The plain Police brutality and heineous systematic killings has no place to hide today!
Kwani ripoti haiwezi kuwa habari?are you serious kuwa huelewi kiasi hiki?ama unajifanya kichwa ngumu?irepot ni part of cnn,na huwa wanazirusha live baadhi ya hizo ireport news,umeelewa?sijui kwa kweli nieleweshe... kuna news na report?
ungejua nilivo na hasira na hichi kifo usingekatiza mbele yangu mkuu niache tuKwani ripoti haiwezi kuwa habari?are you serious kuwa huelewi kiasi hiki?ama unajifanya kichwa ngumu?irepot ni part of cnn,na huwa wanazirusha live baadhi ya hizo ireport news,umeelewa?
hapo kwenye red/underline ni lazima siku ipo na endapo wahusika watakuwa hai basi lolote linawezekana. raisi wa zamani wa Kenya (Moi) ana pesa za kutosha lakini kwa sasa hana raha kutokana na makosa aliyoyafanya akiwa ofisini
poa tutaonana mtaani kwetu kuna kitu namalizia hapa nakuja
Miss u more dearest
Am good sijui wewe!
hujambo wewe ? miss u dearly
Umeona ni ya nini?
Inaonekana vizuri tu mbona!
ungejua nilivo na hasira na hichi kifo usingekatiza mbele yangu mkuu niache tu
Mwafrika habadiliki na wala hajifunzi kitu na siku zote tutabaki kuwa watumwa na kutawaliwa hata tufanye nini kwa maana tumeshindwa kutambua mawe yaliyowekwa mbele ya njia tunayopita na hao hao ambao tunawalilia waje watusaidie!
Watu wanalilia wazungu waseme chochote kuhusu mauaji ya Serikali dhidi ya raia, sasa sijui wakishasema ndio iwe nini? tangu lini hii Dunia ikawa fair?
Hivi mnafikiri hao wazungu mnaowaomba waseme kitu hawajui nini kinaendelea Tanzania? Kama wanaweza kujua kifo cha Raisi wa nchi nyingine kabla nchi hiyo haijatangaza watashindwa kujua kupigwa risasi kwa raia wasio na hatia?
Kwa nini siku zote tunategemea mtu mwingine ndio aje atusaidie? Kama kuna binadamu mwenye experience mbaya na wageni ktk histora ya Dunia hii ni sisi Waafrika hakuna watu waliodanganywa na kutumiwa vibaya na wageni kama sisi Waafrika kutoka Utumwa, Ukoloni mpaka Dini lakini bado tu tunafikiri nakuamini kwamba wazungu wanatupenda sana na watakuja kutetea!
Hivi ni nini kifanyike ili tuelewe Dunia hii its all about interest? Unafikiri Wazungu au sijui Wachina au Wajapani wanaweza kuja kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu kama maslahi yao hayaguswi?
Tubadilke tutafute suluhisho ndani ya mipaka yetu, Wazungu HAWAJAHI KUTUPENDA HAWATUPENDI NA HAWATAKUJA KUTUPENDA na mtaandika Barua sijui CNN sijui BBC sijui Radio China lakni kama maslahi yao yako intact hakuna lolote litakalofanyika!
wewe ni dr wa nini kwanza ? maana hata nguruwe wana madaktari waoSasa huu ndo upuuzi gani?
Watu wapo vitani dhidi ya wanyama police nyie mnaleta upuuzi wenu
Asante sana Mkuu Mwanakijiji. Nomba pelekeni na Alejazeera na human righ watch na ile video itengenezeni wekeni na ile ya Moro na ulimboka na kwingineko kokote ambako raia waliuawa bila hatia. Ninaamini sana media ina nguvu, onesheni nguvu yenu. Msikubali kutumiwa na hawa wauaji. Leo imekuwa kwa marehemu Mwangosi, kesho huwezi kujua kama ni wewe au la. Fanyeni kitu kitakachoonyesha kuwa mmeumizwa na hiki kitendo kama ambazo mimi na wengine wenye mapemzi mema wamumizwa. Nimesikitika mno jamani watanzania wenzangu wazalendo.
ungejua nilivo na hasira na hichi kifo usingekatiza mbele yangu mkuu niache tu
nina eneo humu jf? huku kuna viwanja vimepimwa nini?Dada rudi maeneo yako please,umepotea njia,ni ushauri tu.
wewe ni dr wa nini kwanza ? maana hata nguruwe wana madaktari wao
nina eneo humu jf? huku kuna viwanja vimepimwa nini?
@Molemo sweetlady ni rafiki yangu na mimi sikuwepo siku mingi humu nilivomuona nikamsalimia kistaarabu hata ukiangalia conversation zangu na yeye nimemwambia kabisa tuonane kwenye jukwaa husika sasa huyu dokta wa mbuzi anatuitaje wapuuzi ...nina uchungu sana na hiki kifo cha mwenzetu kaka ...ila warn huyo dokta kamani dokta kweli akatibu polisi wa tz maani ni vichaa..Tafadhali sana kwa heshima ya marehemu Mwangosi hii thread haijaletwa kufanyia dhihaka.Kama huna cha kuandika tumia busara kaa kimya kwa heshima ya mpiganaji huyu.Ni afadhali kama ni matusi um-PM uliyemdhamiria.Tuonyeshe kuguswa na unyama huu dhidi ya Mwangosi.
Ni post ya Mwanakijiji sio habari ya CNN. Tusikuze.