hili jamvi ni watu waliojaa chuki tu, hamna lolote la kuanguka wala kutetereka, ndio maan wengi wamelihama, hamtaki
maendeleo ila uzushi tu
JK ana mvi japo si nyingi na zinaonekana vizuri tu hapaki chochote, kwa wale wazee vijana wangekuwa wanapaka Yazuu kuzifanya nyeusi. Sina chama lakini Brovoooo kikwete kwa hili unatakiwa kupewa big up.
source: Press kikwete 2010/ mtanzania 21 oct. 2010
jk alikuwa anaenda chini nini, akawahi kushika meza? Ingekuwa mwananchi kaweka picha hii front page kama alivyofanya mtanzania ingekuwa ni uchochezi? Ila akifanya roastam aziz sio?
Wale wanaokaa nyuma ya Marais wote duniani wakiwa na nguo za jeshi si body guards ni wapambe kwa ajili ya huduma kwa Marais kwa mfano kubeba makabrasha ya Rais na kusogeza kiti vizuri endapo Rais anasimama, inavyoelekea bwana wa kushoto alikuwa anamkumbusha mpambe wa Rais kuzogeza kiti mbele kidogo ili Rais atakapomaliza kusalimia wananchi asije akaanza kukaa kumbe kiti kiko mbali. Mjeshi anaonekana anamjibu usiwe na hofu niko imara. Ni wazo langu tu kutokana na ninavyoangalia movies hasa zile zilizoegizwa kama Marais. I stand to be corrected kwa wale walio na ufahamu zaidi.
hili jamvi ni watu waliojaa chuki tu, hamna lolote la kuanguka wala kutetereka, ndio maan wengi wamelihama, hamtaki
maendeleo ila uzushi tu
Wewe unasubiri nini.hili jamvi ni watu waliojaa chuki tu, hamna lolote la kuanguka wala kutetereka, ndio maan wengi wamelihama, hamtaki
maendeleo ila uzushi tu
Wengine utawasikia wakianza na gia ya mimi sidanganyiki 2010 ili wapate supoti ya upande fulani, kama mtu unajiamini hakuna haja ya kujitambulisha uko upande fulani wewe shusha nondo tu utaeleweka.wana ccm wanafurahisha sana. huyu kishakimbilia kusema kuwa hana chama
Duuh ushabiki mwingine... yani jamaa katika picha mnato kaona JK kapoteza balance?? Duh ama kweli Tz tumeendelea. tuna wang'amuzi wa mambo hata picha mwenendo hatuzihitaji...