Suzie
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 1,259
- 409
Sasa hii inahusiana vp na mada.
Wewe ndio uelewi na mwalimu wako alipata shida mpaka leo unacomment
Sasa hii inahusiana vp na mada.
Au wanauza pampaz tu?Nimeona duka mja maeneo ya kariakoo mtaa wa livingstone na udowe wateja ni wanawake kwa 100% hili jambo nilianza kufuatilia toka 2009
leo nalileta kwenu nitapata majibu
jamvi daima halikosi makliaji