Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Kutoka huko mkoani Mara,mtoto Samwel Musa yupo hatarini kupofuka macho yake. Amekumbwa na hatari hii kutokana na mateso ya mama yake mlezi ambaye amekuwa akimpaka pili pili machoni kama adhabu pindi akifanya kosa.Mtoto huyu aliamua kukimbilia mitaani na hatimaye akabahatika kuchukuliwa na kituo cha kulea watoto yatima.Lakini hali ndo kama hiyo,macho yanamuuma muda wote huku akitokwa na machozi.