Mgeni wa Mungu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 1,233
- 1,287
Duka lipo Mjini Magomeni muembe Chai,kituoni barabarani. Ni duka la vitu vya chakula vya rejareja "Food stuff" Lina wateja wa kutosha . Mauzo yanalingana Na mzigo uliomo. Kodi Ni Sh 100,000 kwa mwezi.
Kama Utakua Ni mjasiriamali mzuri unaweza kuuza maji kwa jumla Lina eneo kubwa Na stoo ipo kubwa.
Karibu mjasiriamali utengeneze maisha.