Duh!! washkaji washaiteka nyara tovuti ya EAC

mcbenfrank

Member
Mar 9, 2006
11
4
wandugu habari ya kwenu kwa pamoja:
leo katika pita pita yangu mtandaoni, nimejaribu kupitia tovuti ya EAC (East African Community: Web Portal na

LatinHackTeam Ownz Your Box

..We Are..
infEkt - Adminp4nic - eCORE
Againts governments corruptions !!
your security.. get down !!
Follow us @LatinHackTeam @infEkt1
Duh!! nikasema balaa gani tena hii.. anyway my teke ni kutaka kuraise a security concern on such critical infrastructure maana tayari hii inatuonyesha wazi namna a security flaw in your system can endanger your assets..
 
Wawatafute walioidesign waelezee security ilikuwa kwa kiasi gani na sio kutoa tenda kwa mtu afu anasahau maintenance, wanasema iko down for now, gues wamezima servers zao!:scared:
 
Mkuu,

Hiyo ni SQL injection - ambapo website nyingi huwa zinakuwa attacked - na katika hawa wamepiga website nyingi tu zaidi ya web 50,000 duniani kote.

Walichotakiwa kufanya hawa EAC web ni kujikinga dhidi ya SQL injection

SQL injection is an attack in which malicious code is inserted into strings that are later passed to an instance of SQL Server for parsing and execution. Any procedure that constructs SQL statements should be reviewed for injection vulnerabilities because SQL Server will execute all syntactically valid queries that it receives. Even parameterized data can be manipulated by a skilled and determined attacker.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom