LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
hapa mtaanii kwetu nina rafiki kaamia mwaka jana sasa, kufika katika ofisi anayo fanyia kazi kukawa binti mmoja akavutiwa nae hivo kuanza uchumba sasa wakafika katika hatua ya kuoana binti ni mpare jamaa ni mbena sasa jamaa alikuwa na mtoto wa nje 1 lakini aliogopa kumwambia mchumba huyo kwa kuhofia binti huenda angemuacha hivo alipanga aje kumwambia baada ya ndoa basi mikakati ya ndoa baina yao ikakamilika na ndoa ikafanywa mwezi wa 2 mwaka huu baada ya mwezi kama mmoja ivi jamaa akaona amwambie ukweli mkewe huyo baada ya siri kwa mudamrefu , ikabidi jamaa aandae siku ya kumtaarifu mwenza kuhusu mtoto wake huyo, lakini chaajabu baada ya jamaa kumwambia mwenzie swala hilo kibao kikageukia upande wake kwani bint naye akamwambia mume wangu hata mimi pia naomba niwie radhi kwa kuiweka siri hii mimi pia nina watoto wawili mmoja nilimpata nikiwa secondary wa kike na mwingine nikiwa chuoni wa kiume lakini woote wako kwa baba zao sasa jamaa hana hata cha kufanya kwani mzigo alio panga kuutua akidhani atamaliza safari ndo kwanza km zimeongezeka ushauri plz