Dunia ina mambo

drphone

JF-Expert Member
Sep 29, 2009
3,542
281
leo nimekutana na rafiki yangu alonieleza limenishangaza kwamba mke wa mtu anamwomba awe boyfriend wake na anamwomba asije kumtenda kama mme wake alivyomtenda na alipojaribu kumdadisi ni kwamba mke na mume wanaugomvi wa miaka mingi kila mmoja ana BF na Gf ila mke BF wake amemtenda so ameumizwa na 2men nyakati tofauti so anamwomba wawe wpenzi wa siri ila asijemtenda.

kabla sijampa ushauri nawakililisha kwa magreatthinker hapa tumpe kijana ushauri
 
rafiki yako alitakiwa ajue kuwa mke wa mtu ni sumu bila hata ya kuja kuomba ushauri huku.
mbona vitu vingine mtu unatakiwa utumie common sense jamani bila hata ya kuhitaji ushauri wa mtu.
 
rafiki yako alitakiwa ajue kuwa mke wa mtu ni sumu bila hata ya kuja kuomba ushauri huku.
mbona vitu vingine mtu unatakiwa utumie common sense jamani bila hata ya kuhitaji ushauri wa mtu.

ni kweli kabisa ila watu tunatofautiana mawazo na imeshatokea ss wamefarijiana mke amekolea na ataki kuacha
 
Mbali wapi huko walishafika? Au jamaa tayari alishafanya mambo fulani? na nini hasa kinachomliza huyo mwanamke?

mume alitembea na mtt wa kufikia wa mke wake na wafanyakazi wake mke akajua ikawasongombingo akuna kushiriki tendo wako separeti ndicho chanzo
 
mume alitembea na mtt wa kufikia wa mke wake na wafanyakazi wake mke akajua ikawasongombingo akuna kushiriki tendo wako separeti ndicho chanzo

kwa hiyo rafiki yako yuko tayari kuvunja ndoa ya watu?
kama huyo mama katendwa kama anavyodai si wadivorce kwanza kabla ya kuanza kuona wanaume wengine!
rafiki yako anahitaji kuwa makini.
 
kwa hiyo rafiki yako yuko tayari kuvunja ndoa ya watu?
kama huyo mama katendwa kama anavyodai si wadivorce kwanza kabla ya kuanza kuona wanaume wengine!
rafiki yako anahitaji kuwa makini.

ni kweli analijua hilo
 
Huyo mama nae uzinzi unamsumbua ..inampasa ampokee yetu kuwa bwana na mwokozi wake hapo ndio atasolve matatizo yake ya ndoa na si kuongeza msululu wa ma B/F
 
mume alitembea na mtt wa kufikia wa mke wake na wafanyakazi wake mke akajua ikawasongombingo akuna kushiriki tendo wako separeti ndicho chanzo

huyo mwanaume hafai katika jamii kutembea na bintie wakambo ni aibu ni sawa na kutembea na mwanae wa kumzaa ingekuwa mm ndio huyo mama ningeanza zangu kwetu nikamwacha huyo baba na mwanangu nisingemwacha hapo ningempeleka kwa bibi yake au akakae kwa wajomba zake
 
Huyo mama nae uzinzi unamsumbua ..inampasa ampokee yetu kuwa bwana na mwokozi wake hapo ndio atasolve matatizo yake ya ndoa na si kuongeza msululu wa ma B/F

FL rejea msg vzuri mume nae ni mzinzi tena kaenda mbali kutembea na mtt wa mke wake check na hilo pia
 
huyo mwanaume hafai katika jamii kutembea na bintie wakambo ni aibu ni sawa na kutembea na mwanae wa kumzaa ingekuwa mm ndio huyo mama ningeanza zangu kwetu nikamwacha huyo baba na mwanangu nisingemwacha hapo ningempeleka kwa bibi yake au akakae kwa wajomba zake

kinachomshikiza mke n kwamba wametoka mbali na wanawatoto nae 2
 
kwa hiyo rafiki yako yuko tayari kuvunja ndoa ya watu?
kama huyo mama katendwa kama anavyodai si wadivorce kwanza kabla ya kuanza kuona wanaume wengine!
rafiki yako anahitaji kuwa makini.

ayupo tayri kuvunja ndoa yao yy ni mdunguaji tu
 
FL rejea msg vzuri mume nae ni mzinzi tena kaenda mbali kutembea na mtt wa mke wake check na hilo pia

drphone wajua hawa watu wasifanye mashindani..cjui kama wameshapata watoto maana naona dalili za kuacha watoto yatima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom