Elections 2010 Duh; nini kilitaka kumtokea JK kule Lindi Jukwaani?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,349
6,476
JK-Lindi+crowd1.jpg


Source: Press Kikwete 2010/ Mtanzania 21 Oct. 2010

JK alikuwa anaenda chini nini, akawahi kushika meza? Ingekuwa Mwananchi kaweka picha hii front page kama alivyofanya Mtanzania ingekuwa ni uchochezi? Ila akifanya Roastam Aziz sio?
 
Ni kama alianza kupoteza balance na kuanguka, ama? Wataalam wa kusoma picha hebu tuambieni
 
JK-Lindi+crowd1.jpg


Source: Press Kikwete 2010/ Mtanzania 21 Oct. 2010

JK alikuwa anaenda chini nini, akawahi kushika meza? Ingekuwa Mwananchi kaweka picha hii front page kama alivyofanya Mtanzania ingekuwa ni uchochezi? Ila akifanya Roastam Aziz sio?

Alisahau kutumia hii kitu hapa:

attachment.php
 
Sijaelewa unataka kusema nini hapa!

JK-Lindi+crowd1.jpg


Mwangalie vizuri body guard wake, halafu na yule jamaa aliye kushoto kwa JK ni kama anataka kuinuka vile na body guard anamwambia tulia, na pia nyuma ya body guard kuna mkono vile vile unamsihi huyo bwana kushoto kwa JK atulie kwani alikwishahisi JK anaelekea chini.
 
Namna ya kumsaidia ni kum'pumzisha hapo Oktoba 31st ataumia lakini atakuja kutuelewa na kutushukuru sana......
 
hili jamvi ni watu waliojaa chuki tu, hamna lolote la kuanguka wala kutetereka, ndio maan wengi wamelihama, hamtaki
maendeleo ila uzushi tu
 
hili jamvi ni watu waliojaa chuki tu, hamna lolote la kuanguka wala kutetereka, ndio maan wengi wamelihama, hamtaki
maendeleo ila uzushi tu

Toa maelezo ya hiyo picha basi, acha hasira!
 
JK-Lindi+crowd1.jpg


Mwangalie vizuri body guard wake, halafu na yule jamaa aliye kushoto kwa JK ni kama anataka kuinuka vile na body guard anamwambia tulia, na pia nyuma ya body guard kuna mkono vile vile unamsihi huyo bwana kushoto kwa JK atulie kwani alikwishahisi JK anaelekea chini.


Duuh ushabiki mwingine... yani jamaa katika picha mnato kaona JK kapoteza balance?? Duh ama kweli Tz tumeendelea. tuna wang'amuzi wa mambo hata picha mwenendo hatuzihitaji...
 
hili jamvi ni watu waliojaa chuki tu, hamna lolote la kuanguka wala kutetereka, ndio maan wengi wamelihama, hamtaki
maendeleo ila uzushi tu


Dada Subira (kwa mujibu wa jina) ngoja tu baada ya Okt 31 mbona midomo itawafunga watu humu...
Usishangae kuona ukitafuta jf.com ukipelekwa ipp/michuzi blogs. Subiri siku chache sana zimebaki
 
Kila nikiangalia kila siku nywele zake ni nyeusi. Hivi JK hana mvi?

JK ana mvi japo si nyingi na zinaonekana vizuri tu hapaki chochote, kwa wale wazee vijana wangekuwa wanapaka Yazuu kuzifanya nyeusi. Sina chama lakini Brovoooo kikwete kwa hili unatakiwa kupewa big up.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom