Duru za Siasa: Awamu ya 5 - Uongozi na Yanayojiri



Sidhani kama aliwahi kuwepo CDF aliyetoka kwenye majeshi mengine zaidi ya JWTZ. Kama ndiyo hivyo, kwa mawazo yangu, kusema mfano koplo wa JW ni sawa na wa Magereza kuna changamoto hapo. Msisitizo ulitakiwa kuwa kwenye kuheshimiana na kupendana.Halafu hii hotuba nadhani hakitakiwa kuwa public!!Raia hatukupaswa kuiona hii kitu. Hii inaathiri uaminifu wa wananchi kwa majeshi yetu. Niko tayari kukosolewa kwa maoni yangu haya.
 
[

Sidhani kama aliwahi kuwepo CDF aliyetoka kwenye majeshi mengine zaidi ya JWTZ. Kama ndiyo hivyo, kwa mawazo yangu, kusema mfano koplo wa JW ni sawa na wa Magereza kuna changamoto hapo. Msisitizo ulitakiwa kuwa kwenye kuheshimiana na kupendana.Halafu hii hotuba nadhani hakitakiwa kuwa public!!Raia hatukupaswa kuiona hii kitu. Hii inaathiri uaminifu wa wananchi kwa majeshi yetu. Niko tayari kukosolewa kwa maoni yangu haya.
Mkuu, CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi yanayokusanya majeshi yote.

Kwa uelewa tu ni kama ilivyo katika sekta ya afya kwamba popote, Daktari ndiye anakuwa kiongozi ingawa kuna Nurse, Pharmacist, Lab tech n.k.

Hivyo CDF kwa mafunzo na majukumu ya JWTZ anatoka huko.

Hapa haina maana wengine hawana mafunzo, la hasha, Magereza wana mafunzo yanayowiana na kazi yao kama ilivyo Polisi, Zimamoto n.k. yaani specialized

JW wanaweza kufanya majukumu ya wengine, lakini si kinyume chake

Kuhusu hoja kuwa koplo wa Magereza halingani na wa JW , kinadharia inaonekana hivyo, kikazi si hivyo wote wana hadhi sawa. Tofauti yao ni hiyo niliyokueleza katika makukumu

Kama unadhani koplo wa Magereza hana hadhi sawa na JW, vipi wa JKT?
Utambue kuwa wapo chini ya Amir Jeshi mkuu mmoja na CDF mmoja.
Huiwezekani kuwa na koplo kidogo na koplo saana

Kuhusu namna alivyoongea, nadhani tatizo ni namna anavyofikisha ujumbe na si ujumbe wenyewe
Lugha inabeba mantiki sana katika kufikisha message across the intended audience

Mfano, alipo ongelea matumizi ya wafungwa, ni kweli. Kuna wafungwa wataalam na vibarua.
Magereza wanaweza kujenga nyumba zao kwa gharama ndogo sana kwasababu wana labor
Kama wanajenga kwa maafisa nyumba binafsi, wanashindwaje kuwatumia kujenga nyumba zao?

Lakini message ya 'wamenyeke kweli' inalenga kuwapa askari fursa ya 'abuse' na hilo si sahihi
Kumfunga mtu ni kumchukulia uhuru katika mazingira magumu sana.

Hiyo ni adhabu hahitaji kubebeshwa matofali 10 kichwani ili amenyeke
Lengo la kifungo ni kumrekebisha mtu si kumuumiza.

Hili ni pamoja na kuhakikisha wafungwa mafundi wanatumika iwakitoka kujielewa na pengine kujiajiri

Wafungwa wapo wenye utaalam sana, hawa wangepewa incentive kwasababu ni cheap labor

Likewise, hakupaswa kuonyesha kuna tofauti.
Alipaswa kuonyesha usawa ili kutoleta picha tofauti kwa jamii.
Angeongea nao kama askari tu ilitosha, lakini kuwaweka katika mizani haikuwa sawa

Message yake ilikuwa nzuri tatizo ni lugha inayobeba ujumbe inakuwa na 'ukakasi' na mara nyingi kupoteza maana iliyokusudiwa
 
Mkuu, CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi yanayokusanya majeshi yote.

Kwa uelewa tu ni kama ilivyo katika sekta ya afya kwamba popote, Daktari ndiye anakuwa kiongozi ingawa kuna Nurse, Pharmacist, Lab tech n.k.

Hivyo CDF kwa mafunzo na majukumu ya JWTZ anatoka huko.

