KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Watanzania sasa hivi hatuko tena kwenye ujamaa na kujitegemea,watu wote sawa,usiwe na mishahara miwili au nyumba ya kupangisha,mzee mwinyi alishatutoa huko hata kama usingizi ni mtamu kiasi gani muamke sasa!Kuna watu wanakula mshahara take home 7 million na babake ni mkurugenzi wa TRA,NSSF,GAVANA WA BOT,WAZIRI N.K. Unategemea wata shop wapi?maduka kama meriedo ni lazima yawepo kwenye miji mikubwa kwa kuwa watu wanatofautiana so hatuwezi wooooote kujazana karikakoo na manzese jumamosi,wengine muende huko na huku meriedo muwaachie wengine ili tutofautiane!mambo ya binadamu wote ni sawa ilikua enzi za nyerere na sokoine ambae waziri mkuu kama yeye alikua na pea mbili za viatu,safari buti na skuna!