa na matokeo tofauti na sasa.
EU ni wajomba wa US lakini ukweli unabaki kuwa sasa wameonyesha kuchoshwa sana na ubabe wa Israel. Mwaka jana waliazimia hata kuitenga katika biashara kwa kile Tonny anachosema kuwa wao ni kikwazo cha mazungumzo mashariki ya kati. Kilichoudhi zaidi ni pale waisrael walipotumia 'ugaidi' wa kuiba Passport za nchi za EU na Australia kufanya mauaji ya kiongozi wa Hamas kule Dubai.
Uhusiano wa EU na Israel si strong kama ulivyokuwa awali umebaki kuwa traditional tie with lose strings and holes everywehere.
Nchi za kusini zimeshindwa katika south south relation kwasababu ya uchoyo, ubinafsi na ujinga ndani yake.
Fikiria hapa nyumbani utaona tuna safari ndefu sana. Wakati EU wanaleta nguvu pamoja sisi tunabaki kudanganya kuwa ukishapata mafuta basi hutahitaji muungano tena (Zanzibar). Sasa panua wigo wa ufikiri za ZNZ uhusishe na nchi zote za Africa na south of Sahara desert utaona ni umimi tu. Tunahitaji kutawaliwa kwa miaka zaidi hadi tutakapokuwa na akili.
Kuhus Afrika kuwa na kiti UNSC hilo napinga sana. UNSC inasababu na malengo, Afrika tunatakiwa kwanza tuhakikishe usalama wa chakula, tuweze kumudu vurugu za bara letu kabla hatujaomba nafasi ya kushughulikia matatizo ya dunia.
Sasa hivi nusu ya matatizo ya duni ni Afrka.
Nimeangalia ripoti ya IMF kuhusu uchumi, inaonyesha uchumi wa china utakuwa na -0.3 growth, Europe -0.2, US .0.3 na kwingineko. Afrika inatajwa by the way tu. Sasa kwanini Afrika ipewe nguvu isiyostahili. Tunapaswa kwanza tusimamie rasilimali zetu, tuinue hali za maisha za watu wetu ndipo tufikiri kiti UNSC.
Expansion ya UN security council nayo naiona ina matatizo. Tunaowategemea ni wanachama wa BRICS kama India, Brazili n.k. Mhindi hawezi kusimama na kusema this is right or this is wrong! Hapo tu tunaona tatizo.
Labda Brazili lakini nao pia wataweza kusimama katika ukweli katika masuala kama ya Israel-Palestine conflicts?
Kumbuka kuwa Brazil ndiyo nchi yenye wafuasi wa Roman Catholics kwa wingi sana duniani kama sijaskosea. Sasa inapofikia masuala ya mideast sidhani kama kutakuwa na matokeo tofauti na sasa.
EU ni wajomba wa US lakini ukweli unabaki kuwa sasa wameonyesha kuchoshwa sana na ubabe wa Israel. Mwaka jana waliazimia hata kuitenga katika biashara kwa kile Tonny anachosema kuwa wao ni kikwazo cha mazungumzo mashariki ya kati. Kilichoudhi zaidi ni pale waisrael walipotumia 'ugaidi' wa kuiba Passport za nchi za EU na Australia kufanya mauaji ya kiongozi wa Hamas kule Dubai.
Uhusiano wa EU na Israel si strong kama ulivyokuwa awali umebaki kuwa traditional tie with lose strings and holes everywehere.
Nchi za kusini zimeshindwa katika south south relation kwasababu ya uchoyo, ubinafsi na ujinga ndani yake.
Fikiria hapa nyumbani utaona tuna safari ndefu sana. Wakati EU wanaleta nguvu pamoja sisi tunabaki kudanganya kuwa ukishapata mafuta basi hutahitaji muungano tena (Zanzibar). Sasa panua wigo wa ufikiri za ZNZ uhusishe na nchi zote za Africa na south of Sahara desert utaona ni umimi tu. Tunahitaji kutawaliwa kwa miaka zaidi hadi tutakapokuwa na akili.
Kuhus Afrika kuwa na kiti UNSC hilo napinga sana. UNSC inasababu na malengo, Afrika tunatakiwa kwanza tuhakikishe usalama wa chakula, tuweze kumudu vurugu za bara letu kabla hatujaomba nafasi ya kushughulikia matatizo ya dunia.
Sasa hivi nusu ya matatizo ya duni ni Afrka.
Nimeangalia ripoti ya IMF kuhusu uchumi, inaonyesha uchumi wa china utakuwa na -0.3 growth, Europe -0.2, US .0.3 na kwingineko. Afrika inatajwa by the way tu. Sasa kwanini Afrika ipewe nguvu isiyostahili. Tunapaswa kwanza tusimamie rasilimali zetu, tuinue hali za maisha za watu wetu ndipo tufikiri kiti UNSC.