Hapa haina maana wengine hawana mafunzo, la hasha, Magereza wana mafunzo yanayowiana na kazi yao kama ilivyo Polisi, Zimamoto n.k. yaani specialized

JW wanaweza kufanya majukumu ya wengine, lakini si kinyume chake

Kuhusu hoja kuwa koplo wa Magereza halingani na wa JW , kinadharia inaonekana hivyo, kikazi si hivyo wote wana hadhi sawa. Tofauti yao ni hiyo niliyokueleza katika makukumu

Kama unadhani koplo wa Magereza hana hadhi sawa na JW, vipi wa JKT?
Utambue kuwa wapo chini ya Amir Jeshi mkuu mmoja na CDF mmoja.
Huiwezekani kuwa na koplo kidogo na koplo saana

Kuhusu namna alivyoongea, nadhani tatizo ni namna anavyofikisha ujumbe na si ujumbe wenyewe
Lugha inabeba mantiki sana katika kufikisha message across the intended audience

Mfano, alipo ongelea matumizi ya wafungwa, ni kweli. Kuna wafungwa wataalam na vibarua.
Magereza wanaweza kujenga nyumba zao kwa gharama ndogo sana kwasababu wana labor
Kama wanajenga kwa maafisa nyumba binafsi, wanashindwaje kuwatumia kujenga nyumba zao?

Lakini message ya 'wamenyeke kweli' inalenga kuwapa askari fursa ya 'abuse' na hilo si sahihi
Kumfunga mtu ni kumchukulia uhuru katika mazingira magumu sana.

Hiyo ni adhabu hahitaji kubebeshwa matofali 10 kichwani ili amenyeke
Lengo la kifungo ni kumrekebisha mtu si kumuumiza.

Hili ni pamoja na kuhakikisha wafungwa mafundi wanatumika iwakitoka kujielewa na pengine kujiajiri

Wafungwa wapo wenye utaalam sana, hawa wangepewa incentive kwasababu ni cheap labor

Likewise, hakupaswa kuonyesha kuna tofauti.
Alipaswa kuonyesha usawa ili kutoleta picha tofauti kwa jamii.
Angeongea nao kama askari tu ilitosha, lakini kuwaweka katika mizani haikuwa sawa

Message yake ilikuwa nzuri tatizo ni lugha inayobeba ujumbe inakuwa na 'ukakasi' na mara nyingi kupoteza maana iliyokusudiwa
Mkuu CDF ni Mkuu wa majeshi yote ya ulinzi. Katika majeshi hayo sio polisi wala magereza bali ni majeshi yote ya JWTZ.

Kumbuka kwamba ktk JWTZ kuna majeshi Manne ambayo ni Jeshi la Anga, jeshi la ardhi, jeshi la majini na JKT.

Tunapozungumzia JKT sio kwamba ni jeshi jingine tofauti na JW. JKT ni kitengo cha JW ambayo inaendesha mafunzo ya kijeshi na ukakamavu kwa ajili ya vijana ambao wanaweza kutumika katika majeshi mengine kama polisi, JW, magereza, uhamiaji na hata mgambo au makampuni ya ulinzi.

Hivyo JKT ni hawa hawa JW, na ndio maana Mkuu wa JKT anaweza teuliwa na Rais kuwa CDF. Au Mkuu wa JKT anaweza toka JW baada ya kupandishwa cheo.
Koplo wa JKT ni sawa na JW kwani wote hupata mafunzo ya Ukoplo sehemu moja.

Mnapo anza mafunzo ya kijeshi ya JW, wote hamjui mtakuww kitengo gani.
Baada ya mafunzo eidha ya uafisa au askari ndipo mnaanza kugawanywa wengine wanaenda JKT, wengine Ardhi, anga na majini.
Huko mnaenda kupata mafunzo mengine ya kijeshi kutokana na nafasi hizo.

Hivyo JKT ni kitengo cha JW kama kitengo kingine cha JW. Na unaposema JWTZ basi jua ni muunganiko wa majeshi hayo manne.

Tofauti ya JW na majeshi kama polisi na magereza ni kwamba JW yeye anafundishwa kuua tu. Hii ndio sababu JW hawawezi tumika kutuliza vurugu za maandamani na kama wakitumika eidha polisi wamezidiwa basi ikitokea wameua huwezi kumshitaki, lakini kwa polisi anaweza shitakiwa.
 
Mkuu CDF ni Mkuu wa majeshi yote. Katika majeshi hayo sio polisi wala magereza bali ni majeshi yote ya JWTZ.

Kumbuka kwamba ktk JWTZ kuna majeshi Manne ambayo ni Jeshi la Anga, jeshi la ardhi, jeshi la majini na JKT.

Tunapozungumzia JKT sio kwamba ni jeshi jingine tofauti na JW. JKT ni kitengo cha JW ambayo inaendesha mafunzo ya kijeshi na ukakamavu kwa ajili ya vijana ambao wanaweza kutumika katika majeshi mengine kama polisi, JW, magereza, uhamiaji na hata mgambo au makampuni ya ulinzi.

Hivyo JKT ni hawa hawa JW, na ndio maana Mkuu wa JKT anaweza teuliwa na Rais kuwa CDF. Au Mkuu wa JKT anaweza toka JW baada ya kupandishwa cheo.
Koplo wa JKT ni sawa na JW kwani wote hupata mafunzo ya Ukoplo sehemu moja.

Mnapo anza mafunzo ya kijeshi ya JW, wote hamjui mtakuww kitengo gani.
Baada ya mafunzo eidha ya uafisa au askari ndipo mnaanza kugawanywa wengine wanaenda JKT, wengine Ardhi, anga na majini.
Huko mnaenda kupata mafunzo mengine ya kijeshi kutokana na nafasi hizo.

Hivyo JKT ni kitengo cha JW kama kitengo kingine cha JW. Na unaposema JWTZ basi jua ni muunganiko wa majeshi hayo manne.

Tofauti ya JW na majeshi kama polisi na magereza ni kwamba JW yeye anafundishwa kuua tu. Hii ndio sababu JW hawawezi tumika kutuliza vurugu za maandamani na kama wakitumika eidha polisi wamezidiwa basi ikitokea wameua huwezi kumshitaki, lakini kwa polisi anaweza shitakiwa.
Ahsante, mkuu naomba nichangie hoja hii kwa mara nyingine

Kama nilivyosemaCDF ni mkuu wa majeshi yote. Hilo halina tatizo

Majeshi tuliyo nayo ni JW, Magereza, Polisi, JKT

JW ina matawi kama Anga(Air force), majini( Navy), na nchi kavu (infantry) at least kwa muundo wa commonwealth na nchi kama US zina utaratibu wao wa kutaja ingawa kwa maana ile ile

Hivyo matawi si jeshi tofauti bali sehemu ya jeshi la wananchi (JW)
Hapa ieleweke tuna JW yenye mgawanyiko wa anga, nchi kavu, majini

Matawi hayo nayo yana matawi. Kwa mfano infantry (nchi kavu) wana tawi la mizinga( artillery), wana miundo mbinu (logistic), na mbinu (tactics) kwa uchache wa kutaja ambayo si majeshi bali matawi ya tawi la infantry linalounda JW likiwa na matawi mengine ya Navy na anga

Pili, kwamba jeshi limefunzwa kuua, hiyo ni sehemu tu ya majukumu yao.

Kama ulivyosema, kuna sheria za nchi zinawasamehe wanapokuwa katika majukumu kwasababu interactions yao na civilians ni limited.

Lakini hoja ya kwamba wamefunzwa kuua ina mapungufu kwa mtazamo mpana.

Kwa wale waliowahi kupitia majeshini mtakubaliana nami kuwa jeshini kama JW kuna nidhamu ya hali ya juu ya majukumu yao,ni kimbilio la Taifa kama ilivyo sehemu zote duniani

Katika dharura ya nchi majeshi huwa tayari kuliko sehemu nyingine yoyote.

Utashangaa daraja linajengwa kwa masaa kama ilivyotokea wakati wa mvua pale msoga.
Kama ilivyokuwa Kagera wakati wa vita.

Katika uokozi wao ni namba moja na kila jambo unalofikiri

Idd Amin alivunja daraja lililoonekana kuwa tayari kujengwa kwa miezi kama si miaka. Guess what, akapokea kichapo huku daraja linajengwa, vifaa vinapita kazi inaendelea

Anga wanafanya yao, navy wapo victoria , infantry wanavusha askari, architect wana design daraja, structural Eng wapo kazini, civil eng wanatenda , madaktari wanatibu majeruhi. watu wa logistic wanaendelea na kazi n.k.
kwa muda mfupi katika mazingira magumu sana, walifanikiwa

Kwa ufupi ikitokea janga sehemu zote duniani, kitengo cha kwanza na mwisho kutumika ni jeshi.

Si kutokana na mafunzo ya 'kuua tu', bali nidhamu na utayari wakiwa na wataalam 'the best'

Hivyo jeshi liangaliwe katika mambo kadhaa, kwanza, lina wataalam waliobobea, pili, lina nidhamu ya utendaji, tatu, lina utayari wa rasilimali na rasilimali watu ambao wameandaliwa vizuri
 
Ahsante, mkuu naomba nichangie hoja hii kwa mara nyingine

Kama nilivyosemaCDF ni mkuu wa majeshi yote. Hilo halina tatizo

Majeshi tuliyo nayo ni JW, Magereza, Polisi, JKT

JW ina matawi kama Anga(Air force), majini( Navy), na nchi kavu (infantry) at least kwa muundo wa commonwealth na nchi kama US zina utaratibu wao wa kutaja ingawa kwa maana ile ile

Hivyo matawi si jeshi tofauti bali sehemu ya jeshi la wananchi (JW)
Hapa ieleweke tuna JW yenye mgawanyiko wa anga, nchi kavu, majini

Matawi hayo nayo yana matawi. Kwa mfano infantry (nchi kavu) wana tawi la mizinga( artillery), wana miundo mbinu (logistic), na mbinu (tactics) kwa uchache wa kutaja ambayo si majeshi bali matawi ya tawi la infantry linalounda JW likiwa na matawi mengine ya Navy na anga

Pili, kwamba jeshi limefunzwa kuua, hiyo ni sehemu tu ya majukumu yao.

Kama ulivyosema, kuna sheria za nchi zinawasamehe wanapokuwa katika majukumu kwasababu interactions yao na civilians ni limited.

Lakini hoja ya kwamba wamefunzwa kuua ina mapungufu kwa mtazamo mpana.

Kwa wale waliowahi kupitia majeshini mtakubaliana nami kuwa jeshini kama JW kuna nidhamu ya hali ya juu ya majukumu yao,ni kimbilio la Taifa kama ilivyo sehemu zote duniani

Katika dharura ya nchi majeshi huwa tayari kuliko sehemu nyingine yoyote.

Utashangaa daraja linajengwa kwa masaa kama ilivyotokea wakati wa mvua pale msoga.
Kama ilivyokuwa Kagera wakati wa vita.

Katika uokozi wao ni namba moja na kila jambo unalofikiri

Idd Amin alivunja daraja lililoonekana kuwa tayari kujengwa kwa miezi kama si miaka. Guess what, akapokea kichapo huku daraja linajengwa, vifaa vinapita kazi inaendelea

Anga wanafanya yao, navy wapo victoria , infantry wanavusha askari, architect wana design daraja, structural Eng wapo kazini, civil eng wanatenda , madaktari wanatibu majeruhi. watu wa logistic wanaendelea na kazi n.k.
kwa muda mfupi katika mazingira magumu sana, walifanikiwa

Kwa ufupi ikitokea janga sehemu zote duniani, kitengo cha kwanza na mwisho kutumika ni jeshi.

Si kutokana na mafunzo ya 'kuua tu', bali nidhamu na utayari wakiwa na wataalam 'the best'

Hivyo jeshi liangaliwe katika mambo kadhaa, kwanza, lina wataalam waliobobea, pili, lina nidhamu ya utendaji, tatu, lina utayari wa rasilimali na rasilimali watu ambao wameandaliwa vizuri
Mkuu Nguruvi3
Tunapozungumzia CDF tunamaanisha Chief of defence Forces katika Tanzania People defence forces.(Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania).

Jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania ndio hili tunaita kwa kifupi JW.
Jeshi letu lina muundo kama ambao kidogo unafanana na uingereza.
Katika jeshi la marekani wao hawana kiongozi wa kijeshi mkuu zaidi ya majeshi yote bali kila jeshi lina General wake. Hapa namaanisha kwamba Navy, air force na army wana General wao. Na katika majeshi hayo yanajitegemea kiuendeshaji na kutoa mafunzo.

Katika jeshi letu hapa tuna General mmoja ambaye anaongoza majeshi yote manne. Hivyo tunaposema majeshi ya ulinzi hatumaanushi Polisi, magereza, uhamiaji bali ni JKT, jeshi la anga, jeshi la maji na ardhi. Na viongozi wakuu wa majeshi haya manne huwa na cheo cha kuanzia Brigedia au major jererali na huripoti kwa CDF na CDF ndie huripoti moja kwa moja kwa Rais.
Hivyo CDF ndie mkuu wa majeshi hayo Manne na wala ahusiki polisi, magereza n.k

Sasa tukija kuangalia Mkuu wa Majeshi yote yaani JW, polisi na magereza hapa ndipo anakuwa Rais wa nchi (Commander in chief).

Rais ndie mkuu wa majeshi yote yaani JW, polisi, magereza, uhamiaji na zima moto.
Hivyo CDF hausiki katika uendeshaji ktk polisi wala magereza na wala hana amri yoyote kule.

Hivyo JKT, navy, army na airforce ni Majeshi ya ulinzi ambayo kwapamoja huunda JW. Na ndio maana viongozi wao huteuliwa na Rais na sio CDF. Hii haionekani wazi lkn nchi km marekani haya ni majeshi kamili yanaojitegemea na Mageneral wao wanavyeo sawa ila hapa kwetu huongozwa na General mmoja.
 
Mkuu General Mangi kuna point ndogo sana ya 'contention' baina yetu

Kama umenisoma vema mfumo wetu ni model ya commonwealth
Mfumo wa Marekani una utofauti katika mpangilio

Kwa mfano, Marekani kuna joint chief of staff, huyu ni kiongozi wa chief of staff wa majeshi husika na ndiyo maana kuna neno joint. Hili sina tatizo nalo

Kwa Tanzania kuna vitu viwili vya kutofautisha

Kuna Amri Jeshi mkuu ambaye ni Rais wa Majeshi ya Ulinzi na usalama

Halafu kuna CDF ambaye ni mkuu wa majeshi ya ulinzi.
Tazama ukubwa wa maneno 'ulinzi na usalama'

Amir Jeshi atakapohitaji majeshi yote atayaita majeshi ya ulinzi na usalama.

