Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

Ila nifafanulie kidogo kwenye at least 20m, hizo ni kununulia dawa tu ama kukodi na kutransfom jengo na dawa za kuanzia na vibali
 
Ila nifafanulie kidogo kwenye at least 20m, hizo ni kununulia dawa tu ama kukodi na kutransfom jengo na dawa za kuanzia na vibali

Hizo ni gharama kwa ujumla hasa kama umelenga kufungua retail pharmacy maeneo ya pembezoni au town centers
 
Ila nifafanulie kidogo kwenye at least 20m, hizo ni kununulia dawa tu ama kukodi na kutransfom jengo na dawa za kuanzia na vibali

Kama zilivyo biashara nyingine si vyema kuanza na mzigo wa bei kubwa au quantity nyingi za items!mame sure kwa kila item zisizidi 5 kama sehemu ya kufanya utafiti wa kujua fast and slow moving items!ukishajua fast moving utaongeza quantity!pia hicho kiasi kinategemea na kodi ya pambo au chumba chenyewe cha biashara maana renovation inakula sana pesa kama chumba cha biashara kimechoka..hivyo mimi nilianza na hicho kiasi na nimefanikiwa
 
Ahsante mkuu, kwa mda mrefu nilikuwa nafikiria namna ya kuanzisha hii biashara, kuna haja ya mm kuwasiliana na ww kwa muongozo mzuri zaidi!

Ila umenitisha kuwa natakiwa kumlipa pharmacist kiasi kisichopungua million 1 kwa mwezi na hiyo huenda anafanya kazi kwa party time!

Iko haja ya mm mwenyewe kwenda chuo nikasomee hii taaluma walau niwe na certificate!
 
Invisible tunaomba hii iwe ni special thread ili isipotee, tuna mengj ya kujifunza hapa
 
Last edited by a moderator:
Hazina faida kwa wakati huuuu

Kama zilivyo biashara zingine,changamoto hazikosekani!Cha kuzingatia ni kuwa smart na kufanya vitu bila kukurupuka..location siku zote huwa ni kitu muhimu sana kwenye hii biashara bila kusahau ubunifu!faida utaiona tu mkuu.
 
Kama zilivyo biashara zingine,changamoto hazikosekani!Cha kuzingatia ni kuwa smart na kufanya vitu bila kukurupuka..location siku zote huwa ni kitu muhimu sana kwenye hii biashara bila kusahau ubunifu!faida utaiona tu mkuu.

Magufuli kasema kila hospital itakua na dawa za kutosha sasa nani atanunua?
 
Ahsante mkuu, kwa mda mrefu nilikuwa nafikiria namna ya kuanzisha hii biashara, kuna haja ya mm kuwasiliana na ww kwa muongozo mzuri zaidi!

Ila umenitisha kuwa natakiwa kumlipa pharmacist kiasi kisichopungua million 1 kwa mwezi na hiyo huenda anafanya kazi kwa party time!

Iko haja ya mm mwenyewe kwenda chuo nikasomee hii taaluma walau niwe na certificate!

Hiyo inategemea na sehemu ulipo,kwa mwanza range ni 1.2-1.5m
 
Mkuu sonaderm, asante kwa ufafanuzi wako mzuri sana. Nahitaji muongozo wako, nimepata fremu na ningependa kufanya biashara hii, ila kwa mfamasia amekua akinizungusha zungusha kuja kuona mazingira kama yapo katika standard zao, vipi kuna jinsi nyingine naweza kufanya?
 
Mkuu sonaderm, asante kwa ufafanuzi wako mzuri sana. Nahitaji muongozo wako, nimepata fremu na ningependa kufanya biashara hii, ila kwa mfamasia amekua akinizungusha zungusha kuja kuona mazingira kama yapo katika standard zao, vipi kuna jinsi nyingine naweza kufanya?
Pole sana Mkuu!Kwa taratibu zilivyo mfamasia wa hilo eneo ndiye mwenye dhamana ya mambo yote, kama amebanwa sana anaweza kukupa "go ahead" kwa njia ya simu iwapo tu kama atakuhoji na kujiridhisha na maelezo yako. Hatua muhimu sana ni premise inspection ambayo lazima afike physically kwenye eneo lako ulilofanya renovation.
 
Pole sana Mkuu!Kwa taratibu zilivyo mfamasia wa hilo eneo ndiye mwenye dhamana ya mambo yote, kama amebanwa sana anaweza kukupa "go ahead" kwa njia ya simu iwapo tu kama atakuhoji na kujiridhisha na maelezo yako. Hatua muhimu sana ni premise inspection ambayo lazima afike physically kwenye eneo lako ulilofanya renovation.
Asante mkuu, ishu ni kwamba nimejaribu kufanya baadhi ya mapitio ya taratibu za ufunguaji pharmacy kupitia machapisho mbalimbali ya TFDA, kuna baadhi naona eneo nililopata frame yanakidhi, kuhusu renovation si kwamba anatakiwa apaone kwanza ndo nianze kufanya renovation?
 
Mkuu sonaderm kwanza nikupongeze kwa uzi murua sana.Naomba upatapo wasaa uweke pia na tips za kuzingatia ukitaka kuanzisha ADDO

Mimi ni mwanafunzi wa taaluma hiyo lakini nataka nianze safari ya biashara hiyo ila nitaanza na Duka La Dawa Muhimu,then nikitoka intern ndio nitatanua wigo

Ahsante
 
Last edited by a moderator:
Asante mkuu, ishu ni kwamba nimejaribu kufanya baadhi ya mapitio ya taratibu za ufunguaji pharmacy kupitia machapisho mbalimbali ya TFDA, kuna baadhi naona eneo nililopata frame yanakidhi, kuhusu renovation si kwamba anatakiwa apaone kwanza ndo nianze kufanya renovation?

Ki utaratibu ni muhimu akaja kupaona!lakini kama ujuavyo usafiri na geografia ya eneo lako inaweza kumpa changamoto mfamasia kufika!cha msingi endelea kufanya naye mawasiliano hata kwa kwenda ofisini kwake mara kwa mara!
 
Ki utaratibu ni muhimu akaja kupaona!lakini kama ujuavyo usafiri na geografia ya eneo lako inaweza kumpa changamoto mfamasia kufika!cha msingi endelea kufanya naye mawasiliano hata kwa kwenda ofisini kwake mara kwa mara!
Nashukuru sana mkuu. Endelea kutufumbua macho hata kwa makadirio ya mzigo wa kuanzia unaweza kugharimu shilingi ngapi na hata whole sellers ambao wana bei nzuri na dawa nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom