SOMA LINK HAPO CHINI WANA SAYANSI MAREKANI WANASEMA DUNIA HUENDA IKAKUMBWA NA DHORUBA YA KUSHAMBULIWA NA VIMONDO(COMETS) AMBAVYO VITATUPWA DUNIANI KUTOKANA NA NGUVU YA UVUTANO INAYOSABABISHWA NA YA NYOTA YA NEMESIS INAPOKUWA INAJIZUNGUSHA YENYEWE KWENYE GALAXY.
INAAMINIKA NYOTA YA NEMESIS INALIZUNGUKA JUA KATIKA UMBALI WA MARA 25000 ZAIDI YA UMBALI WA KUTOKA KWENYE DUNIA KWENDA KWENYE JUA.
HAYA SASA NA HIYO HABARI TOENI.
http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/news/2889372/Earth-under-attack-from-Death-Star.html
INAAMINIKA NYOTA YA NEMESIS INALIZUNGUKA JUA KATIKA UMBALI WA MARA 25000 ZAIDI YA UMBALI WA KUTOKA KWENYE DUNIA KWENDA KWENYE JUA.
HAYA SASA NA HIYO HABARI TOENI.
http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/news/2889372/Earth-under-attack-from-Death-Star.html