NATA ni mwana JF mzoefu, lakini sikujua kama ana viunga vya minazi huko Mapinga Bagamoyo, pamoja na duka kubwa la bidhaa mbalimbali.... Hongera sana dada.......LOL
Nia yako kunisogezea Takukuru karibu yangu.lol!
Kwani ile pesa ya Vocha za pembejeo za kilimo ndio illishia hapo badala ya kwenda kwa walengwa, mbona form zilikuwa na sahihi !!!
Bora unisaidie friend, yaani huyu Gustavo !