Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,390
- 31,338
- Thread starter
- #81
HOJA MBILI KUU ZA WIKI HII
ZUIO LA WIZARA YA MAMBO YA NJE KWA MABALOZI
RAIS NA UFUNGUZI WA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA
Tuanze kusema Watanzania wana tatizo la kupambanu kati ya criticism na critic.
Haya maneno yanaonekana sawa kwa maana ingawa ni tofauti.
Kutathmini, kupinga, kukejeli, kudhihaki na kukashifu ni mambo tofauti
Tumejenga utaratibu wa kutoangalia mambo kutoka kona tofauti
Tumekuwa taifa la kumeza tu , na kwasababu hiyo siku zote tunashtukizwa na vitu vilivyohitaji fikra kidogo
Tunapozungumzia uongozi au kiongozi kwa ubaya au uzuri lengo linabaki moja, kujenga taifa na kupanua fikra
WIZARA YA MAMBO YA NJE
Imetoa kauli mabalozi wanadiplomasia kutokutana au kushiriki shughuli bila taarifa kwa wizara ya mambo ya nje. Kwa maneno mengi serikali ijue kila nyendo ya mwanadiplomasia
Yes, kiusalama inaweza onekana ni muafaka, ingawa haiwezi kuwa katika hali iliyoelezwa na wizara
Mataifa hufanya ujajsusi kwa minajili ya usalama yakitumia vitengo bila kukinzana na haki ya mwanadiplomasia
Tanganzo limewashtua wanadiplomasia ambao weledi wa kwanza ni kujua taratibu za kidiplomasia.
Wameshtuka kauli imekuja kukiwa na tuhuma za ubalozi mmoja kuwasiliana na vyama vya siasa
Kwa namna yoyote kauli ya wizara imelenga ''kuzuia'' mawasiliano ya wanadiplomasia na wanasiasa.
Sababu iliyotolewa ni uchanga wa wanasiasa, serikali hofu kama wanajua taratibu za kidiplomasia
Tangazo limezuia wanadplomasia kwenda mikoani au kwingine hata kwa kazi zinazohusu diplomasia
Hapa kuna tatizo. Kwanza, kauli inazidi kutia shaka kwa namna ilivyoletwa na wakati ilipotolewa
Kwa mantiki hiyo, serikali inazidi kuwapa 'habari' watu wa nje kwa kudadisi kwa undani.
Lakini pia serikali inashindwa kuelewa wanadiplomasia wanaweza kukutana na watu nje ya nchi
Pili, nchi yetu inaishi kwa ufadhili , misaada n.k. Kuweka vizuizi kutaumiza wananchi bila sababsababu
Wanadiplomasia wakiona usumbufu katika shughuli zsisizohusiana na siasa wataweza kaa pembeni
Na tatu, hivi kwanini tunafanya mambo kwa 'matukio' na si utaratibu
Hatuna utaratibu unaoongoza shughuli za zetu zikiwemo za wanadiplomasia nchi.
Laiti ungekuwepo, serikali ingeshatoa tangazo mapena pale Katibu mwenezi na katibu mkuu wa CCM waliposimama jukwaani na balozi wa china akiwa na mavazi ya kisiasa kama mwanadiplomasia
Leo nini kimebadilika hadi kauli kama hizi?
Na je, masuala ya kisiasa na migogoro inatatuliwa kwa njia kama hizi?
Hii inaweza kuwa suluhu ya matatizo yetu?
Kwanini tunatafuta suluhu kwa kufunika ''uchafu chini ya kapet'' i?
Inaendele ....Hotuba ya Rais sherehe za mahakama
ZUIO LA WIZARA YA MAMBO YA NJE KWA MABALOZI
RAIS NA UFUNGUZI WA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA
Tuanze kusema Watanzania wana tatizo la kupambanu kati ya criticism na critic.
Haya maneno yanaonekana sawa kwa maana ingawa ni tofauti.
Kutathmini, kupinga, kukejeli, kudhihaki na kukashifu ni mambo tofauti
Tumejenga utaratibu wa kutoangalia mambo kutoka kona tofauti
Tumekuwa taifa la kumeza tu , na kwasababu hiyo siku zote tunashtukizwa na vitu vilivyohitaji fikra kidogo
Tunapozungumzia uongozi au kiongozi kwa ubaya au uzuri lengo linabaki moja, kujenga taifa na kupanua fikra
WIZARA YA MAMBO YA NJE
Imetoa kauli mabalozi wanadiplomasia kutokutana au kushiriki shughuli bila taarifa kwa wizara ya mambo ya nje. Kwa maneno mengi serikali ijue kila nyendo ya mwanadiplomasia
Yes, kiusalama inaweza onekana ni muafaka, ingawa haiwezi kuwa katika hali iliyoelezwa na wizara
Mataifa hufanya ujajsusi kwa minajili ya usalama yakitumia vitengo bila kukinzana na haki ya mwanadiplomasia
Tanganzo limewashtua wanadiplomasia ambao weledi wa kwanza ni kujua taratibu za kidiplomasia.
Wameshtuka kauli imekuja kukiwa na tuhuma za ubalozi mmoja kuwasiliana na vyama vya siasa
Kwa namna yoyote kauli ya wizara imelenga ''kuzuia'' mawasiliano ya wanadiplomasia na wanasiasa.
Sababu iliyotolewa ni uchanga wa wanasiasa, serikali hofu kama wanajua taratibu za kidiplomasia
Tangazo limezuia wanadplomasia kwenda mikoani au kwingine hata kwa kazi zinazohusu diplomasia
Hapa kuna tatizo. Kwanza, kauli inazidi kutia shaka kwa namna ilivyoletwa na wakati ilipotolewa
Kwa mantiki hiyo, serikali inazidi kuwapa 'habari' watu wa nje kwa kudadisi kwa undani.
Lakini pia serikali inashindwa kuelewa wanadiplomasia wanaweza kukutana na watu nje ya nchi
Pili, nchi yetu inaishi kwa ufadhili , misaada n.k. Kuweka vizuizi kutaumiza wananchi bila sababsababu
Wanadiplomasia wakiona usumbufu katika shughuli zsisizohusiana na siasa wataweza kaa pembeni
Na tatu, hivi kwanini tunafanya mambo kwa 'matukio' na si utaratibu
Hatuna utaratibu unaoongoza shughuli za zetu zikiwemo za wanadiplomasia nchi.
Laiti ungekuwepo, serikali ingeshatoa tangazo mapena pale Katibu mwenezi na katibu mkuu wa CCM waliposimama jukwaani na balozi wa china akiwa na mavazi ya kisiasa kama mwanadiplomasia
Leo nini kimebadilika hadi kauli kama hizi?
Na je, masuala ya kisiasa na migogoro inatatuliwa kwa njia kama hizi?
Hii inaweza kuwa suluhu ya matatizo yetu?
Kwanini tunatafuta suluhu kwa kufunika ''uchafu chini ya kapet'' i?
Inaendele ....Hotuba ya Rais sherehe za mahakama