Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Balaa la Hurricane Sandy!...
hii kitu ingetokea bongo sijui ingekuwaje ?
Sasa hivi Dar ingekua imesukumwa hadi Moro....
Tubaki kusikia haya yanatokea kwa wenzetu maana yakitokea kwetu ni maafa makubwa,wenzetu miji yao imepangwa hivyo ni rahisi kufikia watu tofauti na sisi ambao tumejenga karibu karibu hata pa kupitisha gari hakuna.