Majeshi ya ulinzi na usalama yanapokuwa katika 'mission' moja, mkuu wake ni CDF. Ndivyo ilivyokuwa katika vita vya Kagera.

Unachosema kuhusu CDF kutokuwa na kauli na majeshi ya Polisi na Magereza ni sahihi, lakini logically haipo hivyo.

Jeshi likihitajika mtaani linawajibika kwa CDF siyo mwingine.
Umeona kitu hapo?

Kwanini nakuambia Navy, air force, Infantry,JKT ni sehemu ya JW?
Hata kama zina wakuu wake, kuna Chief of staff mmoja tu! Think about that

Kwanini wakuu wa 'matawi' wanateuliwa na Amir jeshi mkuu?

Ni swali technical nisingependa kujadili zaidi kama utanielewa

Nikuache na kionjo tu, Rais Moi wa Kenya alinusurika jaribio la mapinduzi kwa kurudishwa na kikosi cha anga cha Nanyuki.
 
Mwezi mmoja uliopita tuliongelea kuhusu stability, integrity n.k. katika mabandiko 2 hapo chini.

Tunayaweka tena baada ya sakata la Dangote

Tutajadili zaidi

POLITICAL STABILITY OR INSTABILITY

KAMA TAIFA TUMESIMAMA WAPI KISERA?

Tuongelee dhana ndogo sana ya kile kinachoitwa Political stability.
Dhana imechukuliwa kiurahisi kama kutokuwa na vurugu, migomo au tafrani.

Imekuwa ni rahisi viongozi kusema taifa letu lina political stability. Pengine ni kweli

Kuna kitu kinachoitwa integrity ambacho ni sehemu muhimu ya stability.

Integrity inaelezwa ni kuaminiwa kwa kile nchi au serikali inachosimamia

Integrity inaeleza tunasimiaje thamani zatu (values).

Na values hulindwa na sera(policy) tulizojiwekea. Ndiyo maana sote bila kujali itikadi zetu tunaamini binadamu wote ni sawa na wanastahili utu na heshima.

Ni kwa msingi huo, serikali yetu iliamini katika sera ya usawa, utu na heshima
Ilichukua misimamo kadhaa mingine michungu katika kulinda values zetu kama Taifa

Tulikuwa wananchama wa nchi zisizofungamana na upande wowote(NAM) ili kuwa huru kuunga mkono eneo lolote linalosimamia thamani zetu za uhuru, usawa, utu na heshima.

Tuliunga mkono harakati za ukombozi kusini hadi Magharibi. Palestina, Nigeria na kwingeneko ambapo wananchi walisimamia haki zao zinazolingana na thamani zetu

Taifa letu lilikuwa na sera bila kujali nani ataongoza kutoka wapi

Miaka ya karibuni sera za Taifa zimegeuka kuwa za vyama na kutuyumbisha
Hivi leo tuna sera ipi kuhusu uhuru, usawa, utu na heshima ya mwanadamu?

Ziara ya mfalme wa Morocco inatuweka wapi tukiiingalia Sahara , Plestina na kwingine kwenye madhila yanayofanana na hayo yayonakinzana na values zetu?

Je, bado tuna integrity katika jumuiya ya kimataifa?
Na je integrity yetu inaeleza nini kuhusu policy zetu kama Taifa na stability yetu?

Integrity yetu haiishia katika eneo hilo la Kimataifa. Hata katika local level upo wasi wasi

Awamu ya nne ilisimama kuhakikisha Watanzania popote walipo wanatoa mchango kwa Taifa.
Na kwamba uwepo wao nje iwe sehemu ya mafanikio na si usaliti.

Hilo ndilo liliunda 'idara' ya diaspora ili kuhakikisha wanachangia maendeleo ya nchi waliko

Tangazo la serikali kuhusu umilikiwa ardhi kwa diaspora limekuja na vishindo.
Kwanza, serikali ya chama kile kile haina sera na wala haiminiki. Pili kama nchi hatuna sera za Taifa

Mifano miwili awali inaeleza integrity ya serikali. Kwa mwekezaji au wawekezaji tunaowakaribisha, mifano ni mingi inatosha kuwaeleza political stability ya nchi yetu

Investors hawapendi mashaka 'uncertainty' na hali ilivyo, hata wazawa wanaona uncertainty nyingi kimataifa hadi kitaifa.

Mwekezaji ana kila sababu ya kuogopa!

Tusijidanganye kwa kauli mbiu ya political stability, tujiulize tuna integrity?
Tuna sera kama nchi?


HATUNA SERA ZA NCHI, TUNAZO SERA ZA 'WATU'

Bandiko la juu tumezungumzia political stability/instability na athari za taswira ya nchi zetu

Mataifa yaliyoendelea zipo sera za nchi, na za vyama hotofautiana utekelezaji

Kwa bahati mbaya hata sera za vyama wananchi wetu hawawezi kuzihoji
Hii imepeleka mabadiliko ya kila mara ya sera kutokana na watu na si wananchi

Hali inachanganya wananchi au wageni, inatia hasara zisizo na ulazima

Kwa mfano, suala la katiba

Hili lilikuwa takwa la wananchi lililofanywa sera za wapinzani.
Lengo lilikuwa kuboresha katiba yetu kwa kulingana na nyakati tulizo nao

Hoja ya katiba 'ikatekwa' na Rais kwa kuanzisha machakato si wananchi

Ikawa tena si ya wananchi bali takwa la kiongozi aliyekuwa madarakani

Kwa kukosa muafaka, na hoja kuporwa kutoka kwa wananchi , katiba ikawa suala la kikundi cha watu kikitaka kuamua kwa niaba ya Taifa. Tulifeli

Pesa kwa mabilioni zilitumika bila matokeo chanya.
Katika uchaguzi mkuu, katiba haikuzungumziwa kwasababu ilionekana mtego

Tusemezane
 
Duru wiki hii

Baada ya Dangote
Mili mto Ruvu na kauli ya waziri
Kauli ya Lisu na Chadema
Na sasa kukamatwa kwa mwanzilishi JF

Hekima, Busara. hasara na madhara ! Tumefikaje na nini taswira yetu kwa nchi na dunia?

Tathmini na tafakuri ya kina inafuata!
 
Ndugu yangu Nguruvi,

Pamoja na mema yote kuhusu haki na fursa ya Watanzania waishio nje ya Nchi... aka Diaspora kuhusu umiliki wa Mali na hasa ardhi, bado Mtanzania wa Maneromango hana uhakika wa ardhi yake...
Mkuu hapa ndipo tatizo linapoonekana zaidi. Nilitegemea waziri angeanza na hilo la Mwaneromango, badala yake kaanza na diaspora. Hatuna dira au sera za kitaifa kila mtu anakuja na lake akiondoka mwingine anakuja jingine. Ndiyo yale ya elimu kwa wote, Kilimo kwanza na sasa viwanda ndani ya miaka 10
 
WIKI NA MWEZI WENYE UTATA

Hekima kwa tafsiri rahisi ni namna mwanadamu anavyokiri , pembua na uyakinifu
Busara ni namna utekelezaji wa hekma utakavyofanyika, semwa au tendwa

Mwezi huu umekuwa na mambo mengi ya utata yenye mapungufu ya hekima na busara

1. Dangote : Baada ya kutangazwa kufungwa kiwanda, ilitokea sintofahamu

Mawaziri wakilieza tukio kwa hoja tofauti hata kufikia mahali pa kulikoleza
Dangote akaja kuonana na Rais na ilibainika sababu za awali hazikuwa za kweli

Kwa muda wote habari zilinea duniani na kuathiri taswira ya nchi kwa wawekezaji

Viongozi na mawaziri hawakuona hekma ya kulizungumzia jambo hilo kwa busara?
Hawakuona hekma ya kukaa pamoja kama timu na kutafuta 'common ground'

Alichokifanya Mh Rais ni kuzuia uharibifu usiendelee ingawa umeshatokea

Haya ni kwasababu mawaziri hawakuwa na hekma ya kutazama ukubwa wa jambo

Hawakuwa na busara wakati wanaongea tofauti na kuchanganyana mbele ya umma

2. Miili ya watu 7: Hii imeokotwa na taarifa za awali mitandaoni

Waziri wa Mambo ya ndani akatoa kauli, miili hiyo ni ya wahamiaji
Waziri hakueleza ni raia wa nchi gani, waliwatambuaje , na kwanini walifariki

Hakueleza uchunguzi wa kitaalamu ulionyesha nini na kwanini walizikwa haraka

Waziri hakuona hekma ya alichotaka kuongea
Alipoongea hakujibu hoja kwasababu ya mapungufu ya busara

Hakuna sheria za nchi zinazoeleza mauaji yanafanyiwa uchunguzi kwa raia gani.
Ni upungufu wa busara kudhani wahamiaji haramu ni wanadamu pungufu.

Tanzania ilihifadhi wahamiaji na wakimbizi milioni 2
watu 7 wanakufa na waziri anazungumza bila kujali utu wa mwanadamu

Upungufu wa busara zaidi ni vyombo husika kujikokota katika suala hilo.
Waziri mkuu akiagiza uchunguzi kwa jambo ambalo kwa uhakika ni la muhimu

Vyombo vya dola vinaonekana kushupalia mambo madogo yanayohusu raia mmoja , wawili au watu kwa nguvu sana kuliko maisha ya watu 7

Hekama inatueleza sisi kama taifa tumepoteza thamani yetu ya utu.
Busara zinasema, hatujui nini kipaumbele na kwasababu gani na tufanyaje

Sehemu ya II inaendele
 
WIKI NA MWEZI WENYE UTATA II

Faru John: Waziri mkuu ameshupalia Faru John aliyefariki katika mazingira tata

Upotevu wa rasilimali za taifa limekuwa tatizo na hatua hiyo ni muhimu

Suala la Faru imekuja wakati wavifo vya watu 7 Ruvu.
Kinachotokea ni mapungufu makubwa ya busara na utu.

Hatuna thamani ya maisha ya mwanadamu.Tunaweza kuweka thamani ya faru

Ni rahisi kupata ukweli wa kifo cha Faru na hatuoni ugumu na danadana unatoka wapi
Wahusika na wenye mamlaka wapo, rasilimali za kazi zipo, nini kinaendelea?

Hekima inasema vifo vya watu 7 na Faru ni mambo muhimu ya kufuatiliwa
Busara inaelekeza ni kipi kianze na kwasababu gani. Je, busara na hekma zinatumika?

Kupotea kwa Mtu
Chadema wameeleza takribani mara mbili kuhusu kupotea kwa kijana Saaanane
Inaoenekana familia ikiwa katika taharuki

Madai yaliyotolewa na mwanasheria CDM yanahitaji hekma na Busara
Huyu aliyepotea ni mwanadamu bila kujali mambo mengine yanayomhusu

Wajibu wa kulinda mali na Raia upo kikatiba na umeanishwa vema

Serikali imekaa kimya kwa madai yanayotolewa.

Si dhima ya duru kueleza nani yu sahihi na nani amekosea.
Tunachosema haya ni maisha ya mwanadamu

Kama yupo mahali ni vema ikaelezwa yupo wapi na kwasababu gani

Kwa hali ya matukio kadhaa yanayojitokeza jambo hili linaweza kuwa na matatizo

Tusingependa kuzungumzia zaidi bali kusisitiza, kurudi kwa kijana huyo ni jambo linaloombewa na kila mmoja.

Na kwamba, familia ipo katika taharuki kubwa na inahitaji msaada

Tofauti na hivyo, hili ni tatizo kwa serikali na nchi kwa ujumla.

Hakutakuwa na maelezo yatakayojitosheleza wakati mitandaoni kila mmoja ana lake na kulifanya fact. Habari zinazozagaa bila kuwa udhibiti ni za hatari

Udhibiti si kuzuia wanaozungumzia bali kauli ya serikali nini kinaendelea

Kijana huyo kapotea? Yuko wapi na kwasababu zipi? uchunguzi unafanyika?

Tunaongelea jambo hili si kwasababu ni mtu anayefahamika katika chama au mitandao

Ni kwasababu huyu ni mwanadamu ambaye tayari familia inataharuki

Jambo kama hili ni dogo, lakini historia ni mwalimu mzuri

Tutafafanua kwanini historia ni mwalim mzuri
 
HISTORIA NI 'MWALIMU MZURI'

Historia ina tabia moja nzuri, hujirudia si kwa kuhitajika bali kwa wale wasiojifunza kutoka kwake

Moto wa nyika hauhitaji 'tanker' la petroli kuwaka, njiti ya kibiri inatosha kuangamiza nyika yote

Tunakumbuka tatizo la dogo la Mabucha ya nguruwe Manzese na mwembe chai yalivyosumbua

Tunakumbuka Arab spring ilivyochochewa na mtu mmoja kujimwagia mafuta tunisia

Tunakumbuka Mchina aliyesimama mbele ya kifaru cha jeshi kimsage akiwa hai

Tunakumbuka vurugu za Los Angels zilivyoanza na mtu mmoja

Orodha ni ndefu sana hatuwezi kuandika hata 0.0001% ya matukio yanayoanza na jambo dogo tu

Baada ya mwezi wa ukimya kuhusu kijana wa Chadema kupotea, hali imebadilika.
Wananchi wanataka kusikia nini kinaendelea kuhusu alipo kijana huyo

Mabandiko yaliyotangulia tulieleza ni kwa vipi hili litakuwa tatizo kwa wahusika.

Wahusika sasa wanasikika wakisema suala hilo linafanyiwa uchunguzi

Hatua hizo zimekuja kwa kuchelewa sana. Kwanza, yapo maswali yatakayohitaji majibu

Kijana husika aliwahi kueleza jinsi alivyotumiwa message za kutishia maisha yake
Swali; Je alitoa taarifa katika vyombo vya ulinzi na usalama?
Hoja: Kama wahusika walifuatilia madai yake?

Hoja hii ni nzito,mkurugenzi wa JF alikamatwa kwa tuhuma za kutoshirikiana na vyombo vya ulinzi

Iweje basi vyombo hivyo visiweze kuwapata wahusika waliotumia simu?

Kwanini imechukua siku 30 na kwa kelele za mitandao kwa vyombo husika kuwasiliana na umma?
Je uchunguzi ulikwishaanza au ndio unaanza? Kama ulianza kwanini umma haukutaarifiwa? Kama ndio unaanza kwanini imechukua muda mrefu kiasi hicho?

Kijana huyo ni mwansiasa na matukio ya kutishiwa yanahusishwa na misimamo yake katika 'mwelekeo' huo wa siasa. Hili ni jambo zito kwasababu umma unahisia tofauti kwa mitazamo tofauti

Kila mmoja anaomba usalama wa Raia wa nchi hii kama ndugu, na sote tunatarajia mwisho mwema

Ikumbukwe huyu ni mwanadamu anayeweza kupata matatizo ya kibinadamu pasi mkono wowote. Ikitokea isivotarajiwa , umma utaelezwa nini uamini ni jambo la asili(nature)?

Lakini pia tatizo linaweza kuwepo bila maelezo ya kujitosheleza, swali, umma utaelezwa nini uamini?

Tusemezane
 
Halafu hii hotuba nadhani hakitakiwa kuwa public!!Raia hatukupaswa kuiona hii kitu. Hii inaathiri uaminifu wa wananchi kwa majeshi yetu. Niko tayari kukosolewa kwa maoni yangu haya.

Kweli zipo hotuba za Amiri Jeshi Mkuu ambazo hazitakiwa kuonyeshwa public for security reasons.

Lakini kwa hotuba hii sioni jambo lolote ambalo Rais amelizungumzia linaloweza kuathiri usalama wa nchi.

Pia sidhani kama hii hotuba itaathiri uaminifu wa wananchi kwa jeshi.

Infact, hotuba imenisadia kujua mambo ambayo nilikuwa siyajui.

Mfano, eti wanajeshi walikuwa wanalipia/nunua sare zao? I never thought of this?
 
Infact, hotuba imenisadia kujua mambo ambayo nilikuwa siyajui.

Mfano, eti wanajeshi walikuwa wanalipia/nunua sare zao? I never thought of this?
Mkuu hii inaonyesha jinsi corruption ilivyofikia kiwango cha juu

Kwamba, Amir jeshi mkuu aliyekuwepo hakuwa na habari za askari kununua Uniform?
Kwamba, ndani ya security organs hakuna security ya kuangalia hali ya mambo

Kununua uniform ilikuwa 'deal' ambayo ni conduit ya wazee kupitisha mirija yao

Ni jambo la kushangaza sana kwasababu kuna maeneo binafsi wafanyakazi wanapewa uniform bure
Leo askari magereza walikuwa wananunua uniform! Sijui kwanini guiness book hawakuliona hili
 
Mkuu hii inaonyesha jinsi corruption ilivyofikia kiwango cha juu

Kwamba, Amir jeshi mkuu aliyekuwepo hakuwa na habari za askari kununua Uniform?
Kwamba, ndani ya security organs hakuna security ya kuangalia hali ya mambo

Kununua uniform ilikuwa 'deal' ambayo ni conduit ya wazee kupitisha mirija yao

Ni jambo la kushangaza sana kwasababu kuna maeneo binafsi wafanyakazi wanapewa uniform bure
Leo askari magereza walikuwa wananunua uniform! Sijui kwanini guiness book hawakuliona hili

Au labda walikuwa wanapewa uniform replacement allowance? Kwa mfano, nimesoma kuwa kwa Marekani, wanajeshi wanapewa free uniforms mwaka wa kwanza wanapoingia jeshini ila baada ya hapo wanapewa allowance kila mwaka ku-replace uniform.
 
Au labda walikuwa wanapewa uniform replacement allowance? Kwa mfano, nimesoma kuwa kwa Marekani, wanajeshi wanapewa free uniforms mwaka wa kwanza wanapoingia jeshini ila baada ya hapo wanapewa allowance kila mwaka ku-replace uniform.
Ingelikuwa hivyo madai yao yangekanushwa na mkuu wao pale pale.
Ndio maana askari hawakulalamikia 'posho' kama askari wa majeshi mengine.
Walicholalamika ni kuhusu uniform ambazo zinaonekana ilikuwa ni aina kama 'deal'

Hata ingekuwa kama US bado hakuna duka la kununua unifrom hizo.
Tunajua uniform za majeshi zina upekee. Kinyume chake kulikuwa na 'watu' waliofanya kazi hiyo
 
Back
Top Bottom