Kibanga Ampiga Mkoloni JF-Expert Member Aug 9, 2007 18,697 8,843 Jul 1, 2012 #1 Eti habari ndio hiyo!
Inside10 JF-Expert Member May 20, 2011 26,060 23,939 Jul 1, 2012 #2 kawaulize TRA.. Unatujazia server tu
mtotowamjini JF-Expert Member Apr 23, 2012 4,526 1,169 Jul 1, 2012 #3 Remote said: kawaulize TRA.. Unatujazia server tu Click to expand... :biggrin1:
K Kiboko Yenu JF-Expert Member Feb 12, 2012 311 65 Jul 1, 2012 #4 hapo lazima padri kala ganji amalizie hotel yake na tengeru
bluetooth JF-Expert Member Jan 12, 2011 4,402 2,550 Jul 1, 2012 #5 wivu ni kidonda ...ukiushiriki utakonda
Anheuser JF-Expert Member Mar 23, 2011 1,944 662 Jul 1, 2012 #6 Kibanga Ampiga MKoloni said: Eti habari ndio hiyo! Click to expand... Haya ma pick up truck ni kwa ajili ya kusafirisha nini? Au CHADEMA imegeuka Movement 4 Construction Ltd.??
Kibanga Ampiga MKoloni said: Eti habari ndio hiyo! Click to expand... Haya ma pick up truck ni kwa ajili ya kusafirisha nini? Au CHADEMA imegeuka Movement 4 Construction Ltd.??
KOMBAJR JF-Expert Member Nov 15, 2011 5,827 1,271 Jul 1, 2012 #7 Kibanga Ampiga MKoloni said: Eti habari ndio hiyo! View attachment 57840View attachment 57841 Click to expand... Kama hawajalipa si Udhaifu wa TRA na serikali yako kwani hayo magari yalishuka?au yameletwa kama wasomali wanavyosafirishwa?
Kibanga Ampiga MKoloni said: Eti habari ndio hiyo! View attachment 57840View attachment 57841 Click to expand... Kama hawajalipa si Udhaifu wa TRA na serikali yako kwani hayo magari yalishuka?au yameletwa kama wasomali wanavyosafirishwa?
Mkatavimeo JF-Expert Member Jan 3, 2011 2,150 868 Jul 1, 2012 #8 Mi sioni ishu hapo! Kwani mangapi yanatokea chini ya serikali dhaifu yenye uongozi dhaifu? LIWALO NA LIWE BANA! EBOO!
Mi sioni ishu hapo! Kwani mangapi yanatokea chini ya serikali dhaifu yenye uongozi dhaifu? LIWALO NA LIWE BANA! EBOO!
K Kifuna JF-Expert Member Aug 7, 2008 442 117 Jul 1, 2012 #9 Si unajua hii ni serikali gani? Basi jibu unalo!! Utajua wamelipa au hawajalipa ukiijua serikali yenu ikoje!!
Si unajua hii ni serikali gani? Basi jibu unalo!! Utajua wamelipa au hawajalipa ukiijua serikali yenu ikoje!!
M Masabaja Senior Member Mar 4, 2012 139 23 Jul 1, 2012 #10 Ata kodi ikilipwa nani ananufaika au ni ujinga wako tu, na kama haijalipwa na mtu amepewa mali yake jibu unalo serikali DHAIFU
Ata kodi ikilipwa nani ananufaika au ni ujinga wako tu, na kama haijalipwa na mtu amepewa mali yake jibu unalo serikali DHAIFU