Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Jamani hii imekaaje? UN imesherehekea mtoto aliezaliwa huko Ufilipino ambae ametimiza idadi ya watu bilioni 7 duniani, Maswali machache.
1. Kwanini UN wakaamua kufanya maadhimisho hayo Philipin wakati kuna nchi zenye idadi ya watu wengi zaidi duniani kama India na Uchina?
2. Idadi ya watu duniani imeadhimishwaje? Mi sijasikia juhudi za kuwahesabu watu, mfano Tanzania sisi tunatarajia kuhesabiwa next year baada ya ile sensa ya mwaka 2002.
3. Mtoto alie MARK 7BL people anawakilisha nini kimataifa ukiacha tu kuwa yeye ni mtu wa bilioni 7 kuzaliwa.
Nwakilisha
1. Kwanini UN wakaamua kufanya maadhimisho hayo Philipin wakati kuna nchi zenye idadi ya watu wengi zaidi duniani kama India na Uchina?
2. Idadi ya watu duniani imeadhimishwaje? Mi sijasikia juhudi za kuwahesabu watu, mfano Tanzania sisi tunatarajia kuhesabiwa next year baada ya ile sensa ya mwaka 2002.
3. Mtoto alie MARK 7BL people anawakilisha nini kimataifa ukiacha tu kuwa yeye ni mtu wa bilioni 7 kuzaliwa.
Nwakilisha