Kwa vile fani yako ni mwalimu, nakushauri ufungue biashara kutokana na fani yako ili usije angukia pua mkuu.
Afungue shule watoto wa awali - inalipaKwa vile fani yako ni mwalimu, nakushauri ufungue biashara kutokana na fani yako ili usije angukia pua mkuu.
Bila shaka umenena. Kuna askari wa kikosi cha mbwa yeye anafuga mbwa binafsi jioni anawapeleka kwenye malindo. Mwisho wa mwezi anavuta pesa zake.Kwa vile fani yako ni mwalimu, nakushauri ufungue biashara kutokana na fani yako ili usije angukia pua mkuu.
Wasaalam nyote.
Shukrani kwa Kibaravumba na nyote mliotoa constructive comments.
King kong, sina hizo sifa za kutafuta PM za wadada kama unavyohisi. Baadirisha ur negativity thinking ndugu yangu maana unafkiria watu wote wana tabia kama hizo
Nilifanikiwa kuanzisha duka mwezi May baada ya kuongeza kamtaji na kufikia around Tshs. 30m. In my road map, after one year nilipanga kuombea kamkopo bank or other financial institution for about Tsh. 40m kwaajili ya kufungua sehemu nyingine hapa hapa Dar after analyse the market and all other relevant info.
Najitahidi kukeep all info (financial and non-financial) updated ili inisaidie kujua wapi natakiwa kufanya nini kwa wakati gani.
Naelewa biashara ina challange nyingi sana na najua ntapata challange zaidi sku zijazo lakini naamaini kila kunapo challange njia inapatikana kama una malengo
Nakaribisha michago yenu ambayo itakayojenga na sio kubomoa maana naamini humu ndani kuna watu wanaofanya hii biashara na wanaelewa uendeshaji wake unavyokuwa.
Shukrani sana na nawatakia mapumziko mema.
Kwa vile fani yako ni mwalimu, nakushauri ufungue biashara kutokana na fani yako ili usije angukia pua mkuu.
Kwa vile fani yako ni mwalimu, nakushauri ufungue biashara kutokana na fani yako ili usije angukia pua mkuu.
Wasaalam nyote.
Shukrani kwa Kibaravumba na nyote mliotoa constructive comments.
King kong, sina hizo sifa za kutafuta PM za wadada kama unavyohisi. Baadirisha ur negativity thinking ndugu yangu maana unafkiria watu wote wana tabia kama hizo
Nilifanikiwa kuanzisha duka mwezi May baada ya kuongeza kamtaji na kufikia around Tshs. 30m. In my road map, after one year nilipanga kuombea kamkopo bank or other financial institution for about Tsh. 40m kwaajili ya kufungua sehemu nyingine hapa hapa Dar after analyse the market and all other relevant info.
Najitahidi kukeep all info (financial and non-financial) updated ili inisaidie kujua wapi natakiwa kufanya nini kwa wakati gani.
Naelewa biashara ina challange nyingi sana na najua ntapata challange zaidi sku zijazo lakini naamaini kila kunapo challange njia inapatikana kama una malengo
Nakaribisha michago yenu ambayo itakayojenga na sio kubomoa maana naamini humu ndani kuna watu wanaofanya hii biashara na wanaelewa uendeshaji wake unavyokuwa.
Shukrani sana na nawatakia mapumziko mema.
Hiyo biashara inalipa sana kitu cha muhimu ni kupata location ambayo ina flow ya watu kwa wingi.Vitu vya kuzingatia ni
Kwa maelezo zaidi tembelea website ya TFDA
- Location
- Competitors
- Wafanyakazi waaminifu
- Vifaa (frame,Ac,)
- Kibali toka TFDA
Ndugu yangu, naomba na mimi nikupe mwanga zaidi kwa faida ya wengine.
Kama baadhi walivyosema, kutokana na mabadiliko ya sheria, Tanzania kwa sasa hakuna maduka ya dawa baridi. Tuna maduka ya dawa muhimu (DLDM). Maduka haya yameanzishwa kutokana na utafiti uliofanywa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) mwaka 2001, na kubainisha mapungufu mengi ambayo yalikuwa yanafanywa katika maduka ya dawa baridi (DLDB). Mojawapo ni kuuza dawa zisizoruhusiwa kisheria kwa kutumia watoa dawa wasio na sifa; kugeuza maduka kuwa maabara na dispensaries na kadhalika.
Kwa ufupi tu, kutokana na hali hiyo, na kwa kuwa Tanzania ilikuwa ina huduma duni ya dawa kwa wananchi walio wengi, (ambao wanapatikana na vijijini na miji midogo), serikali ikaamua kuanzisha mpango wa DLDM kwa lengo la kuondoa matatizo yote yaliyobainishwa kwa utafiti. Pili ilikuwa kuruhusu dawa chache za msingi (few essential medicines) ziwepo kwenye maduka hayo, na watoa dawa wake wapate mafunzo maalumu, ili huduma ziwe bora na za uhakika katika maeneo ya rural, periurban na maeneo maalum yaliyoruhusiwa ambayo hakuna duka la Famasi.
Ili kuweza kuhakikisha haya, ngazi zote za utendaji, yaani ngazi ya kijiji au mtaa, ngazi ya kata, ngazi ya wilaya na mkoa wanahusishwa moja kwa moja katika utekelezaji wa mpango huu.
Sasa utaratibu ni huu:
1. Chukua fomu ya kuanzisha fomu ya kuanzisha DLDM kwa mfamasia wa wilaya unayotaka kufungua duka. Ijaze sehemu A, ukiwa umeambatanisha vyeti vya kuhitimu mafunzo maalumu yaani mmiliki na mtoa dawa, mkataba wa kazi baina ya mmiliki na mtoa dawa, pia commitment letter ya mtoa dawa katika duka hilo. Kama wewe ni mmiliki na pia ni mtoa dawa, huna haja ya kukusanya mkataba huo.
2. Fomu ipeleke ofisi ya kijiji au mtaa ambao duka litakuwepo. Wao watajaza sehemu B.
3. Fomu itapelekwa kwa ofisi ya Kata, watajaza sehemu C. Wakaguzi zaidi ya mmoja watakuja kufanya ukaguzi wa eneo na jengo kama linakidhi vigezo.
4. Fomu itapelekwa ngazi ya wilaya, na kabla hawajajaza sehemu D, watatakiwa kufanya ukaguzi tena kwenye eneo na jengo lako, na kuhakikisha mtoa dawa wako amepatiwa mafunzo. Kama kuna marekebisho utaelezwa na uyafanyie kazi. Lakini kwa kupitia kamati yao ya Chakula na Dawa inayoongozwa na Mkurugenzi wa Halmashauri au Manispaa, itakaa kikao na kuyapitia taarifa za ngazi zote, na za ukaguzi. Maduka yaliyokidhi vigezo, yanapendekezwa sasa kwenda Baraza la Famasi (Pharmacy Council) waweze kutoa vibali. Ukishapata kibali unatakiwa urudi tena kwenye halmashauri au wilayani ukapate Leseni ya Biashara.
Nahisi nimekupa mwanga kidogo zaidi, ila kama ningekuwa na email yako, ningekutumia Kitabu cha mwongozo kinachosimamia mpango huu.
Thank you
Mwananchi mwenzenu.